Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Status
Not open for further replies.
Mkuu picha nyingi wanasiasa wanatudanganya wanaleta picha za mwaka 2010 sijui ili iweje kwa hiyo usidanganywe na picha .

Sasa si utuwekee hizo hizo za 2010 ambazo mkutano wa Dr Slaa ulidoda utudanganye na wewe?
 
Endeleeni kushika kengere za mwigulu gaidi.
 
Nataka niweke picha hapa za kuonyesha namna ambavyo wana Iramba wamemsusia Dr Slaa, yani watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida huku Dr Slaa akiendelea kuhutubia miti na magari ya M4C.

Eeee bwn, tuwekee hizo picha umalize ubishi huu maana wewe ndo umeanzisha huu Uzi kwa maana kwamba upo kwenye eneo la tukio. Kwanza ulitakiwa uje moja kwa moja na picha, ila najaribu kujiuliza hivi upo eneo la tukio au upo mpirani na umeweka watu mkutanoni wakupe taharifa kwa simu? kama upo mpirani tuwekee picha za mpirani tulinganishe na za mkutanoni ili tupime wenyewe, vinginevyo itakuwa imekula kwako.
 
Wacha ukasuku wewe nani alikwambia mimi ni CUF nikome umbea wako peleka palee Kinondoni
eti heshima kidogo uliyoibakiza kwa Jussa na Mtatiro unaji proud huna lolote kwanza hao uliowataja
hata hawakujui "who are you" na mambo ya sheikh Ponda yameingiaje huku:focus:​
 
Mbona hujadili mada unajadili ID za watu au ndio unawafundisha mods kazi "shame on you"

Mada bila piacha?Ungetaka tujadili mada ungekua mstari wa mbele kusisitiza umuhimu wa picha.Acha unafiki,JF haikufai!
 

We zuzu kweli, nikuletee picha za wanaozomea unataka za nani?
 

"Usibane pua......"

Eti 'Nikome'.......! Hahahahaa! Leo kazi ipo!

HAMY-D tunasubiri picha!
 
Last edited by a moderator:

Picha kwa HISANI ya HAMY-D...Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees

 
Kweli kabisa mkuu, Dr Slaa hana madhara tena kwa sasa, yani amekuwa butu mpaka huruma, sijui ataishi vipi maana nje ya siasa he's nothing. Sijui atarudi tena kanisani?

Umejua kama ni butu huwa unambinukia..wewe ni phine...
 
Kweli kamanda Ben Saanane we ni jeshi la mtu mmoja naona timu nzima ya vijana wa Lumumba umeisambaratisha hoiiii!!!. Chadema kuna majembe sio mchezo,,,. Long live
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…