Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Huyu ni kibaraka namba moja wa CCM.Namfahamu siku nyingi alivyo kuwadi wa CCM.
 
Funguka mkuu, huyu dogo namfahamu!.. Ameanza lini kufanya uchafu huu?.

dogo alikuwa na shitambala pale domu kwa lengo la kurudisha kadi ya cdm naye apate ahadi ya kacheo,akapata kigugumizi.wasiliana na shitambala.hapo ndipo alipokosea kwa kuonesha undumila kuwili wake.kazi tunayo.sory kwa kujiita tenende'
 
dogo alikuwa na shitambala pale domu kwa lengo la kurudisha kadi ya cdm naye apate ahadi ya kacheo,akapata kigugumizi.wasiliana na shitambala.hapo ndipo alipokosea kwa kuonesha undumila kuwili wake.kazi tunayo.sory kwa kujiita tenende'


Nimekupata mkuu, Tenende ni jina langu la ukoo, Sijui kama ni tusi!..
 
Maneno ya kuambiwa cdm msihukumiane!! bora EDO KULIKO WENYE KADI MBILI KAMA ..........
 
Mwalimu alijua anachokiongea.
Mkuu licha ya kutokuwa na uelewa sidhani hata kama una hadhi ya kuyakariri maneno ya Mwalimu.

Kwa maneno ya Mwalimu, alimwita mtu kama Dr kuwa ni malaya wa kisiasa, na hilo ndilo mnalolitetea kwa nguvu zote.
Niambie CCM unafaidika nini na uwepo waa Dr. Slaa Chadema? Na kama inafaidika kwa nini kelele kuhusu Dr. Slaa zinatoka CCM?
 
Usijipe moyo, jamaa aache kuchukua mabibi za watu ?

Ati anajenga chama chake kwa kulipia kadi ya CCM!

Msijidanganye kwa kula kunya na kuishi na mamluki asiye na haya.
Ya mabibi na hoja inayojadiliwa hapa havina uhusiano. Na inaonekana kabisa unamchukia Slaa japo unamng'ang'ania kuwa mwanachama wa chama chako.

Kwamba analipia kadi, hayo ni maneno ya mropokaji Nape, ambayo hayajathibitishwa kama ambavyo Nape ameropoka mengi tu. Na ni uongo. Na ameamua kutumia uongo kama mtaji wa propaganda zaka, akiwalenga ambao hawajui kuweka akili zao kwa wanayoambiwa.

Isitoshe kwenye katiba ya CCM hakuna kitu kulipia kadi bali kuna ada ya uanachama.

Katiba hiyohiyo ya CCM inasema kuwa mtu akishajiunga tu na chama kingine anapoteza uanachama wa CCM. Sasa unapokeaje ada ya uanachama kwa mtu asiye mwanachama?

CCM ni chama cha namna gani kiasi kwamba kishindwe kuwatema wasiotimiza masharti ya katiba.

Mkuu hebu tafakari. Issue yote imejikita katika uongo na kupotosha kwa Nape. Ndio maana hata kwenye uzi alioanzisha mwenyewe haji kujibu.
 
So much for your chademic IQ.
See no wrong, hear no wrong Dr Slaa rules your airwaves.
Long live your mentor.

To the rest of us you are one person rotting for lack of intellect.

Your obsessions prove a point.His rule is much effective in your misguided mindset,You ve never learned anywhere that language can be an art and different people have different talents to demonstrate impressive skills in different areas and attributes of a language.But all these have nothing to do with mind power and intelligent reasoning.

Who are the rest of you?Le mutuz,Nape and Wassira+disgraceful You.?
 
Mwalimu alijua anachokiongea.
Mkuu licha ya kutokuwa na uelewa sidhani hata kama una hadhi ya kuyakariri maneno ya Mwalimu.

Kwa maneno ya Mwalimu, alimwita mtu kama Dr kuwa ni malaya wa kisiasa, na hilo ndilo mnalolitetea kwa nguvu zote.
Nape amekuwa kama Mungu.

Neno analolisema Nape hata kama ni la kijinga namna gani watu (pro-CCM) wanapokea bila kupima kwa akili zao.

Kwa akili ya kawaida, kama una askari wako uliyemweka kwenye kikosi cha adui, utamwacha aendelee kufanya kazi yake kwa siri mpaka adui agundue.

