winner forever
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,095
- 269
Kamwe haki haichangamani na dhuluma. Mtetezi wa haki za wanyonge always ataungwa mkono na majority,Arejeshe kadi ya ccm kwanza ili turejeshe imani kwake
Kamwe haki haichangamani na dhuluma. Mtetezi wa haki za wanyonge always ataungwa mkono na majority,Arejeshe kadi ya ccm kwanza ili turejeshe imani kwake
ccm wameishiwa mbinu za kutawala nchi kisiasa; halafu hili neno la mwenyekiti kikwete kuwakataza ccm kuitumia polisi limekuwa ni mwiba mwingine kwa magamba, hali ikiendelea hivi kwa miezi sita, ccm ndio basi tena. imagine kila shambulizi la ccm kwa chadema halidumu zaidi ya wiki moja, zaidi linaipaisha chadema, watu wanazidi kuikubali chadema na kamanda Slaa...mwacheni nape aunyeunye,
Mkuu winner na ndiyo maana Dr Slaa anazidi kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania.Yeye ndiye mwanasiasa anayependwa zaidi katika Afrika Mashariki.
Hizi siasa wanazo Fanya CCM hazifanywi mahali popote pale Duninian, yaani zinafanywa na CCM pekee, hizi ni saisa za Ajabu za kutumia fedha za walipa Kodi zilizo ibwa na kuzitumia kuwahonga, watu, Nenda Kenya nenda Uganda hakuna Siasa za aina hiyo kabisa
nape kamchokoza kipenzi cha watanzania,ona majority walivyoamka na hisia kali dhidi ya magamba
Landala hapo ndipo ninapoamini Dr Slaa ni tishio kubwakwa kweli nimeamini kuwa ccm hawamuwezi Dr Slaa kwani mpaka sasa wameisha tumia makatibu wakuu 3 kupambana na Dr Slaa lakini wote wamepigwa tko kuanzia Makamba,Mukama na sasa Kinana.Nimeamini kuwa Dr Slaa ni kiboko yao.
Mkuu Shardcole Magamba wakisikia jina la Dr Slaa wanatetemeka kama wachawi.