Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Sasa kwa akili yako pevu kuwa na kadi ya chama unachokichukia ina maana gani kama si usanii au ujuha!
Ni sheria gani inayosema mtu akihama chama lazima arudishe kadi?

Kadi ni karatasi tu, na linakuwa uthibitisho wa uanachama pale vigezo na masharti mengine yote yanapozingatiwa.

Kadi peke yake haifanyi mwanachama.
 
Sasa kwa akili yako pevu kuwa na kadi ya chama unachokichukia ina maana gani kama si usanii au ujuha!
Mkuu, uanachama according to CCM ni kuwa na kadi tu?

Na kutoka chama ni kurudisha kadi tu?

Hakuna zaidi?
 
Sasa kwa akili yako pevu kuwa na kadi ya chama unachokichukia ina maana gani kama si usanii au ujuha!
Sioni kwa nini iwapo Dr. Slaa ni msaliti wa Chadema iweje wanaotaharuki ni CCM, tena wakiongozwa na Katibu Mwenezi, Mkuu wa propaganda wa chama. Je Nape anataka kutwambia kuwa anajali maslahi ya CDM kuliko ya CCM?

Na sielewi kama CCM inamtumia Slaa kama Mamluki kwa nini CCM ndio itoe siri za umamluki na iwalazimishe Chadema kukubali. Ina maana CCM inajali maslahi ya Chadema kuliko Chadema na Wanachadema?

Tafakari!
 
RNi sheria gani inayosema mtu akihama chama lazima arudishe kadi?

Kadi ni karatasi tu, na linakuwa uthibitisho wa uanachama pale vigezo na masharti mengine yote yanapozingatiwa.

Kadi peke yake haifanyi mwanachama.

Mkuu, uanachama according to CCM ni kuwa na kadi tu?

Na kutoka chama ni kurudisha kadi tu?

Hakuna zaidi?
Sioni kwa nini iwapo Dr. Slaa ni msaliti wa Chadema iweje wanaotaharuki ni CCM, tena wakiongozwa na Katibu Mwenezi, Mkuu wa propaganda wa chama. Je Nape anataka kutwambia kuwa anajali maslahi ya CDM kuliko ya CCM?

Na sielewi kama CCM inamtumia Slaa kama Mamluki kwa nini CCM ndio itoe siri za umamluki na iwalazimishe Chadema kukubali. Ina maana CCM inajali maslahi ya Chadema kuliko Chadema na Wanachadema?

Tafakari!

Ni wazi CDM is dying, its bleeding to death.
CDM ni chama mbacho hata katibu mkuu wake hana imani nacho.
Chama kisicho na sera zinazoeleweka, chama ambacho sera yake kuu ni ufisadi wa CCM-matatizo ambayo yanashughulikiwa sasa.

Slaa hana jingine ila kurudi chama chake cha znani, naamini atapokelewa tu kama wanachama wengine.
 
Assertations zikiwa proved basi hakuna ubishi wa kisheria hapo.

Nape ka assert: Dr Slaa ana kadi ya CCM
DR Slaa amekubali, hapo hakuna ubishi, na mimi sielewi usichokielewa hapo nini?

Umekosea sana kutafsiri sheria labda nahisi sheria SIO KAZI YAKO,nipo tayari kukurekebisha kama ifuatavyo:

Kisheria kesi za madai kama hizi ni mtuhumu(Nape)na wala sio mtuhumiwa(Dr Slaa)anayetakiwa athibitishe bila shaka yeyote(preponderance of evidence)kuwa Dr Slaa ni mwanachama "HAI"wa CCM!

Nimetumia neno mwanachama"HAI"ni kiwa na maana kuwa lzm kadi yake ilipiwe kwani kuwa na kadi ya CCM usiyolipia kwa siku 90 automatically unajifuta uanachama mwenyewe!

Dr Slaa alikuwa mwana CCM na alimshinda Mzee Qorro kwenye kura za maoni CCM mwaka 1995 na CCM ikamteua ALIYESHINDWA kuwa ndiyo mgombea na Dr Slaa akatangaza kuingia upinzani;kwa kitendo chake cha kutangaza kuondoka CCM alikwisha jivua uanachama!

Wana siasa wengi tu TZ walifanya hivi:Nape Nnauye(CCM to CCJ then back to CCM);Maalim Seif;Hassan Mloo,Wakili Mbwelezeni(CCM to CUF);Augustine Mrema(CCM to NCCR),Salum Msabaha(CUF to CCM);Daniel Nsanzugwako;Aman Kaborou(CHADEMA to CCM)Dr Masumbuko Lamwai(NCCR to CCM) na wengineo wengi ambao HATUKUONA KADI ZAO WAKIZIRUDISHA!