Iweje leo CCM ipandikize mamluki Chadema, kisha CCM ndio ipige kelele kuwa kuna mamluki Chadema? Kama mamluki anakufaidia kwa nini umpe adui faida?

This is simple common sense.
 
Huyo dogo Edo Mwamalala, kafanya kazi kubwa sana ya kuijenga CHADEMA huko nyuma.

Ila ndio hivyo tena shukrani ya punda ni mateke.

Ugomvi wake na Dr. Slaa ulianza tokea wakati yeye anagombea ubunge wa Kyela. Dr. Slaa alikataa kumpigia kampeni na badala yake alimpigia kampeni za wazi wazi mgombea wa CCM Dr. Mwakyembe kwa makubaliano kwamba Dr. Mwakyembe naye awaambie wapenzi wake ubunge kwa Mwakyembe na urais kwa Slaa. Hata wakati wa kampeni ya Dr. Slaa Kyela kijana alinyimwa lift kwenye ndege iliyomchukua Dr. Slaa. Ikabidi atumie njia zingine na alipofika Kyela mjini akakuta wenzake wanamaliza mkutano.

Lakini baada ya wana CCM kuahidiana vyeo, zoezi lilibadilika na kila juhudi ikafanywa ili JK ashinde Kyela.

Baadaye huyu dogo hata ukatibu tu wa mkoa akasimamishwa.

CHADEMA kuweni makini na msije mkaingia kwenye kuitana usaliti hata pale pasipo na ukweli. Angalieni jinsi makundi yalivyoiyumbisha CCM. Mkienda na nyie kwenye makundi na kutimuana itakuwa balaa kubwa. Acheni wanachama waamue kwa kura nani awe kiongozi. Kama mtu ni msaliti basi wakati wa kura ndio usaliti wake uwekwe wazi ili wanachama wasimpigie kura. Haya mambo ya fukuzana kila siku, kweli yatakuwa na mwisho mbaya.
 
Jamani nasisitiza tena na tena;Eddo namjua vilivyo na wala HANA HADHI YA KUJADILIWA HAPA!Huyu ni mchumia tumbo na alichokifanya Kyela tulipo mpa nafasi ya kugombea Ubunge tunajua wote!

Njaa yake ni kali zaidi hata ya Shitambala,APUUZWE tu!
 
Kama anahekima c angeenda kwenye vikao vya chama kueleza haya ili asikilizwe kwa utaratibu,kilichomfanya atafute vyombo vya habari? Anataka umaarufu ili awe mtu wa kujadiliwa Kilaza anatembea juu ya ganda la ndizi.
 
EDDO Nampata vizuri, nilipopata habari kuwa ni kasaliti nilishangaa sana, saa hivi kachoka, duuu, malipo ya usaliti.
 
Jamani nasisitiza tena na tena;Eddo namjua vilivyo na wala HANA HADHI YA KUJADILIWA HAPA!Huyu ni mchumia tumbo na alichokifanya Kyela tulipo mpa nafasi ya kugombea Ubunge tunajua wote!

Njaa yake ni kali zaidi hata ya Shitambala,APUUZWE tu!

Bule bule nkamu!
 
Your obsessions prove a point.His rule is much effective in your misguided mindset,You ve never learned anywhere that language can be an art and different people have different talents to demonstrate impressive skills in different areas and attributes of a language.But all these have nothing to do with mind power and intelligent reasoning.(whatever that means)

Who (who?)are the rest of you?Le mutuz,Nape and Wassira+disgraceful You.?

Mkuu hii lugha ya bibi ni dhahiri huiwezi.
Kuunga unga sentesi zinazoweza kubadili maana ya unalotaka lieleweke ni heri utumie lugha unayoiweza-kiswahili.

Zaidi ya hapo hebu tafsiri ulichoandika katika kiswahili ili upate kueleweka.

Zaidi ya hpo nikupe hint ndogo tu, Dr Slaa hana jurisdication yoyote ku-RULE kama unavyosema maana hana mamlaka yoyote kisheria.
Pengine ulimaanisha ku-LEAD chama chake.
Take care!
 
Nape amekuwa kama Mungu.

Neno analolisema Nape hata kama ni la kijinga namna gani watu (pro-CCM) wanapokea bila kupima kwa akili zao.

