Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
Hoja za magafu ni moto sana,kila anaejaribu kujitokeza anaishia kulalamika badala ya kujibu hoja za msingi
Ve mnyakhae reka nkhani waa.
Hoja za magafu ni moto sana,kila anaejaribu kujitokeza anaishia kulalamika badala ya kujibu hoja za msingi
Mi namtaka TUNTEMEKE ajitokeze humu maana alikesha siku2 na huo upuuzi wake humu ndani.
Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.
Ndio amekanusha tena vikali,
Hilo tangu siku nyingi lilikuwa wazi kuwa Dr Slaa hamiliki kadi ya ccm,
Amewafahamisha kisheria kuwa kadi ni mali ya mwanachama.
Mbona hajajibu hoja za magafu?
kwani umewahi ona au tambua nini humu ndani, ndugu yangu?Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.
Hoja za magafu ni moto sana,kila anaejaribu kujitokeza anaishia kulalamika badala ya kujibu hoja za msingi
Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.
Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.
Kazi kwelikweli hapa Tanganyika,yaani kadi ya zamani inakuwa mjadala na kuacha majambazi yakitorosha nyati,tembo na hata chui kupeleka nje. Maskini Tanganyika.
Hahaa Mkuu umenichekesha, nasikia India zinapatikana! Ukitaka wanakuletea hapa hapa kwa DHL!Ni umbumbu wa hali ya juu kuanza kuzungumzia card na kuacha mambo ya msingi kama elimu, wanafunzi hawana madawati mashuleni.
Haya ni matokea ya digrii za kucheza kuch-kuch!
Hao magraduates walikurupuka.siku zote kadi ni mali ya mwanachama.shame on them.nape kawa use kama toilet paper
Nimewahi kuandika hapa kwamba kumchafua Dr. Slaa ni vigumu mno yaani sijui utaanzia wapi.
Sasa hao vijana wanaotumiwa kama Dume wamefikia wapi, aibu kweli kweli.
mkuu zile si hoja ni majungu na fitina mkuu.Hoja za magafu ni moto sana,kila anaejaribu kujitokeza anaishia kulalamika badala ya kujibu hoja za msingi
Nimejaribu kuangalia wapi Dr Slaa kakanusha sijaona.