Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Dr slaa apata pigo Iramba - mkutano wadoda!

Status
Not open for further replies.
jamani mie niko maeneo haya ukweli ni kwamba mkutano umekosa watu kabisa,watu wote wamekwenda uwanjani kuwaona simba,nimeamini watanzania wanapenda soma,huwezi amini uwanja umetapika nakadiria zaidi ya watu efu tisa hawa,hakika tukunali tukatae ukweli utasema Mwigulu anakubalika kupita maelezo,huu umati ni ishara Tosha,yaani hii nyomi hakika sio ya kawaida

Mbwane we legia uu longo waso-Hujistikii
 
Teh teh teh, mtahangaika sana kuweka picha za mwaka juzi, ila muda sio mrefu aibu ya Dr Slaa itaanikwa hapa jamvini.

Acha siasa za kitoto.Unajianda ku-preempty matokeo ya mkutano wa leo?Huko imekua kufuru! Kama ni Ugaidi sasa leo wananchi wako wamekugeuka .Hii ni vote of no confidence dhidi yako.Usipanick.Just chill for now!Shemeji yangu is done! I pity him...!
 
Kama uko feild kama unavyojigamba hapa si ulete picha?Au hizo picha unasafirisha kwa basi mkuu?

Kijana msomi unafanya kazi kijima kiasi hiki?Kama mimi ni wa mitandao tu utaona.Wewe na katibu wa itikadi na uenezi mlivyogomea mjadala kwenye kituo cha TV mlihofia nini?You are not in my league dude!Sana sana unaweza kuwapotosha wachache na kuwatembeza kama bango.Tafuta saizi yako au omba ushauri kwa katibu wako wa itikadi na uenezi.Sina tabia ya kubishana zaidi ya kutenda.

Yupo busy anatafuta mtu wa ku-edit ktk photoshop....maCCM hata mtu wa graphic design ni kanjanja....ndipo walipojidanganya..anasubiri Nape atoe pesa za kutosha yeye kupiga panga ndipo akampe kijana down the next street afanye anajua bila hata hili gamba kuangalia.hadi lije umbuka humu ndani.
 
poleni sana, ndugu wana cdm, hayo ndiyo mambo ya siasa, ila ni muhimu muwe wavumilivu na mpunguze matusi, wenzenu wanapoleta thread zao. sioni sababu ya wewe kutumia matamko kama hayo. Vumilia ndugu

Unakurupuka.Kubadili ID hakutabadilisha hali yako mbaya kisiasa mzee.Badilisha mbinu.Umekwisha
 
Yupo busy anatafuta mtu wa ku-edit ktk photoshop....maCCM hata mtu wa graphic design ni kanjanja....ndipo walipojidanganya..anasubiri Nape atoe pesa za kutosha yeye kupiga panga ndipo akampe kijana down the next street afanye anajua bila hata hili gamba kuangalia.hadi lije umbuka humu ndani.

Hivi wewe lile panga la Wanyarwanda alijakupitia kweli?

Maana IP address yako inaonyesha bado upo Kagera ingawa wewe ni Mnyarwanda.
 
Yupo busy anatafuta mtu wa ku-edit ktk photoshop....maCCM hata mtu wa graphic design ni kanjanja....ndipo walipojidanganya..anasubiri Nape atoe pesa za kutosha yeye kupiga panga ndipo akampe kijana down the next street afanye anajua bila hata hili gamba kuangalia.hadi lije umbuka humu ndani.

Hahaha labda awatumie kwa dharura vijana James Mwakibinga,Kijana Nicco(Kimeta wa Mpui),Asenga Abubakar au Paul Makonda...Lakini hapo wamesahau wapo kambi tofauti na akina Zenda Mzindakaya na Freddy Mushi (M/Kiti UVVCM Kilimanjaro).Hapo kuna ugomvi kati ya nyama za Monduli na club ya CCM Asili! Editing itafanyika kwa kiwango cha chini sana.Ufanisi na ubunifu haupo.Hapo ni kupiga dili tu,wapo kiujanja janja.
 
