Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

Slaa angekuwa mtu smart swali la kwanza alipaswa kujiuliza kwanini katika maeneo anayopita haoni watu weusi? Je, Alabama hakuna watu weusi? Mbona alipokuwa Washington aliona watu weusi kwenye majengo ya serikali?

Slaa ajitahidi kusoma saikolojia ya hao watu wanavyomfikiria mtu mweusi na asidhani yeye wanamuona tofauti - no way, hapo Slaa anaonekana kama object of touristic attraction tu...
Hivi Alabama wanamtambua mweusi Obama kama rais wa US au ni independent nation!
 
Umesoma habari niliyokuwekea? Vijana wa bavicha mna tabia ya uvivu wa kusoma. Ungesoma usingeandika hiki ninachokisoma toka kwako.

Alabama is a racist state. Hao unaowaona wanaongea na Slaa wote ni supporters of racist laws. Slaa hapo wanamuona kama object of touristic attraction tu, asidhani wanamuona kama binadamu wa thamani sawa.

Open your eyes...

Mbona hoja gongana, iweje wabaguzi wa mweusi wamwalike mweusi tena, just think about it before making argument.

 
Umesoma habari niliyokuwekea? Vijana wa bavicha mna tabia ya uvivu wa kusoma. Ungesoma usingeandika hiki ninachokisoma toka kwako.

Alabama is a racist state. Hao unaowaona wanaongea na Slaa wote ni supporters of racist laws. Slaa hapo wanamuona kama object of touristic attraction tu, asidhani wanamuona kama binadamu wa thamani sawa.

Open your eyes...

Mkuu Hakuna racist Anayeweza kumkaribisha mtu anayembagua Na kumpa heshima! Usidanganye Watu.
Wewe Inaonekana Una mawazo ya kihistoria; nchi zinabadilika
 
Mbona hoja gongana, iweje wabaguzi wa mweusi wamwalike mweusi tena, just think about it before making argument.


Tatizo lako wewe ni exposure. Mtu akiwa mbaguzi haimaanishai kuwa hawezi kualika watu tofauti, kinachomaanishwa ni kwamba in their mentality hawampi thamani sawa kama biandamu wengine.

Hapo Slaa anaonekana kama object of touristic attraction na hakuna anachoongea kinachochukuliwa seriously.

Pengine hutaweza kunielewa kama exposure yako iko limited.
 
Mkuu Hakuna racist Anayeweza kumkaribisha mtu anayembagua Na kumpa heshima! Usidanganye Watu.
Wewe Inaonekana Una mawazo ya kihistoria; nchi zinabadilika

Nimeweka habari hapo msome ili mjue nini kinaendelea. Sasa kama kusoma nako hamtaki mnakuja kubisha bisha to typical of bavicha, mnaonekana sifuri tupu...

Labda nikuulize swali rahisi tu. Umeshawahi kufika Alabama? What did you see?

Angalia hizo picha za Slaa, unaona mtu mweusi anywhere nearby? Have you asked yourself why? Fungua picha za Slaa kuanzia siku ya kwanza ameingia Alabama mpaka ya mwisho halafu sema kama kuna mtu yoyote mweusi hata kwa mbali kwenye picha.
 
Hizi ni dalili njema kwa watanzania kuwa na kiongozi wa chama anaekubalika kimataifa, na ukiona hata wazungu wamekubali ujue uwezo wa huyo mtu ni wa hali ya juu kila laheri Dr. W.P Slaa

Hata Jah Kaya anakubalika ughaibuni......
 
Serikali ya Marekani wameahidi kuhakikisha Dr Wilbroad Slaa kuwa the next presdent of republican of Tanzania kama walivyohakikisha Sata kuwa rais wa Zambia,taarifa inasema ni kutokana na serikali ya ccm kuunga mkono terrorist organisation na kuendekeza udini kwa nia ya kuharibu taifa la Tanzania,mtakao lia lieni na mtakao umia umieni,Marekani wakiamua hakuna wa kubisha,is matter of time

View attachment 115397


Neo- colonialism bado inasumbua sana,

Ni unyonge kuwa na mawazo ya kuwatumain wazungu kwamba wana uchungu naww ili hali wao wana agenda zao nyingi vichwani mwao,amka ktk huo usinngiz...!!
 
