Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Status
Not open for further replies.
Hahahaha... naona watoto
wakutosha kwenye mkutano, wengi wao ni viongozi wa wilaya na mkoa wakiwa
na familia zao. Dr Slaa kachokwa.

tuondolee pumba zako hapa!
Wewe si ulisema mkutano umedoda????
Unatapatapa nini sasa????
Hiloooooooo, kubwa zima hovyooooo!
Aibu
 
Mzee hajachanganyikiwa anatabia ya kujidanganya kuwa anapendwa sana .
 
kwanza mimi sio mwigulu ila mahusiano kati yangu na mwigulu ni kwamba; he's my role model and inspirational leader.

Jambo lingine, hivi unajua kinacho fanywa na chadema huko mikoani au na wewe ndio wale wale walaghaika?, kubwa hapa ni posho na sio kweli kwamba chadema ina lengo la kukusanya maoni.


kama chadema wanakusanya posho wewe kinakuuma nini hao watu wanaokwenda kwenye hiyo mikutano wamekuletea malalamiko kuwa pesa zao zinaliwa au... Umeona hao watu wamelazimishwa kwa ubwabwa na khanga au maloriii, au umeona kuna diamond au lina hapo...??? Sasa mikutano iliyofanywa na chama chenu iko wapi ya kukusanya maoni ya katiba...?? Maana kila siku wewe na chadema kila siku utafikiri mtu aliyeachwa ... Jifunze kuwa na heshima sometime.... Umeleta uzi wa uongo humu kuwa hamna watu singida picha zimewekwa hapa...

View attachment 107563View attachment 107564

na nashangaa inakuwaje mods wanakuachaa unapotosha watu... Sijui kwako watu wengi wanaanzia wangapi?? Unanipa shida hata kuelewa unauwezo gani wa kuchambua mambo

picha za leo hizo hapo juu.. Leta za kwenu wewe na chama lako la wauza madawa a kulevya... Maana kama madawa ya kulevya yanaendelea kuwepo na yanaua vijana na hadi wasanii ambao ni kioo cha jamii na nyinyi mna dola na kila kitu.. Kwanini tuasiamini mnafaidika na hayo madawa ya kulevya.... Nimekuona wewe ni mtu wa hovyo kabisa katika jukwaa hili
 
Aibu yake mzee slaa mpeni pole jamani la kuvuda halina ubani ndo basi tena.
 
kubana pua sio jadi yetu wanaume wa kiafrika.

Rudi kwenye mada.mkutano wa chadema leo ulidorora??? Weka picha

mkuu ben kuna watu wananishangaza sana, watu wanasema mkutano haukuwa na watu singida leo.. Wadau wameleta picha zaidi ya mbili,... Sasa hao watu waliokuwa wanawataka wao waonekane katika mkutano ni wangapi?/ sijui kwao neno wengi ni kuanzia ngapi?? Na kibaya zaidi mods wanaacha hizo thread zinaendelea kuwepo...

Lakini cha kushangaza hao wanaobeza kuwa mkutano wa chadema haukuwa na watu.. Mbona hawaleti mikutano yao ya chama chao cha kuuza madawa ya kulevya,.... Ni aibu sana hili taifa, watu wanatafuta maoni ya wananchi tuandae katiba ya leo na ya kesho kutwa kwa wajuku zetu wao wanaleta ushabiki... Lakini kama mwenyekiti wa chama chao anategemea waganga wa kienyeji kumlinda.. Je hao wanaomfuata watakuwaje??
 
kama chadema wanakusanya posho wewe kinakuuma nini hao watu wanaokwenda kwenye hiyo mikutano wamekuletea malalamiko kuwa pesa zao zinaliwa au... Umeona hao watu wamelazimishwa kwa ubwabwa na khanga au maloriii, au umeona kuna diamond au lina hapo...??? Sasa mikutano iliyofanywa na chama chenu iko wapi ya kukusanya maoni ya katiba...?? Maana kila siku wewe na chadema kila siku utafikiri mtu aliyeachwa ... Jifunze kuwa na heshima sometime.... Umeleta uzi wa uongo humu kuwa hamna watu singida picha zimewekwa hapa...

