Pre GE2025 Ni ujinga na upuuzi kwa viongozi CHADEMA kutengeneza mkakati wa kuwarejesha Dkt. Slaa, Msigwa au wabunge 19

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
11,445
40,291
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
 
Siasa ni maisha, ila siasa za Afrika ni upuuzi mtupu. Watu wapo mwa ajili yao, matumbo yao na watu wao. There's no public interest kwa yote wanayopigania.
 
Wanasema "hakuna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu kwenye siasa" .
 
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
Slaa alikosewa na Mbowe, anaweza kurudi. COVID -19 hapana
 
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
Msigwa mwanaccm na Dr. Slaa asiye na chama kwa sasa kusema wanamuunga mkono Lissu haimaanishi kuwa Lissu anataka kuwarudisha Chadema kwanza hana mamlaka hiyo hata kama akishinda kuwa mwenyekiti. Ila upande wa Mbowe kuwa na mafungamano na Covid 19 siyo jambo la siri kwani liko wazi. Wake za wajumbe wawili wa CC ambao wako kambi ya Mbowe ni moja ya hao COVID-19, na pia Mbowe mwenyewe amekuwa akishirikiana na Halima Mdee kwenye matukio kadhaa hivyo kuashiria wana mafungamano.
 
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
dr slaa arudishwe chadema ili iweje?
 
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
Japo sijakamilisha hotuba yako; nikujuze ,usaliti unaweza kuwa ni mkakati maalumu kufikia lengo kuu.
 
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
Umeandika madini
 
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
Mtajuana huko huko na lichama lenu,who cares ikiwa mna nyumbu wa kutosha watakaowapigia kura?
 
Kama kuna vitu vya kipuuzi, kijinga na kipumbavu basi ni uwepo wa mikakati madhubuti kutoka kambi zote mbili zinazovutana sasa (Mbowe na Lissu) kutengeneza mikakati tofauti tofauti wa kuwarejesha wasaliti wa Chadema (Dr. Slaa, Msigwa, Covid 19).

Upande wa kambi ya Mbowe wao wanatengeneza mkakati wa Covid 19 kurejeshwa ndani ya Chadema, na tayari miongoni mwao wapo busy kumtia moyo na kumpigania Mbowe abakie madarakani, huku baadhi yao wakiungwa mkono na waume zao ambao ni viongozi waandamizi ndani ya Chadema.

Upande wa kambi ya Lissu, wao wako busy kutaka kumrejesha Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa. Tayari Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa wametangaza rasmi kumuunga mkono na kumpigia kampeni Lissu ashinde uenyekiti wa Chadema. Na kwa nyakati zote, Lissu na wapambe wake wa karibu (wakiongozwa na Lema) wamesema wazi ni muhimu na lazima kwa Dr. Slaa na Mchungaji Msigwa kurejesha ndani ya Chadema ikiwa Lissu atashinda.

Kwa watu wengi wasioelewa ni kuwa, hao wote wanapiganiwa kurejeshwa ndani ya CHADEMA ili wapewe vyeo au ubunge kwa maslahi yao kwanza na sio maslahi ya chama, wanachama au watanzania.

Huenda huu ni miongoni mwa mpango wa kipuuzi, kijinga na kipumbavu zaidi kufanywa na viongozi wa Chadema. Wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chadema simameni sasa bila kujali kambi mnazozishabikia kuupinga huu mpango wazi wazi. Chama chenu kina thamani kubwa sana, kina watu wengi wazuri, watiifu na waadilifu ambao wamejitolea jasho na damu ili kukilinda na kukijenga na kwa nyakati mbalimbali harakati hizo zimekwamishwa na hao wasaliti, litakuwa ni jambo la kitaahira mnoo kurejea kuwakumbatia wasaliti.
Acha chuki dhidi ya Dr Slaa. Baada ya kumkaribisha Lowasa ulitaka afanye nini? So alichokifanya Mbowe kumleta Lowasa aliyetangazwa kama fisadi namba moja na CHADEMA ulitaka Slaa afanye nini? Slaa ni mtu wa kweli na alisimamia ukweli akaamua kukaa pembeni kisha unaleta siasa za chuki hapa
 
Siasa ni maisha, ila siasa za Afrika ni upuuzi mtupu. Watu wapo mwa ajili yao, matumbo yao na watu wao. There's no public interest kwa yote wanayopigania.
Kama hivyo ndivyo, vipi kuhusu wanasiasa waliopo madarakani tayari?.
 
Back
Top Bottom