Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
nape aje atuambie nani ananunua nguzo za iringa na kuiuzia tanesko na katoa afrika kusini.
aje atuambie nani alipeleka pembe za ndovu china
aje atuambie rv feki zimeishia wapi.
atuambie kwa nini rais anajenga mahoteli mbugani.
atuambie kwa nini mke wa rais atembee na misafara ya magari ya serikali.
aje atuambie nani anamiliki lakeoil.
aje atuambie mabilioni ya uswis ni ya kina nani.
aje atuambie kwa nini umeme unakatika wakati waziri wa serikali anayodai kuisimamia aliutangazia umma kuwa hilo litakuwa ndoto.
aje atuambie kampuni inayofanya kazi kwa mkopo na tanapa ni ya nani.
aje atuambie mabilioni yaliyochangishwa na mama anna mkapa chini ya mwavuli wa wamma yako wapi/
aje atuambie mashine za kufulia za mount meru hospital ziko wapi.
aje atuambie siku 90 za magamba bado hazijafika/
aje atuambie wale mafisadi wa jengo la uvccm waliishia wapi?
aje aje atuambiepolisi wanaoua raia kila kukicha wapo chini ya chama kinachoongozwa na serikali ya chama gani na ni hatua gani zimechukuliwa?
Naona kama title haibebi ujumbe uliowasilishwa. Nafikiri Dr. Slaa ametoa ufafanuzi juu hasa ya suala zima la umiliki wa kadi na kuonyesha kwamba ni kitu kidogo kisichohitaji mjadala. Lakini hajakanusha kumiliki kadi. However, naungana na Dr. Slaa kwamba ni uendawazimu kuligeuza suala la kadi kuwa ni agenda inayohitaji attention ya kitaifa.
ukinunua shati dukani siku ukilichoka unalirudisha dukani au unalitupa?Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.
Mduda nenda kwenu Kalenga kachukue jimbo....Kipera wanakufahamu,kabebe hata udiwani uache chaki
Wewe chama sijui kwa siku unachukuaga posho kiasi gani pale lumumba.
Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.
Mkuu chama,
Mtu kama huyo kumjibu kwa mistari minne ni kupoteza muda. Nimeishamwambia endelee kutumika tu lakini hana thamani yeyote ndani ya Chadema, wakati mwingine mpaka wenyewe wanamshangaa Mohamed na Chadema wapi na wapi.
Mwambie ajaribu kugombea cheo chochote Bavicha ndiyo ataijua Chadema.
Huyo jamaa ndani ya Chadema ni njiwa kwenye kundi la kunguru. Akili ya kawaida tu unadhani wakiwa wagombea wawili Mohamedi Mtoi, na Masawe, nani atapigiwa kura na Pro-Chadema.
ukinunua shati dukani siku ukilichoka unalirudisha dukani au unalitupa?
Ujumbe ni kwamba yeye amesema hamiliki kadi ya ccm,kadi anayomiliki ni yake kwa sababu aliinunua kwa fedha zake na kisheria kadi ni mali ya mtu na si chama ingawa focus ya ujumbe wake ni kuacha kujadili kitu kidogo kama kadi wakati tuna matatizo mengi ya kujadili!
Mkuu chama,
Mtu kama huyo kumjibu kwa mistari minne ni kupoteza muda. Nimeishamwambia endelee kutumika tu lakini hana thamani yeyote ndani ya Chadema, wakati mwingine mpaka wenyewe wanamshangaa Mohamed na Chadema wapi na wapi.
Mwambie ajaribu kugombea cheo chochote Bavicha ndiyo ataijua Chadema.
Huyo jamaa ndani ya Chadema ni njiwa kwenye kundi la kunguru. Akili ya kawaida tu unadhani wakiwa wagombea wawili Mohamedi Mtoi, na Masawe, nani atapigiwa kura na Pro-Chadema.
Sidanganyiki. Huyo ni CCm tu. Muda tu haujafika, mtalia na kusaga meno. Heri yangu mie nisiye na chama
Mkuu Ritz
Umesiliba kabisa jamaa hata aende Mlalo akagombee pro Chadema watapeleka Minja au Masawe; anajua mbona hagombei chaguzi za Chadema si ajaribu aone demokrasia ya Chadema; hapo Bavicha ndio usiseme thubutu yake; mwambie ajaribu kama hela ya kuchukulia fomu mimi nipo radhi nilale njaa nitampa achukue; ngoma imewashinda kina Chris Lukosi ataiweza mohamed; Mwita Maranya wanamuona kituko itakuwa yeye!
Chama
Gongo la mboto DSM
Kweli kuwa Shabiki wa Chadema lazima uvute bangi