Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
Dr.slaa yupo wilaya iramba-kiomboi, na timu ya simba ipo kiombo kwa hiyo watu wameamua kutazama timu ya simba ikichuana na iramba kombaini
Leo mtakuja na ID zote.We'll defeat!
Dr.slaa yupo wilaya iramba-kiomboi, na timu ya simba ipo kiombo kwa hiyo watu wameamua kutazama timu ya simba ikichuana na iramba kombaini
Acha uongo wako Mkutano ndo unaanza !
Mpuuzeni huyu mtu kwa uongo wake huu.Nashindwa kuelewa kama ameweza kufanya uongo muda huu,je ni mangapi amedanganya?
mkuu ni bora umekuja kuwaumbua awa magamba make wenyewe uongo ndo dili yao.
Dr.slaa yupo wilaya iramba-kiomboi, na timu ya simba ipo kiombo kwa hiyo watu wameamua kutazama timu ya simba ikichuana na iramba kombaini
Mnajitekenya na kucheka wenyewe Thread nzima mmeamua kuichafua kwa umbea mi naona kama mnaruka sarakasi huku mkiwa mmevaa taulo
sorry hiyo date imprint nimeikosea iko siku moja nyumaView attachment 107539
WanaJF!
Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.
Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.
Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!
Mkuu lawama zangu kwa Mods maana huyu mama ameshasema uongo mara nyingi lakini hatua za kinadhamu hazimkukumbi. Halafu hadhi ya JF ndiyo inashuka hivyo. Maana uongo ukitolewa mara nyingi wenye akili wanaweka alama ya kuuliza kuhusu jukwaa.Uko field?My foot!
Subiri picha! Muongo mkubwa wewe.Kumbuka unaheshimika sana katika jamii!
Alitaka kupimana nguvu na kijana machachari na gwiji la siasa mwigulu madelu lameck nchemba, kijana wa kidoti com, chezea nchemba weyeeeeeeeeee!
Teh teh teh, yani wewe kabisaa una msikiliza Ben Saanane?
Kumbe humjui vizuri huyo kijana?, basi kwa taarifa yako Ben ni mtu wa mitandaoni tu na hana madhara yoyote kwenye siasa, hapo alipo ana subiri niweke update ili na yeye ajionee aibu aliyoipata babu yake huko Iramba.
Teh teh teh, yani wewe kabisaa una msikiliza Ben Saanane?
Kumbe humjui vizuri huyo kijana?, basi kwa taarifa yako Ben ni mtu wa mitandaoni tu na hana madhara yoyote kwenye siasa, hapo alipo ana subiri niweke update ili na yeye ajionee aibu aliyoipata babu yake huko Iramba.
Mkuu lawama zangu kwa Mods maana huyu mama ameshasema uongo mara nyingi lakini hatua za kinadhamu hazimkukumbi. Halafu hadhi ya JF ndiyo inashuka hivyo. Maana uongo ukitolewa mara nyingi wenye akili wanaweka alama ya kuuliza kuhusu jukwaa.
WanaJF!
Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.
Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.
Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!
Mkuu lawama zangu kwa Mods maana huyu mama ameshasema uongo mara nyingi lakini hatua za kinadhamu hazimkukumbi. Halafu hadhi ya JF ndiyo inashuka hivyo. Maana uongo ukitolewa mara nyingi wenye akili wanaweka alama ya kuuliza kuhusu jukwaa.
Gharama za kumtunza Josephine ndio zinamfanya mpaka sasa ajikongoje kwenye siasa. Hata hivyo wapenda mabadiliko ndani ya Chadema wameshaanza kuchoshwa na same old politics za Slaa. Chadema sio taasisi ya kutunza wasio na pensheni. Hana budi kukaa kando...
Umri wa Gombalemwiru na Samwel Malecela unauzungumziaje? Hawa si walikuwa viongozi ndani ya serikali na CCM hadi 2010? Au hawa ni vijana kwa mujibu wa tafsiri za magamba? Bahati mbaya wachumia tumbo wa Lumumba hawanaga kumbukumbu.
jamani mie niko maeneo haya ukweli ni kwamba mkutano umekosa watu kabisa,watu wote wamekwenda uwanjani kuwaona simba,nimeamini watanzania wanapenda soma,huwezi amini uwanja umetapika nakadiria zaidi ya watu efu tisa hawa,hakika tukunali tukatae ukweli utasema Mwigulu anakubalika kupita maelezo,huu umati ni ishara Tosha,yaani hii nyomi hakika sio ya kawaida