Neo- colonialism bado inasumbua sana,

Ni unyonge kuwa na mawazo ya kuwatumain wazungu kwamba wana uchungu naww ili hali wao wana agenda zao nyingi vichwani mwao,amka ktk huo usinngiz...!!

Tatizo lao ni exposure. Hawajawahi kukakaa katika mazingira ya ushindani na hao watu ili waweze kuona undani wao walivyo. Wao wamezoea kuona wazungu wanawaletea peremende na biskuti za misaada tu...
 
Mkuu wa kikosi cha buku saba fc project ZeMarcopolo yuko kila uzi unaomhusu raisi wetu mtarajiwa Dr.W.Slaa!

Mmemtuma gaidi mwigulu akishirikiana na msaidizi wa Kikwete-Luhwavi kwenda Marekani kuhujumu ziara ya Dkt. Slaa lakini wameshindwa kufua dafu baada ya kubaini kuwa ziara yake imelenga taasisi za kimarekani ambazo mwigulu hawezi kutia pua.

Nyie endeleeni kuwagawia $3,000 hao wabeba box waliojichokea ili mfungue matawi hewa na kuwahadaa wanaccm wenzenu kuwa kazi mliyoiendea mmeikamilisha kumbe mwigulu na luhwavi wameambulia aibu ya mwaka huko Marekani.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wa kikosi cha buku saba fc project ZeMarcopolo yuko kila uzi unaomhusu raisi wetu mtarajiwa Dr.W.Slaa!

Mmemtuma gaidi mwigulu akishirikiana na msaidizi wa Kikwete-Luhwavi kwenda Marekani kuhujumu ziara ya Dkt. Slaa lakini wameshindwa kufua dafu baada ya kubaini kuwa ziara yake imelenga taasisi za kimarekani ambazo mwigulu hawezi kutia pua.

Nyie endeleeni kuwagawia $3,000 hao wabeba box waliojichokea ili mfungue matawi hewa na kuwahadaa wanaccm wenzenu kuwa kazi mliyoiendea mmeikamilisha kumbe mwigulu na luhwavi wameambulia aibu ya mwaka huko Marekani.
Mkuu Mwita,

Kweli nyinyi watu mmelaghaika kwa kupitiliza kiwango. Yaani Slaa anawadanganya kuwa Kikwete ameenda Marekani kwa ajili ya kumuharibia safari yake yeye!!! Ina maana Slaa amefanikiwa kukulaghai kuwa UN General Assembly iliitishwa ili Kikwete aende kuharibu dili za Dr. Slaa.

Slaa ni gwiji la ulaghai...
 
The issue you raised was whether Obama is black or not. Nimekuuliza huko Alabama wanamtambua mweusi Obama kama rais wa US? Jibu lako.

Tatizo lako unataka kunilazimisha kukubaliana na mambo ambayo bado sijakubaliana nayo. You seem to accept kwamba Obama ni mweusi, lakini usifanye assumption kwamba kila mtu anakubaliana na perception hiyo.

Ndio maana nikakuuliza kitu gani kimekufanya useme Obama ni mweusi na si mweupe? Angalia makini kwa sababu jibu lako linaweza kuwa racist au sexist in nature.
 
Aki ya mama hichi ndo kinachoiponza chadema , maneno mengi sana. Mmezidi
 
Tatizo lako unataka kunilazimisha kukubaliana na mambo ambayo bado sijakubaliana nayo. You seem to accept kwamba Obama ni mweusi, lakini usifanye assumption kwamba kila mtu anakubaliana na perception hiyo.

Ndio maana nikakuuliza kitu gani kimekufanya useme Obama ni mweusi na si mweupe? Angalia makini kwa sababu jibu lako linaweza kuwa racist au sexist in nature.
Nirudie mara ngapi kwamba ni ujaluo wake? Kuusema ukweli wa ujaluo wa Obama ni racism?
 
Back
Top Bottom