Hoja za Nape and his CO kuhusu Dr Slaa ni za "hovyo hovyo"
 
Ukweli ni kwamba Dr. Slaa si mwanachama wa CCM tena kwa mjibu wa katiba ya CCM kwamba mtu akishakuwa mwanachama wa chama kingine uanachama wake ndani ya CCM unakoma mara moja. Tujiulize maswali ya msingi. Je Dr. Slaa ni mwanachama wa CDM? Kwa ndiyo hayupo tena CCM? Pili kwa nini Nape wa Ccm ndo alalamike Dr. Kuhodhi kadi ya CCM isiwe wana CDM? Hii ni dalili kuwa hizi zote Propoganda tu. Leteni tuhuma nyingine hii hatusikii na haina mishuko.
 
Sina dogo shaka dogo nape amekosa au wakubwa zake wamesahau kuwa kuna issue ya magamba sasa wameona kuwa magamba ni maguni kama kobe imepidi watafute mahala pa kutokea kwa Dr. Slaa je hao wenye kadi za CCJ na CCM wote ambao wengi wao ni CCM wajitokeze. Kwa kifupi Slaa hiyo kadi ni kama suveni!
 
viongoz wa CDM hiv ina mana sera yenu ni ufisadi tu. kuna mambo mengi ya kuzungumzia. ina mana ufisad ukikomeshwa hamtakuwa na jipya,jipangen upya kwan tunaamin hik ndicho chama mbadala
 
viongoz wa CDM hiv ina mana sera yenu ni ufisadi tu. kuna mambo mengi ya kuzungumzia. ina mana ufisad ukikomeshwa hamtakuwa na jipya,jipangen upya kwan tunaamin hik ndicho chama mbadala
Nepi is a political infant wearing diapers, he is not in the same league with Dr Slaa
 
Ni wazi CDM is dying, its bleeding to death.

CDM ni chama mbacho hata katibu mkuu wake hana imani nacho.

Chama kisicho na sera zinazoeleweka, chama ambacho sera yake kuu ni ufisadi wa CCM-matatizo ambayo yanashughulikiwa sasa.

Slaa hana jingine ila kurudi chama chake cha znani, naamini atapokelewa tu kama wanachama wengine.
Kwa nini ikuume wewe kama Chadema inakufa. It is none of your business! Wanachadema wanaona CDM is ok na Slaa anafanya kazi wanayoitaka na propaganda zako na za Nape haziwabadilishi.

Wewe na CCM yako mnapaswa kufurahia hicho kifo cha CDM unachotamani kitokee, kwa kuwa CDM inawakosesha usingizi.

Kwa nini sasa mpigie kelele?
 
viongoz wa CDM hiv ina mana sera yenu ni ufisadi tu. kuna mambo mengi ya kuzungumzia. ina mana ufisad ukikomeshwa hamtakuwa na jipya,jipangen upya kwan tunaamin hik ndicho chama mbadala
Wacha uzuzu wewe kasichana ka shule! ulishawahi kusoma katiba ya CHADEMA pamoja na ilani ya uchaguzi ambayo CCM wameamua ku copy na Ku paste ? Nenda kakojoe ulale kilaza wewe! na siku nyingine wakikutuma basi fikiri kwanza kabla ya kukurupuka.
 
Mkuu hii lugha ya bibi ni dhahiri huiwezi.
Kuunga unga sentesi zinazoweza kubadili maana ya unalotaka lieleweke ni heri utumie lugha unayoiweza-kiswahili.

Zaidi ya hapo hebu tafsiri ulichoandika katika kiswahili ili upate kueleweka.

Zaidi ya hpo nikupe hint ndogo tu, Dr Slaa hana jurisdication yoyote ku-RULE kama unavyosema maana hana mamlaka yoyote kisheria.
Pengine ulimaanisha ku-LEAD chama chake.
Take care!

nilidhani hata wewe unaelewa hiyo lugha kwa vile ndio kitu pekee ulichokuwa uking`ang`ania ili kukimbia mambo ya msingi kumbe na wewe ni kilaza.SI lazima mtu kuwa na jurisdiction ndipo aweze command wengine, kifikra, kimitazamo na hata physically.

