Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,223
Kwani watanzania tumekosa mambo ya kujadiri yenye mshiko, kwani mambo ya kadi yanaweza kukwamisha jua to rise or to SET? Tuzungumzie mambo ya maendeleo sio WATU; tuishauri Serikali pale inapo bidi.