Mumwi
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 592
- 122
![]()
![]()
Kiomboi bila chenga![]()
Mods piga ban waongo wote wa Lumumba
![]()
![]()
Kiomboi bila chenga![]()
Acha kupotosha wewe, kama pangejaa ni wazi humu JF pasingetosha kwa kusambaza mapicha ya kwenye mkutano kama ilivyo ada kwenu.
Ila kwa kuwa mpaka sasa hazijazagaa picha zenu, wacha mimi niweke hiyo aibu iliyomkuta Dr Slaa huko Iramba.
atakufa mama yako kwanza au yule anedondoka jukwaani...
WanaJF!
Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita (majira ya saa 8 mchana) na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.
Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.
Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!
Kama hakuna cha kujadili ni kiherehere gani kimekuleta huku lakini sikushangaikama na wewe siyo juha kuna mada ya kujadili hapa...
Wee mchawi, gaidi, mwizi wa wake wa makada wako, Savimbi a.k.a CHINA BOY. Soma link hii...WanaJF!
Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita (majira ya saa 8 mchana) na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.
Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.
Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!
WanaJF!
Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA hapa Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita (majira ya saa 8 mchana) na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.
Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.
Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!
Mkuu, atakubali kustaafu kwa hiyari?, au ndio mpaka asombwe na koleo?
Halafu si unajua hana pensheni?, sijui atamlea vipi Josephine?
Kimbilia kwa mods unatafuta pakutokea eehhh nakuonea huruma dogo"Usibane pua......"
Eti 'Nikome'.......! Hahahahaa! Leo kazi ipo!
Ulisema hapakuwa na watu , sasa unasema watoto na Moods wanakuvumilia tu......ok let's go.Hahahaha... naona watoto wakutosha kwenye mkutano, wengi wao ni viongozi wa wilaya na mkoa wakiwa na familia zao. Dr Slaa kachokwa.
Naona mnabadili cd bila aibu...Babu kishajichokea ila hana jinsi maana akikubwa na ule ugonjwa wa money crisis lazima Josephine atamkimbia.Ngoja atafute rizki kwanza.
Huna hata aibu kidogo? Jinsi yako wewe kama ni mwanamke utakua Menopose.......Hahahaha... naona watoto wakutosha kwenye mkutano, wengi wao ni viongozi wa wilaya na mkoa wakiwa na familia zao. Dr Slaa kachokwa.
hahahaha... Naona watoto wakutosha kwenye mkutano, wengi wao ni viongozi wa wilaya na mkoa wakiwa na familia zao. Dr slaa kachokwa.
Alafu kuna watanzania tena wenye akiri timamu wanaamini kwamba ipo babu atakua rais wa nchi hii.Huo ni ujinga wa halimashauri ya vichwa vyao.
Na kama kweli watamsimamisha kugombea nafasi hiyo ktk uchaguzi ujao basi chama kitapoteza vitu vya ubunge na udiwani kwa 50%