Matema Beach
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 364
- 68
Sikugombea Ubunge mwaka 2010 kwa kuwa nilichelewa kumaliza shule yangu nje ya nchi.Niliamini kuwa siwezi kulisaidia Jimbo langu na Tanzania kwa kukatiza masomo ikiwa ninajua kuwa kuna watanzania wenye uwezo wa kusukuma gurudumu.Nilichagua shule kwanza,nilichelewa kufika.Niliwaunga mkono marafiki zangu ambao wengi ni wao ni wabunge kwa sasa.
Sikutaka kulazimisha kwamba nirudi nyumbani nichukue fomu kisa niwasaliti eti kwa kuwa sijajiandaa kama alivyofanya huyo kijana Mwampamba na Mwenzake.Silly excuse!
Niliamua kuwa mwaminifu kwa moyo wangu,Familia yangu,chama changu,jimbo na Taifa langu.Maumivu hayo haliponywa na muda.Hakuna daktari mzuri katika mazingira hayo zaidi ya muda.Muda ni dawa.It's the best healing therapy.
Nina uhusiano mzuri na Mwenyekiti wa BAVICHA(Kitaasisi).Ningekua valueless kama ningeficha mipango miovu ya usaliti Inachekesha sana kuona kwamba wewe unataka nionekane valuable kwa kuisaliti CHADEMA.Really?Haiwezekani mzee!
Waambie ukweli kamanda Ben yani ccccm uwezo wao wakufilia umeishia kuamini kuwa mtu mwenye value ni yule anaye saliti halakati za CHADEMA. Nakuhakikishia kamanda Ben kuwa naamini sana Mungu atawazidisha zaidi wanao pigania na kuzilinda halakati za CDM katika kipindi hiku kigumu kwani CDM ni mpango maalumu wa Mungu kuwakomboa watanzania wanao ishi kwenye shimo la umaskini mkubwa ilihali Mungu wetu katupa kila kitu cha kufanya tuwe matajili. Songa kamanda Ben kwani najua hata wewe unajua mafanikio hayapatikani kwa urahisi. VIVA CDM