Hakika ccm wanaweweseka na kutapatapa wasijue la kufanya!! Leo asubuhi nilifungulia tbccm kwa bahati mbaya nikamsikia Lukuvi akisema kuanzia tar. 19 desemba hii wataanza kurusha mafanikio ya ccm kwenye vituo vyote vya runinga eti waTz wafahamu mafanikio ya ccm na serikali tokea uhuru hadi leo! Hivi kweli mafanikio kama yapo wananchi si wanayaona kwa macho yao? Kuna haja gani ya kutumia kodi zetu kulipia vipindi hivyo mfululizo katika vituo vyote vya runinga? Hizo fedha wangeenda kutengeneze madawati maana kuna wanafunzi hadi leo hii wanakaa chini? Hayo si matumizi sahihi ya kodi zetu hakika!
nafurahi kuona mtanzania wa leo ni mpembuzi wa mambo na si mtu wa kudanganya....propaganda zote hizi zimepolewa na watanzania na wamefanya analysis za kisomi na ndo maana unaona nape na na genge lake lake la wahuni linazidi kuaibika kila kukicha....mi nafikiri wapuuzi kama akina nape ni kuweka mikakati ya kuwapopoa mawe kila wapitapo mikoani na wilayani kwetu.....tutakuwa wapumbavu sana kama tukiendelea kuwavumilia wakina nape wakitumia fedha zetu kununua watu maskini ili waweze rudisha nyuma mapambano ya kudai usawa,haki katika nchi yetu....ifikie pahali tuseme baasi kama taifa.....tukiendelea waacha hawa wapuuzi watazarisha kizazi cha shortcut,full majungu.
Maji yameshakuwa mengi nape!hayazuliki tena kwa ukuta wa udongo!yaache yatiririke yakanyeshe mimea iliyoanza kukauka kwa kuyakosa.
Dr slaa sisi watanzania tupo nyuma yako,Nape endelea kupiga kelele mana walikuzunguka ni wajinga wenzako hawana uwezo wa kukushauri ju ya chama chako kitaondoa umaskini vipi wa watanzania,umekalia kufuga tumbo na kujicream.
kweli wewe ni GT hapa umeongea point tupu sema tu natumia simu ningekupa like mkuuTuacheni utani Slaa ni kiboko yaani ni kama anaimaliza ccm. Kikosi chote cha ccm kinamgwaya unganisha nape kinana mwigulu na mafisadi wote wanamuogopa.
Nape unapanda chat sababu ya CHADEMA NA SLAA WAKIPOTEA HAO WEWE PIA UTAPOTEA NA UMAARUFU WAKO UTASHUKA.
Na magamba yatazidi kuchanganyikiwa Na homa hii ya CHADEMAPHOBIA.
Homa hii inawapata wana CCM hasa mafisadi Na wapambe wao.
Mara nyingi homa hii husababisha complication ya kuingia kichwani. Kama vile ilivyo homa ya malaria kuingia kichwani, Homa hii ya chademaphobia inapoingia kichwani inasababisha Slaaphobia.
Katika hatua hii mgonjwa huanza kuweweseka Na kusema sema hovyo, kuchachanganyikiwa, kupoteza fahamu. Katika hali hii dawa na kuvua gamba na kuvaa gwanda.
Mgonjwa asipotibiwa Anaweza kukaa kwenye hali hii ya kutokuwa na fahamu kwa muda mrefu lakini hatimaye huwa ni kifo
Mkuu Shardcole Magamba wakisikia jina la Dr Slaa wanatetemeka kama wachawi.
Arejeshe kadi ya ccm kwanza ili turejeshe imani kwake
kweli wewe ni GT hapa umeongea point tupu sema tu natumia simu ningekupa like mkuu
Marire ndugu yetu, jiulize Nape umemsikia mara ngapi akimtaja katibu wa CUF ama TLP WACHA NCCR huyu anajua akijibanza kwa SLAA NA CHADEMA CCM WATAJUA ANANIA YA KUKIPA UHAI CHAMA. NANI ASIYEJUA LEO KUWA CCM IMEPOOZA UPANDE WA KULIA HIVYO HAIJIWEZI TENA.
Dr slaa limekua jina la kutolea mapepo ccm.
Kama jina la bwana ..... Kwa wakristo.
thus why wazee wenye hekima wakasema kwamba" Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe"
maandamano yao bado? tunawasubiri kwa hamu ili wajue kua hatudanganyiki