Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Kila mwamba ngozi huvutia kwake ila kwa hili mie sivuti popote maana ukweli unaonekana dhahiri la sivyo anayebisha ana uwezo mdogo wa kufikiri na ni zuzu
 
mlisema hautafanyika na mtamuua, umefanyika kwa ujasiri mkubwa mnakuja na hoja kuwa wadoda, sijui tuwaweke category gani jamani masalia na vipandikizi vya MM Co. Ltd.
 
We mchwa leo hukupata chochote Lumumba, pole sana! Hv hujui kwamba hata shetani anachukizwa na tabia yako uongo kupita kiasi, Acha upakashume hakuna fujo ya aina yoyote kidahwe wala kabungha tatizo ilikuwa n mvua ndo maana tuliahirisha mkutano pale na wala sio fujo unavodai na kutamani.
Mvua ni mibaraka toka kwa molla hatuwezi kuzuia ila CCM wanaweza make mko na prof. Maji marefu pale. Tupo imara cdm.
 
Mkuu ila unachoka kwa kutumia muda mwingi kuifatilia CHADEMA kuliko familia yako!!
Kwani wewe Kinakuuma nini?Mbona na ww unachoka sana kwa kujibu kila mtu anayeanika ukweli wa mambo maovu ya CHADEMA>?Pole kwa kukuwasha kimoja
 
nimelazimika kisubiria taarifa habari ya itv saa tano kuona ulichoandika.
kumbe mvua kubwa ilinyesha na watu kulazimika kuondoka alafu wewe chuma chakavu ukaja kuchukua picha!
 
Mi naamini amekamatika, maana wmekuwa wagumu kuweka picha wkt wanajigamba ni wazee wa ushahidi wa yale wayaandikayo
 
nimelazimika kisubiria taarifa habari ya itv saa tano kuona ulichoandika.
kumbe mvua kubwa ilinyesha na watu kulazimika kuondoka alafu wewe chuma chakavu ukaja kuchukua picha!

hahahahha hizo Picha zinaonesha kunamvua imenyesha?Subiria za makene ambazo hakukuwa na Mvua.Umewaona POLISI hapo wanavyokula deal na slaa?
 
Mi naamini amekamatika, maana wmekuwa wagumu kuweka picha wkt wanajigamba ni wazee wa ushahidi wa yale wayaandikayo

Nawasiwasi Kibarua cha MAKENE kinakaribia kuota nyasi,Amenunua ITV waedit picha,yeye amesahahu kuweka picha humu za Mikutano ya mwaka 2010 aseme za leo
 
Kila mwamba ngozi huvutia kwake ila kwa hili mie sivuti popote maana ukweli unaonekana dhahiri la sivyo anayebisha ana uwezo mdogo wa kufikiri na ni zuzu

hujasema bado, hujaeleweka unataka kusema nn
 
nimelazimika kisubiria taarifa habari ya itv saa tano kuona ulichoandika.
kumbe mvua kubwa ilinyesha na watu kulazimika kuondoka alafu wewe chuma chakavu ukaja kuchukua picha!
 
Masikini slaa anatia huruma sana mkutano wa katibu mkuu hauna hata watu 50 adhani sasa inabidi wakae waangalie upya unaweza kuta ndo kifo cha cdm, km eneo alopata kura zaidi ya 40% leo wamemugeuka hivi je kilimanjaro alipopata 5% itakuwaje?

Kazi nzuri ya Mwigulu
 
Mkuu Taswira usihangaike sana kutafuta mapicha na kujua ni watu wangapi wamehudhulia katika mkutano wa Padri Slaa kwani wengi wanaenda kumshangaa na kumjua mtu aliejawa na roho mbaya ya chuki na visasi. Mimi huwa nahudhuria mara kadhaa mihadhara yake, kwa mfano kwene kukusanya maoni ya katiba Mkwakwani palifura ile mbaya lakini watu waliondoka na kukusema kama huyu ndio anataka kuiongoza hii nchi basi ni hasara kubwa kwa taifa hasa kwenye taasisi ya Urais. Hajiwezi kichani zaidi ya mipango ya fitna tu.

Nimesikia Mbowe ndoa yake inapumulia Mashine,mke wake anataka talaka na File limeshafika kwa DDP,Maana yake chama kitakuwa kinaongozwa na maseja watupu waliokataa kanisa na msikiti na kuamua kuishi na Vimada.Kuna Viongozi hapo?
 
Wewe siasa kali uende kwa padri? Labda kama ulikwenda kurusha bomu maana ulivyo na chuki na wa wakristo siwezi kuamini kuwa ulikwenda bila bomu.

Siasa kali ndio nini we kauzu7?
 
Back
Top Bottom