Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Candid Scope umechelewa sana, picha za ukweli zimewekwa tayari. Na kama unalipwa na babu kupiga propaganda leo utamkoma Josephine.

Hii ni kutoka media si kutoka source ya kijiweni, ndio maana nimeweka source na picha kamili ilivyo kwenye media ya Nipashe, hizo unazosema tuletee source yake.
 
Hila za mwovu ccm zimeshindwa!
Naona wananchi wametulia sana wakisubiri kupewa matirio.
attachment.php

Nimeiweka topic hii kama takika 20 zilizopita imenyofolewa ghafula, na hii nimejaribu kwa mara ya pili tena, kuna wenyewe wanaofanya kazi ya ziada humu balaa, hii ni aibu na pengine tutapeleka malalamiko kwa mmiliki, kwani kilichofanyika si kwa haki na pengine ni kiitikadi badala ya kile tunachokileta wengine chenye source ya kuaminika.
 
Picha ni za kuchakachua bwana mdogo watu wote wanajua. Ningekuwa Mod ningeifuta thread hii na kukupiga BAN la maisha.

Kama picha zimechakachuliwa uliza publication ya gazeti nipashe, sio mie, nimeleta kitu kama kilivyo toka huko. Ilishanyofoliewa nyingine mapema, hii nimeileta mara ya pili.
 
Kila jambo lina wakati wake,paving way si kitu kidogo hususani kwa kupambana na wenye serikali na vyombo vyake vya dola.
 
Deal:CHADEMA andaeni maandamano ya kumuenzi MANDELA, halafu mkusanye na rambirambi.
 
Hii ni kutoka media si kutoka source ya kijiweni, ndio maana nimeweka source na picha kamili ilivyo kwenye media ya Nipashe, hizo unazosema tuletee source yake.

hawa mods watakuwa wamenunuliwa si bure,liwalo na lowe lakini sms sentb
 
Back
Top Bottom