nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,638
- 20,248
Kwa hiyo sasa hivi mpinzani wetu ni Zitto na sio CCM tena?
zitto ni sawa na ccm
Kwa hiyo sasa hivi mpinzani wetu ni Zitto na sio CCM tena?
hivi msigwa nae ni wa kuongea akasikilizwa?
natural justice?acha utani,Zitto katuumiwa kwenye kikao hicho hicho bila ya kumpatia nafasi ya kujibu siku hiyo hiyo kikajibadili kutoka uendesha mastaka kikajipa jukumu la kuwa jaji,kikamvua madaraka yote,sasa wakaona la "kwa nini asivuliwe uanachama ndio wamempa siku 14"hii ndio natural justice au nawe ni walewale zidumu fikra sahihi za dr slaa?Mafala wa Zitto na MACCM walifanya wananchi wawe sympathetic na DR Slaa it was a very poor calculation ya kutumia watu wa Mwanza na ndugu wa damu kufanya fujo wangeacha natural justice it take place pengine ingekuwa vingine sasa hivi inaonyesha kama vile wananchi wanasema hatutaki kubandikwa maneno, kwamba sisi ndio baadhi ya wananchi walianzisha mageuzi hongereni wananchi wa Mwandiga , Zitto nyumba yake pale kona ya barabara hata hajaiezeka manake anaonyesha yeye ni mpita njia
picha tafadhali...
hahahaaa....... mkuu umeingia shift ya usiki siyo! karibu tulikumiss muda
Babu hakutegemea kabisa yaliyomtokea huko na anajuta kwanini alienda.
unaota ndoto utazika ndugu zako wote mwisho nawewe utaiacha CCM ikitawala
We k nini kwan hiyo apo juuu ni mavuz