Una fikra nyembamba sana.Hii ndio shida ya watanzania wajinga.Wakati hawajui kiingereza hudhani kuwa hawawezi kujimbu maswali au jieleza kwa vile Kiingereza ni duni, wanapokijua bado wanakuwa hawajui jibu fitu kwa usahihi,halafu wanapat kichaa wanapoona wenzao wakijibu vitu, na kubaki wakikagua lugha ya wengine.Wapo makocha wazuri sana wa Soccer wasiojua kiingereza na bado wananunuliwa hata na waingereza wenyewe.

Dr. Slaa influences your life more than you can imagine, you will spend the rest of ur life trying to hate him, oppose him, but you cant get off-the hook.

Haya makelele unayopiga hayakusaidii sana kufanya wengine wasione jinsi ulivyo confused ,ndio maana unatafsiri hisia zako kwake kama chuki.
 
Watu kama ninyi mkipelekwa mahakamani mnaishia kujikojolea au kujiachia kinyesi.
Assertations zikiwa proved basi hakuna ubishi wa kisheria hapo.

Nape ka assert: Dr Slaa ana kadi ya CCM
DR Slaa amekubali, hapo hakuna ubishi, na mimi sielewi usichokielewa hapo nini?

Nape ka assert: Dr Slaa analipia kadi yake ya CCM
DR Slaa hapo kaingia mitini, lakini kuna ushahidi, according to Nape kuwa kadi imelipiwa, sasa vilaza ninyi hapo msichokielewa kitu gani?

Tatzo lenu ni kuwa na half cooked reasoning capacities ambazo haziwasaidii kuishi!

wewe kimeo kwelikweli.Kuna vitu si sahihi sana kufikiri kam aunavyo fikiri.

-Nape angeweza pia kuuliza Dr. Slaa uliwahi kuwa Padri, naye akajibu Ndio.Na dialogue nzima isiye na chochote ch akumuongezea Nape wala Mpunguzia Dr.Same kama kuwa na Kadi, si kosa na hivyo uthibitisho kuwa anayo kadi hauna ch akuongeza wala kupunguza, zaidi ya kuwachanganya watu wenye ubongo weny epower ndogo kama wako.

-Suala la kulipiwa kadi, nimemuuliza Nape athibitishe kuwa Ni slaa alilipa kwa hela yake na Si CCM na akina Nape wame simulate zoezi zima la ulipaji kazi.Nape hajarudi tena kwa vile kajua where i was going.Kwanini usijiulize kwanini Nape hakujibu hilo swali, tena likuwa km Live kwa vile alikuwa online ktk thread aliyoanzisha.


We kweli tatizo,au utasema kwa vile hukujibu kiingereza tupu ndio maana hujaeleweka au hujajua unachosema kwa ujasiri?Huna tofauti na wapuuzi wengine waliokuwa wakidhani ku rap kiingereza kungewaongezea mauzo nje.matokeo yake wanaofanya kiswahili wanafanya vizuri.Kama hujui hujui tuu hata ukipewa lugha ya jadi utafulia tuu.
 
Umekosea sana kutafsiri sheria labda nahisi sheria SIO KAZI YAKO,nipo tayari kukurekebisha kama ifuatavyo:

Kisheria kesi za madai kama hizi ni mtuhumu(Nape)na wala sio mtuhumiwa(Dr Slaa)anayetakiwa athibitishe bila shaka yeyote(preponderance of evidence)kuwa Dr Slaa ni mwanachama "HAI"wa CCM!

Nimetumia neno mwanachama"HAI"ni kiwa na maana kuwa lzm kadi yake ilipiwe kwani kuwa na kadi ya CCM usiyolipia kwa siku 90 automatically unajifuta uanachama mwenyewe!

Dr Slaa alikuwa mwana CCM na alimshinda Mzee Qorro kwenye kura za maoni CCM mwaka 1995 na CCM ikamteua ALIYESHINDWA kuwa ndiyo mgombea na Dr Slaa akatangaza kuingia upinzani;kwa kitendo chake cha kutangaza kuondoka CCM alikwisha jivua uanachama!

Wana siasa wengi tu TZ walifanya hivi:Nape Nnauye(CCM to CCJ then back to CCM);Maalim Seif;Hassan Mloo,Wakili Mbwelezeni(CCM to CUF);Augustine Mrema(CCM to NCCR),Salum Msabaha(CUF to CCM);Daniel Nsanzugwako;Aman Kaborou(CHADEMA to CCM)Dr Masumbuko Lamwai(NCCR to CCM) na wengineo wengi ambao HATUKUONA KADI ZAO WAKIZIRUDISHA!

