Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,289
mambo ya kuiga bana, soon Dr. Slaa na CDM wataiga na kuleta sera za USHOGA Tanganyika
.....Mbayuwayu changanya na zako = nukta
mambo ya kuiga bana, soon Dr. Slaa na CDM wataiga na kuleta sera za USHOGA Tanganyika
Kwa kuwa unadadisi vitu usivyojua, nitakueleza, in AL, tide ndiyo team kubwa yenye mvuto sana. Kuna kitu kina1. Unafahamu madhara ya kuweka mkono pembeni ya hapo unapodai moyo ulipo? kama ilivyo mtu akipigwa risasi?
kwa kufanya hivyo aliathili vitu vingapi? na madharagani yalitokea? kama hakuna basi wewe Fitina mwiko mjinga wa haja.
kama yapo orodhesha.
2. wakati Kikwete anabembea, walikuwa pamoja na Rais wa jamaika? kama sivo nidharau na kujidharirisha
3. Wakati Kikwete anatembelea Timu ya sundaland nakupewa jezi alikuwa na waziri mkuu wa England?
4. Je hao wenyeji wake Dr Slaa, kwa nyazifa na heshima zao unadhani pia ni wajinga?
Unaelekea akili yako ni ndogo kiuelewa kupita maelezo, endapo kikwete angebembea na mgeni wake, wala tusingelalamika
Kinachotufanya kuona kikwete alipotoka nipale rais wa Jamaica alipopuuza ubembeaji na kumwacha huyu asiyejuwa
wajibu wake aendelee kucheza.
Kuonesha hujuwi unachokitetea wala unachokijadili nakwamba upouwezekano mkubwa nimmoja wa f4-failure umeshindwa kujibu maswali rahisi tu hapo juu, badala ya kubwabwaja towa majibu stahiki.
sioni tofauti kati yako na wale jamaa wa Lumumba, kazi yenu ni kishabikia tuu kwakuwa tunapenda.....Mbayuwayu changanya na zako = nukta
Kumbe Slaa alivyokuwa analalamika kuhusu Kikwete kusafiri ilikuwa ni kwa sababu yeye hajapata fursa hizo tu. Kumbe alikuwa anatamani apate yeye fursa ya kusafiri...
Kumbe Slaa alivyokuwa analalamika kuhusu Kikwete kusafiri ilikuwa ni kwa sababu yeye hajapata fursa hizo tu. Kumbe alikuwa anatamani apate yeye fursa ya kusafiri...
Mwenye ufaham hujadili kwa kuzingatia uwiano wa ulinganifu kwa walengwa.
Unawalinganisha kwa uwiano wa safari ngapi za kikwete dhidi ya Dr. Slaa? Na kwa wastan wa safari ngapi za kikwete kwa mwezi Vs za Dr Slaa?
.....hama chama kama imekuuma!!!sioni tofauti kati yako na wale jamaa wa Lumumba, kazi yenu ni kishabikia tuu kwakuwa tunapenda
asante mkuu .
Kwa kuwa unadadisi vitu usivyojua, nitakueleza, in AL, tide ndiyo team kubwa yenye mvuto sana. Kuna kitu kina
itwa home coming, ambacho huwa jumuisha watu almost wote na waliosoma/wanaosoma kushabikia team yao. Kitendo cha UAs executive pamoja na gavana kuwepo uwanjani ni support kwa team yao, it has nothing to do with Dr. Slaa. Hao jamaa kitendo cha kuwepo uwanjani ni moja ya kazi zao. Jaribu kuuliza watu waliosoma USA watakueleza
Mimi ni mtanzania ambaye niko hapa USA kwa miaka 6 sasa. Una uhakika na haya unayoyasema?Kwa kuwa unadadisi vitu usivyojua, nitakueleza, in AL, tide ndiyo team kubwa yenye mvuto sana. Kuna kitu kina
itwa home coming, ambacho huwa jumuisha watu almost wote na waliosoma/wanaosoma kushabikia team yao. Kitendo cha UAs executive pamoja na gavana kuwepo uwanjani ni support kwa team yao, it has nothing to do with Dr. Slaa. Hao jamaa kitendo cha kuwepo uwanjani ni moja ya kazi zao. Jaribu kuuliza watu waliosoma USA watakueleza
Natabiri kwamba DR. SLAA ndiye RAIS ajaye
Mimi ni mtanzania na niko hapa USA. Huo sio uongo!!Uongo mwingine ni wa kitoto sana!