Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

attachment.php

Hii ilikuwa kasulu kabla hakijanuka...
 
Kwa iyo ulitaka wajae kwenye mkutano na mvua inanyesha?,mijitu mingine mburula kweli picha kaleta yeye watu wapo na miamvuli lakini bado halielewi,mtakufa mwaka huu magamba!
 
Khabari ndio hiyo sio Makene analeta Uzushi anaulizwa picha analeta za 2010 ukijikwaa kidole ni bora kuliko kujikwaa Ulimi sasj vuneni mnachopanda.
 
RIP zitto msaliti
mwaka huu hata hao maccm wanaokutetea politics kwako ndo rip
Kama CDM wasipokuvua madaraka yote kuna hali ya hatari kutokea CDM
 
Slaa alisema nchi hii haitatawalika tena, lakini sasa anachekelea ulinzi wa FFU kwa hisani ya serikali ya CCM.
 
mbona picha zimepigwa kiaina sana? hizo picha pamoja na kuwepo mvua kubwa lakini watu wanaonekana walivumilia kunyeshewa mvua ili mradi tu wamsikilize dr slaa! hakika dr ni kipenzi cha watz wote.
ha ha ha ha kumbe hata we umezishtukia
 
Kiukweli ni hatari hii,tuache ushabiki wa kijinga.Chama kinaumia sana kwa maamuzi ya kijinga!

kama linaumia we inakuhusu nn sasa, si ndo uanze kufurahia chama kinafuka? haturudi nyuma hapa
wasaliti wote tupa huko
 
Masikini slaa anatia huruma sana mkutano wa katibu mkuu hauna hata watu 50 adhani sasa inabidi wakae waangalie upya unaweza kuta ndo kifo cha cdm, km eneo alopata kura zaidi ya 40% leo wamemugeuka hivi je kilimanjaro alipopata 5% itakuwaje?
 
Slaa aliambiwa na Wanakigoma, kuwa hali haijatulia, asiende, akataka kushindana Ubavu na Zitto kwa kumuonesha kwamba yeye yuko Juu, sasa ona anaibika anahutubia upepo!. HUYU MZEE HAAMBILIKI, HAFAI HATA KIDOGO!
 
Dr W P Slaa kiboko. Hata kama MaCCM hawataki hadharani ila wakijifungia wanakubali huyu presidaa wa mioyo ni nouma. Kaimarisha chama, kakutana na wananchi mkoa wote wa Kigoma, pamoja na tararira nyingi sana za Magamba wakisaidiana na Masalia.

Huwezi kuzuia nguvu ya Mungu kwa Ushirikina wa kuuwa panya.

Tunashukuru sana wanchi wa Kigoma, pamoja na nguvu nyingi kutumika kuhujumu mikutano ya CDM ila wananchi wameonyesha uzalendo wa hali ya juu. Hatumchukii Zito hata kidogo tunachukia matendo yake maovu tu. Msaliti ni msaliti tu, ZZK amesaliti watu wa Mwandinga kuliko sehemu yeyote ile ya nchi, walimtegemea, walimwona kiongozi leo wanashangaa nini kimemkuta.

Mwandinga asanteni sana, na hii iwe fundisho kwa yeyote msaliti-Chama ni maarafu kuliko mtu.
 
Daa slaa uwashukura police ccm ndio wamekuokoa sasa sijui watakua police cdm aaaahaaaa
 
Dr.Slaa Utukutu upo kwenye damu, ndio maana utumishi wa mungu ulimshinda, ni jukumu la watanzania kutafakari, kama BABU alishindwa kuonyesha uaminifu kwa mungu, atawezaje kuonyesha uaminifu wa binadamu wenzake?
 
mbona picha zimepigwa kiaina sana? hizo picha pamoja na kuwepo mvua kubwa lakini watu wanaonekana walivumilia kunyeshewa mvua ili mradi tu wamsikilize dr slaa! hakika dr ni kipenzi cha watz wote.

Hahahaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Is uwe unakubali ukweli
Na hongera kwa kupenda kujipa moyo.
 
Sasa Slaa watu hao ndio kafunga safari kwenda kuongea nao Kigoma si amechoma mafuta bure.
Bora angewatumia ujumbe anaotaka kuwapa kwa SMS tu!
 
Maccm yanahangaika sana kumchafua Dk Slaa na CHADEMA. hamjui adui yenu ni sisi WATZ MLIOTUAHIDI MAISHA BORA, BADO TUBATESEKAKA KATIKA LINDI LA UMASKINI, HATUNA MAJI,ELIMU MBOVU,HATUNA AJIRA,HUDUMA ZA AFYA MBOVU. PESA MNAZOTUMIA KUHONGA MAPANDIKIZI KUZUIA MABADILIKO NI NYINGI SANA. WATZ WA LEO HATUDANGANYIKI. MNAOWAPIGA VITA CCM NDIO TUTAKAOWASAPOTI. MABADILIKO 2015 NI LAZIMA.
 
Back
Top Bottom