Hoja za Nape and his CO kuhusu Dr Slaa ni za "hovyo hovyo"
Mimi SI MWANASHERIA ila common sense and the law of the jungle prevails.
But tha law can also be an ass!

Undhihirisha udhaifu wa argument ambazo zinajipinga kiuhalisia.
Dr alijitoa CCM kwa hasira za kushindwa gemu la siasa za Karatu, na hakurudisha kadi pamoja na madai ya kujitoa.
Miaka 17(KUMI NA SABA) baadaye , bado Dr anayo kadi anayohisiwa kuilipia vile vile!

Leo Dr anakubali kuwa na kadi ya CCM , pamoja na kukusanya za wenziwe walioasi pamoja kutoka chama tawala.
Kama huo si uhovyo hovyo unaoongelea basi maana ya hovyo haieleweki vema kwako.

Ni lazima uelewe kuwa the least the public can expect from a public figure is intergrity, uungwana, uadilifu kwa maneno na vitendo.
PERIOD.
 
viongoz wa CDM hiv ina mana sera yenu ni ufisadi tu. kuna mambo mengi ya kuzungumzia. ina mana ufisad ukikomeshwa hamtakuwa na jipya,jipangen upya kwan tunaamin hik ndicho chama mbadala
hayo mambo mengine ya msingi jadilini ninyi. sisi tunakomaa na ufisadi kwanza maana ndio mwanzo wamatatizo yote pamoja na ujinga wako.!!
 
nilidhani hata wewe unaelewa hiyo lugha kwa vile ndio kitu pekee ulichokuwa uking`ang`ania ili kukimbia mambo ya msingi kumbe na wewe ni kilaza.SI lazima mtu kuwa na jurisdiction ndipo aweze command wengine, kifikra, kimitazamo na hata physically.

Una fikra nyembamba sana.Hii ndio shida ya watanzania wajinga.Wakati hawajui kiingereza hudhani kuwa hawawezi kujimbu maswali au jieleza kwa vile Kiingereza ni duni, wanapokijua bado wanakuwa hawajui jibu fitu kwa usahihi,halafu wanapat kichaa wanapoona wenzao wakijibu vitu, na kubaki wakikagua lugha ya wengine.Wapo makocha wazuri sana wa Soccer wasiojua kiingereza na bado wananunuliwa hata na waingereza wenyewe.

Dr. Slaa influences your life more than you can imagine, you will spend the rest of ur life trying to hate him, oppose him, but you cant get off-the hook.

Haya makelele unayopiga hayakusaidii sana kufanya wengine wasione jinsi ulivyo confused ,ndio maana unatafsiri hisia zako kwake kama chuki.


wewe kimeo kwelikweli.Kuna vitu si sahihi sana kufikiri kam aunavyo fikiri.

-Nape angeweza pia kuuliza Dr. Slaa uliwahi kuwa Padri, naye akajibu Ndio.Na dialogue nzima isiye na chochote ch akumuongezea Nape wala Mpunguzia Dr.Same kama kuwa na Kadi, si kosa na hivyo uthibitisho kuwa anayo kadi hauna ch akuongeza wala kupunguza, zaidi ya kuwachanganya watu wenye ubongo weny epower ndogo kama wako.

-Suala la kulipiwa kadi, nimemuuliza Nape athibitishe kuwa Ni slaa alilipa kwa hela yake na Si CCM na akina Nape wame simulate zoezi zima la ulipaji kazi.Nape hajarudi tena kwa vile kajua where i was going.Kwanini usijiulize kwanini Nape hakujibu hilo swali, tena likuwa km Live kwa vile alikuwa online ktk thread aliyoanzisha.


We kweli tatizo,au utasema kwa vile hukujibu kiingereza tupu ndio maana hujaeleweka au hujajua unachosema kwa ujasiri?Huna tofauti na wapuuzi wengine waliokuwa wakidhani ku rap kiingereza kungewaongezea mauzo nje.matokeo yake wanaofanya kiswahili wanafanya vizuri.Kama hujui hujui tuu hata ukipewa lugha ya jadi utafulia tuu.

Ni wazi uwezo wako wa kuchambua mambo ni mwembamba sana na ndio maana unajikita katika personal attacks.

Usipanic kwa ujuaji wangu wa kiingelesi, maana kama hilo linakupanikisha napenda kukujulisha kuwa tena hicho ni cha kunywea maji tu.
Wenyewe wa kiingereza, tena cha Oxford wapo, tena humu humu JF.
Hata hivyo nilikwisha kuambia hapo nyuma kuwa mimi ni balaa kwa kila kitu kwa ubishi!!

