Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

mbona picha zimepigwa kiaina sana? hizo picha pamoja na kuwepo mvua kubwa lakini watu wanaonekana walivumilia kunyeshewa mvua ili mradi tu wamsikilize dr slaa! hakika dr ni kipenzi cha watz wote.

mkuu hizi sio picha za ITV za kuedt na kudanganya watanzania
 
Mwaka huu ataujua na bado,kama walivyomlegeza Iramba na Mwigulu akajaribu na Mpanda.
 
SLAA+2+KGM.jpg


Tena hapa ashukuru mungu shule zimefungwa watoto wamempiga tafu.
 
Mkuu Taswira usihangaike sana kutafuta mapicha na kujua ni watu wangapi wamehudhulia katika mkutano wa Padri Slaa kwani wengi wanaenda kumshangaa na kumjua mtu aliejawa na roho mbaya ya chuki na visasi. Mimi huwa nahudhuria mara kadhaa mihadhara yake, kwa mfano kwene kukusanya maoni ya katiba Mkwakwani palifura ile mbaya lakini watu waliondoka na kukusema kama huyu ndio anataka kuiongoza hii nchi basi ni hasara kubwa kwa taifa hasa kwenye taasisi ya Urais. Hajiwezi kichani zaidi ya mipango ya fitna tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Taswira usihangaike sana kutafuta mapicha na kujua ni watu wangapi wamehudhulia katika mkutano wa Padri Slaa kwani wengi wanaenda kumshangaa na kumjua mtu aliejawa na roho mbaya ya chuki na visasi. Mimi huwa nahudhuria mara kadhaa mihadhara yake, kwa mfano kwene kukusanya maoni ya katiba Mkwakwani palifura ile mbaya lakini watu waliondoka na kukusema kama huyu ndio anataka kuiongoza hii nchi basi ni hasara kubwa kwa taifa hasa kwenye taasisi ya Urais. Hajiwezi kichani zaidi ya mipango ya fitna tu.

Wewe siasa kali uende kwa padri? Labda kama ulikwenda kurusha bomu maana ulivyo na chuki na wa wakristo siwezi kuamini kuwa ulikwenda bila bomu.
 
Last edited by a moderator:
Slaa wenzake wanaomboleza kifo cha Mandela, yeye yuko busy anakukuruka na fitina.

Wenzake wanaweka bendera nusu mlingoti yeye anaweka bendera mpaka juu!

Nasikia rais wetu anasubiri kuanua matanga.
 
milioni kumi na tisa aliyopewa inamtosha kabisa.

Ha ha ha we jamaa nikiona jina lako nacheka sana, wenzenu cdm wanajipa majina ya wanaharakati wanaendana na wayatendayo lakini ccm mnajipa majina yanayofanana na akili na matendo yenu mfano msalani, mzoga wetu, simiyu yetu(ubinafsi), nk
 
Back
Top Bottom