View attachment 107563View attachment 107564

na nashangaa inakuwaje mods wanakuachaa unapotosha watu... Sijui kwako watu wengi wanaanzia wangapi?? Unanipa shida hata kuelewa unauwezo gani wa kuchambua mambo

picha za leo hizo hapo juu.. Leta za kwenu wewe na chama lako la wauza madawa a kulevya... Maana kama madawa ya kulevya yanaendelea kuwepo na yanaua vijana na hadi wasanii ambao ni kioo cha jamii na nyinyi mna dola na kila kitu.. Kwanini tuasiamini mnafaidika na hayo madawa ya kulevya.... Nimekuona wewe ni mtu wa hovyo kabisa katika jukwaa hili
kila azungumziaye madawa ya kulevya kwenye medani ya siasa je ataacha kuwataja Waheshimiwa.....IDD AZZAN, FREEMAN MBOWE, SOPHIA SIMBA, ANNA KILANGO, SUGU NA HIGHNESS WA MWANZA? mbona watu kama LEMA, MNYIKA, NAPE, SLAA, MREMA wasitajwe wao?
 
mkuu ben kuna watu wananishangaza sana, watu wanasema mkutano haukuwa na watu singida leo.. Wadau wameleta picha zaidi ya mbili,... Sasa hao watu waliokuwa wanawataka wao waonekane katika mkutano ni wangapi?/ sijui kwao neno wengi ni kuanzia ngapi?? Na kibaya zaidi mods wanaacha hizo thread zinaendelea kuwepo...

Lakini cha kushangaza hao wanaobeza kuwa mkutano wa chadema haukuwa na watu.. Mbona hawaleti mikutano yao ya chama chao cha kuuza madawa ya kulevya,.... Ni aibu sana hili taifa, watu wanatafuta maoni ya wananchi tuandae katiba ya leo na ya kesho kutwa kwa wajuku zetu wao wanaleta ushabiki... Lakini kama mwenyekiti wa chama chao anategemea waganga wa kienyeji kumlinda.. Je hao wanaomfuata watakuwaje??

Unajua hata Singida Simba B walicheza na Simba badala ya Polisi Singida na kiasi cha Sh.50,000 kilitolewa kwa wachezaji na kila kiongozi kwenye msafara wa timu.Polisi waligomea baada ya Mwigulu kuingia kwenye mgogoro na Polisi kwenye sakata la Ndago ambako Mwigulu alikodisha vijana kufanya vurugu katika mkutano wa CHADEMA.
 
attachment.php



attachment.php


attachment.php
Kiomboi bila chenga

Nikitathimini hii picha ya mwisho, ni kwamba watu ni wengi sana, kama unajua kusoma mandhari ya picha ni kwamba kwanza ni kweli kuwa hii picha ni mkutano wa cdm sababu ni kwamba hapa pembeni kuna jamaa kavaa Skafu ya cdm, ukiangalia mzungumzaji alipo ni kwamba kaangalia mbele ila kuna wanaomsikiliza hadi nyuma yake na ulinzi umeimarishwa, kwa kawaida mzungumzaji huwa anaface walipo wasikilizaji hivyo kwa picha hii mzungumzaji (si Dr Slaa) anaangalia walipo watu wengi. Kwa kifupi kwa picha hii mkutano ulikuwa na watu wengi kwa jinsi population ya Kiomboi ilivyo. Asante kwa picha hizi. Picture speaks a lot.
 
kweli mkuu, kama chadema ikiendelea kulea watu aina ya dr slaa basi kitakuwa sio chama cha siasa bali ni ghala la kulea wazee.

nenda urudi hapa na umri wa kikwete,bilal,pinda,kinana,mangula,lowasa,sita.af ndo tuendelee na discussion maana unawatukana viongozi wako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom