Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Slaa ana akil I sana, anajua nyumba anayoishi sasa no ya barafu, jua likiwaka itapotea.

Hata Mimi nilipokuwa chadema sikurudisha kadi ya CCM, niliitunza kwani nilijua no muhimu kuliko gwanda
pointless1.jpg
 
If Dr. Slaa has CCM Card to date, so what? Mh. Wassira alipokuwa NCCR Mageuzi alirejesha Kadi ya kule? Je wajua kuwa wapo waliasisi CCJ Je nao wamerejesha kadi za CCJ ?
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Slaa amehojiwa na gazeti la Mwananchi (Ukurasa wa Sita gazeti la Leo Tar31.12.2013) amekili kuwa anakadi yq CCM hadi leo na haoni sababu ya kuitupa kwani ni mali yake na ameilipia.
"Katoba inaniruhusu,hakuna sehemu iliposema nikihama chama nirudishe kadi,niacheni".
MODS naomba Attachment hiyo muiweke vizuri isomeke yote.

Una haraka sana ama ni kiherehere?
 
Slaa ana akil I sana, anajua nyumba anayoishi sasa no ya barafu, jua likiwaka itapotea.

Hata Mimi nilipokuwa chadema sikurudisha kadi ya CCM, niliitunza kwani nilijua no muhimu kuliko gwanda

...sasa nimeamini kweli unamatatizo ya akili, kila kukicha unamponda dr. leo umegundua anakili...?kweli mchumia tumbo hata viatu yuko tayari kulamba ilimradi aingize siku...
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Slaa amehojiwa na gazeti la Mwananchi (Ukurasa wa Sita gazeti la Leo Tar31.12.2013) amekili kuwa anakadi yq CCM hadi leo na haoni sababu ya kuitupa kwani ni mali yake na ameilipia.
"Katoba inaniruhusu,hakuna sehemu iliposema nikihama chama nirudishe kadi,niacheni".
MODS naomba Attachment hiyo muiweke vizuri isomeke yote.

...funga vifungo vya shati basi,usisahau upo live jukwaani...
 
Kama anayo kadi ni mwanachama wenu hivyo,msimfuate fuate na kumshambulia ni matumaini yangu kuwa anawasaidia kukijenga chama chenu,muache kumtukana manaake anawasaidia!

Kila siku alfajiri ni Dr. Slaa, Dr. Slaa,muacheni basi awasaidieni kikiimarisha chama chenu, na anawaimarishieni chama kweli simchezo!
 
Dr Bado ni mwanachama hai wa CCM, na kadi yake huwa inalipiwa ada ya uanachama kila mwaka - Nape
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Slaa amehojiwa na gazeti la Mwananchi (Ukurasa wa Sita gazeti la Leo Tar 31.12.2013) amekili kuwa na kadi ya uanachama ya CCM hadi sasa na haoni sababu ya kuitupa kwani huwa anailipia - Mwananchi
 
Dr. Slaa hawezi kurudisha kadi ya CCM, anajua wazi kuwa chedema anapita tu wakimzingua anawaacha kwenye mataa.
 
Hata mimi ninayo,nitaitunza hadi wajukuu zangu waione na wamtambue mkolon4 mweusi aliyedumaza maendeleo ya taifa lao!
 
"Sumu haionjwi" bakini na kadi hizo zitawasaidia baadae!
 
natamani mijadala hii ya 'watu' na 'utu' wao, ingeelekezwa katika mambo ya msingi zaidi, kama nchi tungekwamuka hapa tulipo! I hope that in the few hours to come (2014), we will keep on open mind na kuanza kujadili issues, ideas, approaches, strategies, ideologies and methodologies za kututoa tulipo na kutupeleka hatua moja mbele katika maendeleleo ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kitamaduni. God bless!!
 
Haya nawazo ya mleta uzi bado yapo ki-analogy,
move kidigitaly!
 
Kwa wafuatliaji wa siasa za hapa kwetu Tanzania, mtakumbuka ya kwamba Dr. Slaa alikuwa mwanachama mtiifu wa CCM kabla ya kuasi chama na kukimbilia CHADEMA.

Hata hivyo, mpaka leo hii Dr. Slaa hajawahi kukabidhi kadi ya CCM.

We mbulula kweli, uanachama wa chama chetu cha CCM unakoma mara tu mwanasisiem anapijiunga na chama kingine
 
Je kumiliki kadi ya ccm cyo usaliti ?

Kama zitto kabwe angebambwa ha hii kadi ya ccm ingejuwaje?

Cc: Dk slaa
 
Je kumiliki kadi ya ccm cyo usaliti ?

Kama zitto kabwe angebambwa ha hii kadi ya ccm ingejuwaje?

Cc: Dk slaa

Mkuu unaangaika sana kumkingia kifua huyo ndugu yako ZZK......wewe unafikiri anaonewa au?na kama anaonewa kwanini asijiengue na kwenda sehemu anayopendwa?kwanini ushupalie sana slaa na si kumshauri zzk aachane na usaliti?it z white that slaa alikuwa ccm na hakulificha kwani cdm ilikubali ajiunge.......mshaurini vizuri ndugu yenu huyo na sii kutafuta comparison...
 
Mtahangaika na vijipropaganda vya kuokoteza! kwani masharti ya uanachama yamekaaje? kuna ulazima wa kurudisha? mumeishiwa propaganda mmeanza kurudia hata zilizofeli? haki moto wa CDM ni msingi unazidi kuwababua!
 
Back
Top Bottom