Uwezo wako finyu na imani yako ndogo katika masuala haya yako very clear kwa kila mtu kuona.

Hujaweza kujibu masuala ya msingi ktoka mwenendo wa huyo Dr Slaa na jinsi CDM inavyoyumba kwa sasa hivi.
Mwalimu aliwhi kusema , unamtazama mtu usoni kwa makini na kumsoma, na utweza kumjua mwenendo wake fika.
Dr hatuna haja ya kumsoma usoni,ukosefu wa uadilifu wake unaonekana kila mahali, na nyie wapambe wake endekeeni kumshangilia, maana mnabenefit kwa yeye kuwapo hapo.
The ball is in your court, kama boli huliwezi wapasie wanaoliweza , kaa benchi, namba inakupwaya!
 





Ni wazi uwezo wako wa kuchambua mambo ni mwembamba sana na ndio maana unajikita katika personal attacks.

Nilikwisha kuambia hapo nyuma kuwa mimi ni balaa kwa kila kitu!!
Uwezo wako finyi na imani yako ndogo katika masuala haya yako very clear kwa kila mtu kuona.

Hujaweza kujibu masuala ya msingi ktoka mwenendo wa huyo Dr Slaa na jinsi CDM inavyoyumba kwa sasa hivi.
Mwalimu aliwhi kusema , unamtazama mtu usoni kwa makini na kumsoma, na utweza kumjua mwenendo wake fika.
Dr hatuna haja ya kumsoma usoni,ukosefu wa uadilifu wake unaonekana kila mahali, na nyie wapambe wake endekeeni kumshangilia, maana mnabenefit kwa yeye kuwapo hapo.
The ball is in your court, kama boli huliwezi wapasie wanaoliweza , kaa benchi, namba inakupwaya!
NIliposoma uliposema uwezo wangu wa kuchambu ni mwembamba nilifurahi kuwa kinachofuatia ni wewe kunionyesha palipo pembamba ili niparekebishe niwe noma kama wewe.Kumbe ni bare statement tuu, kinachofuatia hakihusiano wembembamba wa fikra zangu.Sijui wewe kuwa noma ndio proof kuwa mimi nina uwezo mwembamba wa kuchambua?

mwalimu yupi alikuambia?inakuweje vipofu watamwangalieaje mtu usoni,mbona mimi sijakuangali tayari najua ulivyo na Shida ya Self Esteem.SI kila asemacho mwalimu ni absolute truth.Vingine ni dalili tuu ambzo zinaweza saidia jambo au mara nyingne kuhitaji msaada zaidi ili zilete maana.Sasa huo msaada kwako haupo kwa vile una wa cc ndogo kama si umezimwa au functionalities nyingine hujaweza zitumia.

Kama huo mfano wa kumwangalia mtu usoni haukuwa na kazi kwa Dr. Slaa umeuleta hapa wa nini?Kwa nini umeme resource usiyoitumia wala kuihitaji?Its not a smart way in an efficeint world.

Wewe bado ni high school kid.
 





Ni wazi uwezo wako wa kuchambua mambo ni mwembamba sana na ndio maana unajikita katika personal attacks.

Nilikwisha kuambia hapo nyuma kuwa mimi ni balaa kwa kila kitu!!
Uwezo wako finyi na imani yako ndogo katika masuala haya yako very clear kwa kila mtu kuona.

Hujaweza kujibu masuala ya msingi ktoka mwenendo wa huyo Dr Slaa na jinsi CDM inavyoyumba kwa sasa hivi.
Mwalimu aliwhi kusema , unamtazama mtu usoni kwa makini na kumsoma, na utweza kumjua mwenendo wake fika.
Dr hatuna haja ya kumsoma usoni,ukosefu wa uadilifu wake unaonekana kila mahali, na nyie wapambe wake endekeeni kumshangilia, maana mnabenefit kwa yeye kuwapo hapo.
The ball is in your court, kama boli huliwezi wapasie wanaoliweza , kaa benchi, namba inakupwaya!
NIliposoma uliposema uwezo wangu wa kuchambu ni mwembamba nilifurahi kuwa kinachofuatia ni wewe kunionyesha palipo pembamba ili niparekebishe niwe noma kama wewe.Kumbe ni bare statement tuu, kinachofuatia hakihusiano wembembamba wa fikra zangu.Sijui wewe kuwa noma ndio proof kuwa mimi nina uwezo mwembamba wa kuchambua?

mwalimu yupi alikuambia?inakuweje vipofu watamwangalieaje mtu usoni,mbona mimi sijakuangali tayari najua ulivyo na Shida ya Self Esteem.SI kila asemacho mwalimu ni absolute truth.Vingine ni dalili tuu ambzo zinaweza saidia jambo au mara nyingne kuhitaji msaada zaidi ili zilete maana.Sasa huo msaada kwako haupo kwa vile una wa cc ndogo kama si umezimwa au functionalities nyingine hujaweza zitumia.

