Baitila Omungalo
Member
- Aug 11, 2013
- 68
- 6
Picha za magumashi kama elimu ya MBOE.
Hawa jamaa cjui wakoje! Mafanikio katika siasa siku zote hutegemea watu wa kawaida na viongoz makini, na hili hutokea pale wanapofanikiwa kupata wafuasi wengi na wawakilishi weng kwenye vyombo vya maamuz. Ukipoteza wafuas kwa njia yoyote ile bado unakuwa hujayafikia malengo bali unaprove failure. Kwa hali ilivo had sasa inawezekana cdm wakapoteza wafuas weng zaid na uwakilish wao bungen ukapungua 2015 hasa kwa kanda ya ziwa. Watu weng wa kanda hii wameipenda cdm kwa sababu ya zzk na c vingnevyo nami nakueleza haya nikiwa hapa Mwanza na stori hiyo ndio iliyopo mjin. Waulize wabunge wa cdm akina wenje, kiwia na machemli kama ni wakweli watawaelezeni hali ilivyo hapa Mwanza. Maamuz ya kamati kuu yanazid kukiathiri chama. Ni sahihi kwa mtu alieenda kinyume na katiba kuadhibiwa ila inabidi uangalie madhara yatakayokikumba chama kwa maamuz hayo. Tujitafakari katika hili.