Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Status
Not open for further replies.
Hammy-D hushauriki? Huyo Slaa kwa sasa hatafuti sifa unazozitaja wewe. Yeye tayali ni maarufu na watu wanakiri hivyo. Ungeleta hoja baada ya kumaliza mkutano wake kuwa hakuwa na jipya huenda ungeeleweka. Tunafahamu uongo, Uzushi na umbe kwa sasa inakubalika kuwa ni taaluma hasa pale inapofanywa na wanaume.
 
Acha uongo wako Mkutano ndo unaanza !

Mpuuzeni huyu mtu kwa uongo wake huu.Nashindwa kuelewa kama ameweza kufanya uongo muda huu,je ni mangapi amedanganya?

Mkuu, wewe bora ujifiche tu, kama umedanganywa basi utulie kwenye keyboard maana wenzio tuko field.
 
Siasa za kilaghai haziwezi kusimama kwenye ukweli.

Siasa za kilaghai haziwezi kupambana na siasa za kisasa na ukweli

Mwisho wa ulaghai ndiyo mwanzo wa ukweli

Wananchi kwa sasa wanaona na kuzichambua siasa mbivu na mbichi.

Ukweli utaendelea kupambana na viongozi walaghai ndani ya CHADEMA.
 
habari za uhakika kutoka iramba ni kuwa uwanja umejaa pomoni na shughuli ya kuhamasisha ndo inaendelea,wasiwasi ulikuwa ni mabomu yaliyotoka china lakini mpaka sasa hali ni shwari.

Acha kupotosha wewe, kama pangejaa ni wazi humu JF pasingetosha kwa kusambaza mapicha ya kwenye mkutano kama ilivyo ada kwenu.

Ila kwa kuwa mpaka sasa hazijazagaa picha zenu, wacha mimi niweke hiyo aibu iliyomkuta Dr Slaa huko Iramba.
 
Mkuu, atakubali kustaafu kwa hiyari?, au ndio mpaka asombwe na koleo?

Halafu si unajua hana pensheni?, sijui atamlea vipi Josephine?

personal attack , umesomeka mkuu , tusilaumiane mbele ya safari .
 
Hilo Dr. Slaa sio pigo kwake. Anachotaka yeye ni posho tu.

Kisiasa Dr. Slaa kashajikatia tamaa, anahesabu siku tu astaafu rasmi...

Mkuu, atakubali kustaafu kwa hiyari?, au ndio mpaka asombwe na koleo?

Halafu si unajua hana pensheni?, sijui atamlea vipi Josephine?

Slaa ameangukia pua

Alitaka kupimana nguvu na kijana machachari na gwiji la siasa mwigulu madelu lameck nchemba, kijana wa kidoti com, chezea nchemba weyeeeeeeeeee!

Gharama za kumtunza Josephine ndio zinamfanya mpaka sasa ajikongoje kwenye siasa. Hata hivyo wapenda mabadiliko ndani ya Chadema wameshaanza kuchoshwa na same old politics za Slaa. Chadema sio taasisi ya kutunza wasio na pensheni. Hana budi kukaa kando...

Mtaolewa sana mwaka huu. Hakuna nyumba ya chadema itakosa mtoto anayeitwa mwigulu mwaka huu

Kawaida yenu mkiziiwa hoja na mkifilisika ki fikra mnaanza matusi

Kweli mkuu, kama CHADEMA ikiendelea kulea watu aina ya Dr Slaa basi kitakuwa sio chama cha siasa bali ni ghala la kulea wazee.

Laana ya tondikali inakutesa na haitakuacha daima

Mnajitekenya na kucheka wenyewe Thread nzima mmeamua kuichafua kwa umbea mi naona kama mnaruka sarakasi huku mkiwa mmevaa taulo
 
Kiingereza gani kimepauka hivi, peleka aibu zako huko. Do u think every one is poorly used as u do?

kIINGEREZA WE ULISOMEA WAPI??? MBONA UNA DAI UNA MCHUMI DARAJA LA KWANZA, LAKINI HATA UKIKAA NA WATOTO WANAONA WE MWENZAO.

Umestuka wakati muafaka, watu wale wale watatu ndio wanajibizana yaani zemarcopolo,hamy-d na baba yako@ Kibogo
 
WanaJF!

Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA huko Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.

Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.

Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!

Yaani uzi mzima mnajibishana watu wanne, kwa utafikti wa haraka muanzisha mada HAMY-D umeanzisha ukawapigia wenzio ama kwa kutumia ID nyingine unachangia mwenyewe. Kuna mtu ana akili kakuambia zikija Picha usikimbie tu. Then, unajifanya uko Iramba kumbe tunaofuatilia nyendo zako tunakucheck tu, jitizame mzee
 
Acha uongo wako Mkutano ndo unaanza !

