malenga wetu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 283
- 198
Kitu gani kimekufanya udhani kuwa Obama ni mweusi?
Ujaluo wake umepata vipi thamani zaidi ya umarekani wake?
Tatizo lako wewe ni exposure. Mtu akiwa mbaguzi haimaanishai kuwa hawezi kualika watu tofauti, kinachomaanishwa ni kwamba in their mentality hawampi thamani sawa kama biandamu wengine.
Hapo Slaa anaonekana kama object of touristic attraction na hakuna anachoongea kinachochukuliwa seriously.
Pengine hutaweza kunielewa kama exposure yako iko limited.
Nimeweka habari hapo msome ili mjue nini kinaendelea. Sasa kama kusoma nako hamtaki mnakuja kubisha bisha to typical of bavicha, mnaonekana sifuri tupu...
Labda nikuulize swali rahisi tu. Umeshawahi kufika Alabama? What did you see?
Angalia hizo picha za Slaa, unaona mtu mweusi anywhere nearby? Have you asked yourself why? Fungua picha za Slaa kuanzia siku ya kwanza ameingia Alabama mpaka ya mwisho halafu sema kama kuna mtu yoyote mweusi hata kwa mbali kwenye picha.
Kweli kabisa, kuangalia mpira ni jambo la maana sana kwa chadema...
Tatizo lao ni exposure. Hawajawahi kukakaa katika mazingira ya ushindani na hao watu ili waweze kuona undani wao walivyo. Wao wamezoea kuona wazungu wanawaletea peremende na biskuti za misaada tu...
Mkuu Mwita,
Kweli nyinyi watu mmelaghaika kwa kupitiliza kiwango. Yaani Slaa anawadanganya kuwa Kikwete ameenda Marekani kwa ajili ya kumuharibia safari yake yeye!!! Ina maana Slaa amefanikiwa kukulaghai kuwa UN General Assembly iliitishwa ili Kikwete aende kuharibu dili za Dr. Slaa.
Slaa ni gwiji la ulaghai...
Tatizo lako unataka kunilazimisha kukubaliana na mambo ambayo bado sijakubaliana nayo. You seem to accept kwamba Obama ni mweusi, lakini usifanye assumption kwamba kila mtu anakubaliana na perception hiyo.
Ndio maana nikakuuliza kitu gani kimekufanya useme Obama ni mweusi na si mweupe? Angalia makini kwa sababu jibu lako linaweza kuwa racist au sexist in nature.
Nirudie mara ngapi kwamba ni ujaluo wake? Kuusema ukweli wa ujaluo wa Obama ni racism?
Ze Makopo inaonekana hii kitu imekuuma kweli. MaCCM yamepanic.