Kama huo mfano wa kumwangalia mtu usoni haukuwa na kazi kwa Dr. Slaa umeuleta hapa wa nini?Kwa nini umeme resource usiyoitumia wala kuihitaji?Its not a smart way in an efficient world.

kila kitu nimekujibu ila kw auwezo wako huwezi ona majibu,siwezi kushangaa kwani si wewe mtu kwanza.Watu wasio jua vitu hata wakipewa majibu ya mtihani huwa wanafeli kwa vile hawajui hata hayo majibu.

NIngependa kama ungepoteza muda mshawishi Nape aje uahakikishia kuwa huko kulipia kadi ni uhuni mwingine wa CCM,badala yake umefagiia chini ya carpet.kweli huna adabu kama wana ccm wengine.

Umejiona uliposhindwa jibu sasa unajidanganya kuw akiingereza cha kunyea chai, hata kingekuwa cha kunywea gongo bado huna kitu kichwani.Mtoto wa mama wewe.

Wewe bado ni high school kid.
 
NIliposoma uliposema uwezo wangu wa kuchambu ni mwembamba nilifurahi kuwa kinachofuatia ni wewe kunionyesha palipo pembamba ili niparekebishe niwe noma kama wewe.Kumbe ni bare statement tuu, kinachofuatia hakihusiano wembembamba wa fikra zangu.Sijui wewe kuwa noma ndio proof kuwa mimi nina uwezo mwembamba wa kuchambua?

mwalimu yupi alikuambia?inakuweje vipofu watamwangalieaje mtu usoni,mbona mimi sijakuangali tayari najua ulivyo na Shida ya Self Esteem.SI kila asemacho mwalimu ni absolute truth.Vingine ni dalili tuu ambzo zinaweza saidia jambo au mara nyingne kuhitaji msaada zaidi ili zilete maana.Sasa huo msaada kwako haupo kwa vile una wa cc ndogo kama si umezimwa au functionalities nyingine hujaweza zitumia.

Kama huo mfano wa kumwangalia mtu usoni haukuwa na kazi kwa Dr. Slaa umeuleta hapa wa nini?Kwa nini umeme resource usiyoitumia wala kuihitaji?Its not a smart way in an efficeint world.

Wewe bado ni high school kid.
Mkuu endelea kujifaragua na huku ukijipa matumaini yasiyokuwepo.
Ndani ya moyo wako mnajua kuwa mnalea yai viza.
Tatizo tu hamjui lina pasuka lini muifaidi hiyo hydrogen sulfide.

Halafu kama mwenda wazimu vile, unajikanganya sana kujieleza, while the allegations are bare.
Endekea kujifaragua wakati Fr analipia ada yake CCM.
 
Sioni kwa nini iwapo Dr. Slaa ni msaliti wa Chadema iweje wanaotaharuki ni CCM, tena wakiongozwa na Katibu Mwenezi, Mkuu wa propaganda wa chama. Je Nape anataka kutwambia kuwa anajali maslahi ya CDM kuliko ya CCM?

Na sielewi kama CCM inamtumia Slaa kama Mamluki kwa nini CCM ndio itoe siri za umamluki na iwalazimishe Chadema kukubali. Ina maana CCM inajali maslahi ya Chadema kuliko Chadema na Wanachadema?

Tafakari!

kwani wanajua kuwa ktk kila kitu kuna millions of ways ya kuangalia.Nape na wengine waongo wakuu wa hii nchi hawakuona mbali sana.wapo busy wanachakachua daftari ayao ya wanachama ,huku wakilipia watu kadhaa ada wakidhani watakuja na breaking news kuwa hao jamaa ni wanaCCM wazuri.nape hajajibu nilipomwambia aje na uthibisho kuwa ni Dr. na wengine aliowatuhumu ndio waliolipa hizo hela toka mifukoni mwao.hajatokea.
 
Back
Top Bottom