Mpuuzeni huyu mtu kwa uongo wake huu.Nashindwa kuelewa kama ameweza kufanya uongo muda huu,je ni mangapi amedanganya?

mkuu ni bora umekuja kuwaumbua awa magamba make wenyewe uongo ndo dili yao.
 
Mnajitekenya na kucheka wenyewe Thread nzima mmeamua kuichafua kwa umbea mi naona kama mnaruka sarakasi huku mkiwa mmevaa taulo

Aliyeruka sarakasi huku amevaa taulo ni Dr Slaa, maana alidanganywa kuwa yeye hapa Iramba ana tambulika kama rais, ila kilicho mtokea hapa hata siafu wameziba macho ili kujikinga na aibu aliyoipata Dr Slaa.
 
WanaJF!

Katika hali iliyokuwa ikitazamiwa kutokea kwenye mkutano wa CHADEMA huko Iramba, sasa yametimia kwani mkutano umeanza takribani saa 1 lililo pita na matangazo ya kuhamasisha yamekuwa yakisikika kote hapa Iramba, ila mwitikio wa wananchi kwenye mkutano huo ni mdogo na hali hiyo imemfanya Dr Slaa kuduwaa na kubaki kukuna kichwa tu.

Jambo ambalo limemponza Dr Slaa na kumuingiza kwenye aibu hiyo, ni kufuatia kudanganywa na wapambe wake kuwa yeye ana kubalika Iramba na wananchi wanamtambua kama rais wao, badala yake Dr Slaa ameonekana kama kituko mbele ya wananchi ingawa alikuja na mbwembwe nyingi hapa kijijini.

Dr Slaa, CCM YATUTOSHA!

Hamy- D

Umeambiwa na watu zikiwekwa picha hapa usikimbie. Mara nyingi busara ya kawaida imekuwa ikitutuma hustahili kujibiwa wala kupata attention ambayo umekuwa ukiisaka kwa nguvu zote, kutoka kwa viongozi wa CHADEMA, kwa kuanzisha thread za uongo wa wazi kabisa huku ukitaja majina yao.

Mkutano wa leo kwa Wilaya ya Iramba ulifanyika eneo la Kiomboi. Ulikuwa mkutano mzuri sana kama ilivyo ada ya mikusanyiko inayohusu CHADEMA. Watu wa Kiomboi walikuwa na shauku ya kutoa maoni kwenye Rasimu ya Katiba Mpya, kupitia Mabaraza Huru ya CHADEMA yanayofanyika kwenye mikutano ya hadhara.

Wakati wewe unapiga porojo kwa ajili ya kujifurahisha kwa muda (comforting zone) kama ilivyo kawaida ya watu wa CCM, muda si mrefu utawekwa ushahidi hapa wa picha na namna ambavyo tayari simu namba 0782 248224, inayotumika kupokea maoni kwa njia ya ujumbe mfupi, inavyopokea msg kwa wingi kutoka Iramba.

Timu ya Katibu Mkuu, Dkt. Slaa tayari inakaribia kutua Singida, ambako mkutano mkubwa unaendelea kuwasubiri, baada ya wananchi wa Kiomboi, Iramba kupata fursa yao ya kutoa maoni kwenye mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu, Mabere Marando na Dkt. Slaa.

Mind you, unaposema mwitikio ni mdogo ni kitu very very relative. Tukusaidie tu, ili usiendelee kuaibika mbele ya watu wenye akili kama hapa jukwaani, ungeweza kuweka idadi ya watu waliohudhuria mkutano huo Vs jumla ya idadi ya wakazi wa eneo husika, ili conclusion yako ionekane kuwa ni valid.

Vinginevyo ni mwendelezo wa watu wa CCM kutafutanhoha za kuokoteza kwa ajili ya liwazo la muda mfupi, wakati CHADEMA inazidi kushika kasi, kuongeza ushawishi na kusimamia masuala ya msingi kwa niaba ya wananchi, ikiwemo mchakato wa Katiba Mpya.
 
Dr.slaa yupo wilaya iramba-kiomboi, na timu ya simba ipo kiombo kwa hiyo watu wameamua kutazama timu ya simba ikichuana na iramba kombaini
 
Kweli mkuu, kama CHADEMA ikiendelea kulea watu aina ya Dr Slaa basi kitakuwa sio chama cha siasa bali ni ghala la kulea wazee.

Ha ha ha ,
Chamoto mnakiona muda huu huko.Nimeongea na Waitara muda huu.Tusubiri picha mzee.
Kijana msomi unafanya propaganda primitive kiasi hiki?....astonishing ignorance!
 
sorry hiyo date imprint nimeikosea iko siku moja nyuma P8160596.JPG
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom