ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Dr. Slaa kafunika Mwigulu amebaki kuwa dagaa.
Kumbe Slaa anashindana na mwigulu!!!
Dr. Slaa kafunika Mwigulu amebaki kuwa dagaa.
Kumbe Slaa anaota ufalme! Ndio maana Josephine anajiona yuko above the law!!!
Slaa wenzake wameweka mkono kwenye moyo, yeye kaweka mkono kwenye tumbo. Hii inamaanisha Slaa yuko kwa maslahi ya tumbo lake, which is true...
His Excellency.....!