Kwa akili ya kawaida, kama una askari wako uliyemweka kwenye kikosi cha adui, utamwacha aendelee kufanya kazi yake kwa siri mpaka adui agundue.

Iweje leo CCM ipandikize mamluki Chadema, kisha CCM ndio ipige kelele kuwa kuna mamluki Chadema? Kama mamluki anakufaidia kwa nini umpe adui faida?

This is simple common sense.
Watu kama ninyi mkipelekwa mahakamani mnaishia kujikojolea au kujiachia kinyesi.
Assertations zikiwa proved basi hakuna ubishi wa kisheria hapo.

Nape ka assert: Dr Slaa ana kadi ya CCM
DR Slaa amekubali, hapo hakuna ubishi, na mimi sielewi usichokielewa hapo nini?

Nape ka assert: Dr Slaa analipia kadi yake ya CCM
DR Slaa hapo kaingia mitini, lakini kuna ushahidi, according to Nape kuwa kadi imelipiwa, sasa vilaza ninyi hapo msichokielewa kitu gani?

Tatzo lenu ni kuwa na half cooked reasoning capacities ambazo haziwasaidii kuishi!
 
Mkuu ni lazima una matatizo ya mtindio wa ubongo.
Dr Slaa is on record kukubali kuwa ana kadi ya CCM, na mbaya zaidi anailipia.

Na huyo ndiyo katibu mkuu wenu CDM.

Nape alitoa allegation ambayo ilikuwa CONFIRMED na Dr Slaa mwenyewe, sasa hapo kama brain yako imeingia overdrive na kuchanganyikiwa, usilete za kuleta hapa jamvini.

Hakuna mahali popote ambapo Slaa amesema analipia kadi hayo ni maneno ya Nape. Maneno hayo hayana ushahidi wowote.


Alichosema Slaa ni kwamba Kadi anayo.

Nape amethibitisha kwamba kuwa na kadi si kuthibitisha uanachama

quote_icon.png
By Nnauye Jr

Katika matamshi yangu hakuna mahali nilipohusisha kuwa na kadi na uanachama wa mtu.....hivyo wanaojaribu kubwabwaja kuwa sijui Katiba ya CCM wanakurupuka kwasababu ndogo sana..kukairishwa lazima kumtukana Nape hata bila kupima kwa makini hoja....nilichosema Dr. Slaa na baadhi ya vigogo wa CDM wana kadi za CCM na baadhi yao wanazilipia mpaka leo. Sijazungumzia uanachama wao...najua kuwa kwa katiba ya CCM ukisha kuwa mwanachama wa chama kingine uanachama wako CCM unakufa hapohapo.
 

Hakuna mahali popote ambapo Slaa amesema analipia kadi hayo ni maneno ya Nape. Maneno hayo hayana ushahidi wowote.


Alichosema Slaa ni kwamba Kadi anayo.

Nape amethibitisha kwamba kuwa na kadi si kuthibitisha uanachama
Sasa kwa akili yako pevu kuwa na kadi ya chama unachokichukia ina maana gani kama si usanii au ujuha!
 
Watu kama ninyi mkipelekwa mahakamani mnaishia kujikojolea au kujiachia kinyesi.
Assertations zikiwa proved basi hakuna ubishi wa kisheria hapo.

Nape ka assert: Dr Slaa ana kadi ya CCM
DR Slaa amekubali, hapo hakuna ubishi, na mimi sielewi usichokielewa hapo nini?

Nape ka assert: Dr Slaa analipia kadi yake ya CCM
DR Slaa hapo kaingia mitini, lakini kuna ushahidi, according to Nape kuwa kadi imelipiwa, sasa vilaza ninyi hapo msichokielewa kitu gani?

Tatzo lenu ni kuwa na half cooked reasoning capacities ambazo haziwasaidii kuishi!
Mahakamani hawatapokea kauli ya Nape bila uthibitisho.

Nape hajatoa uthibitisho kuwa kuna malipo. Na Nape wewe unamkubali mimi namwona mropokaji, kama hatoi uthibitisho najua anaropoka. Alisharopoka mengi tu mpaka amefunguliwa kesi iko mahakamani.

Wewe unayekubali neno la Nape bila kupata ushahidi naona ndio una half cooked reasoning.

Is Nape the Quran or the Bible?
 
Back
Top Bottom