Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

Dada Josephine nguo iyo iyo kila siku jamani! au mi ndio sioni vizuri?:A S-confused1:

Josephine ni mshamba wa kutoka ndanindani huko. Ameimprove baada ya kukutana na Slaa. Lengo lake maishani lilikuwa kuolewa na mwanasiasa anayeonekana kwenye TV. Sasa lengo lake limetimia na roho yake imefurahi.
Anajiona babkubwa kiasi kwamba anasema watanzania wanaoishi Marekani ni wakimbizi...
 
Since nyota hii iwake haijawahi kuzima, ukiainisha faida na hasara zake, faida ni nyingi kuliko hasara.

God bless you sir
 
Kumbe hata Slaa anakubalika Marekani! Ile kete kwamba upinzani hawatakuwa na bao kwa sera za nje ni bure kumbe! Mbele Daima Nyuma Hapana!

You idiot, unajua tofauti kati ya sera ya nje na kukubalika?

Kuangalia mpira na kukubaliana kisiasa ni vitu viwili tofauti. hujawahi kumuona Obama akichaza gofu na John Boehner?
 
Serikali ya Marekani wameahidi kuhakikisha Dr Wilbroad Slaa kuwa the next presdent of republican of Tanzania kama walivyohakikisha Sata kuwa rais wa Zambia,taarifa inasema ni kutokana na serikali ya ccm kuunga mkono terrorist organisation na kuendekeza udini kwa nia ya kuharibu taifa la Tanzania,mtakao lia lieni na mtakao umia umieni,Marekani wakiamua hakuna wa kubisha,is matter of time

View attachment 115397
 
Dr. Slaa ni zinga la -----!

Hapo anaonekana kama object of touristic attraction tu!!!
 
Josephine ni mshamba wa kutoka ndanindani huko. Ameimprove baada ya kukutana na Slaa. Lengo lake maishani lilikuwa kuolewa na mwanasiasa anayeonekana kwenye TV. Sasa lengo lake limetimia na roho yake imefurahi.
Anajiona babkubwa kiasi kwamba anasema watanzania wanaoishi Marekani ni wakimbizi...


Maneno yako yanautofauti gani na hotuba ya mwenyekiti wako? Maana mnashindwa kujadili hoja mnaanza kudiscuss personal issues.

Nashukuru sijafunzwa kutukana direct na wala sio hulka yangu.
 
Mimi ni mnazi wa CHADEMA ila naomba kuuliza tu
Hii habari ya "jikoni" au ya "kiintelijensia"??
 
attachment.php


Akisindikizwa kuingia uwanjani kushuhudia pambano la American Football kama mgeni wa heshima baila ya Chuo cha Auburn na Georgia.

Je, Mwigulu Mchemba amesindikizwa hivyo au Nape pia?
 
Maneno yako yanautofauti gani na hotuba ya mwenyekiti wako? Maana mnashindwa kujadili hoja mnaanza kudiscuss personal issues.

Nashukuru sijafunzwa kutukana direct na wala sio hulka yangu.

Sasa hapa kuna hoja gani ya kujadili? Ebu anza kuijadili hiyo hoja tuione...
 
Kama ni maandalizi ya 2015 hapa mmenoa ,, wapiga kura wako mtera, kishapu , tarime, pemba , handeni na n.k huko.marekani ni kwenda kupanga namna ya kutuuza tuu.
 
SIASA BWANA.......muda mwingine nazipenda,muda mwingine nazichukia,ukiniuliza kwanini jibu ni kwamba hata mimi sijui....yes sijui.....kwani kuna ubaya gani kutojua kitu na ukakiri,si hata Rais wangu alikiri hajui kwanini Tanzania ni maskini.
 
Hiyo picha uliyoweka ni ya msafara wa Dr. Slaa? Wamempakiza kwenye Van mfungwa? hiyo ni dharau kubwa sana kwa Slaa. Kama waliweza kumkatia ticket wasingeshindwa kumkodia limousine, they are dissapointed
 
Kumbe Slaa anaota ufalme! Ndio maana Josephine anajiona yuko above the law!!!

Wewe bwabwanya kama Mwenyekiti wenu. Ngoma ndio inogile. Hata Marekani washaona kwa sasa Tanganyika kumbe ina mcheza ngoma. Viongozi wenyewe ndio hao akina Dr. Slaa.

Sibiria kibano cha 2015. 2010 tulikuwa under 18. Tunasubiria DAFTARI LA WAPIGA KURA. Hapo utaona "MOTOO!! MOTOO!! MOTOO.....!!! CHOMA mi-CCM!!!!!!
 
Serikali ya Marekani wameahidi kuhakikisha Dr Wilbroad Slaa kuwa the next presdent of republican of Tanzania kama walivyohakikisha Sata kuwa rais wa Zambia,taarifa inasema ni kutokana na serikali ya ccm kuunga mkono terrorist organisation na kuendekeza udini kwa nia ya kuharibu taifa la Tanzania,mtakao lia lieni na mtakao umia umieni,Marekani wakiamua hakuna wa kubisha,is matter of time

View attachment 115397
Unajua ukiwa mjamzito mimi kama mume wako wala staki nikujibu maneno ya ovyo ili kumlinda mtoto kisaikolojia. Na mimi sitakujibu sivyo asante kwa taarifa mamsapu.
 
Back
Top Bottom