Hivi wewe lile panga la Wanyarwanda alijakupitia kweli?

Maana IP address yako inaonyesha bado upo Kagera ingawa wewe ni Mnyarwanda.

Mkurupukaji?Siasa za kihuni hizo.Jibu hoja zake.Kutumia ID fake kusikufanye uwe jasiri kiasi hicho.Hujui lolote kuhusu kompyuta.Shusha nyanga.You are just paranoid!
 
Mkuu hapa ni lazima tulinde heshima ya jukwaa na siamini kama sasa kuna Mods wachache wananufaika na uongo wa hawa watu dhidi ya CHADEMA.Nimekua na JF tangu nikiwa kijana mdogo,siku zote tumekua tukilinda heshima ya JF.Wanachama tuliwajibika kuijenga JF na kuilinda dhidi ya maadui,Tusiiharibu.Tuwe makini na waongo hawa.
Mkuu Ben sasa kila mtu akipinga chadema ni muongo sasa nani mkweli naomba nikukumbushe kitu,

kuna siku ulianzisha uzi kuhusu kijana aliyepigwa katika uchaguzi mdogo Arusha ukasema amepigwa
hali yake ni mbaya anataka kupelekwa KCMC nikakwambia habari zile ni za uongo ukabisha!

Ni vizuri zaidi na wewe kujitahidi kusikiliza habari za watu wengine unapopata ushahidi ndio ubishe

sio kila habari ni ya ungo mbona habari ikiletwa na Molemo,Arushaone,Mungi,Yericko,Aweda,Crashwise and etc
huipingi au kwasababu ni homeboy? Ahsanta.
 
habari za uhakika kutoka iramba ni kuwa uwanja umejaa pomoni na shughuli ya kuhamasisha ndo inaendelea,wasiwasi ulikuwa ni mabomu yaliyotoka china lakini mpaka sasa hali ni shwari.
Unapoandika uongo uwe unakumbuka kuangalia na muda, ona sasa ulivyoumbuka
 
Mkuu, atakubali kustaafu kwa hiyari?, au ndio mpaka asombwe na koleo?

Halafu si unajua hana pensheni?, sijui atamlea vipi Josephine?



Too childish,ni aibu kwa mtu wa umri wako kuto ongozwa na fikra,kuishiwa hoja na kuleta porojo
 
Kweli mkuu, kama CHADEMA ikiendelea kulea watu aina ya Dr Slaa basi kitakuwa sio chama cha siasa bali ni ghala la kulea wazee.

Propaganda zako tumeshazizoea bukoba wanakusubiri kwa hamu
 
Mkuu Ben sasa kila mtu akipinga chadema ni muongo sasa nani mkweli naomba nikukumbushe kitu,

kuna siku ulianzisha uzi kuhusu kijana aliyepigwa katika uchaguzi mdogo Arusha ukasema amepigwa
hali yake ni mbaya anataka kupelekwa KCMC nikakwambia habari zile ni za uongo ukabisha!

Ni vizuri zaidi na wewe kujitahidi kusikiliza habari za watu wengine unapopata ushahidi ndio ubishe

sio kila habari ni ya ungo mbona habari ikiletwa na Molemo,Arushaone,Mungi,Yericko,Aweda,Crashwise and etc
huipingi au kwasababu ni homeboy? Ahsanta.

"Ahsanta" ni kitu gani?Umeelekeza umakini katika kudanganya badala ya kuzingatia weledi katika mawasiliano.Jiheshimu!

-Unataka nisubiri picha ndiyo nibishe?Najua kinachoendelea,nasubiri picha na ndiyo maana sikuanzisha thread kama huyu jamaa aliyezidiwa na msongo wa mawazo alivyokimbilia kuanzisha thread bila envidence ya picha.Eti huyu nae msomi!

Nasizitiza kuwa tusubiri licha na kama kuna mtu mwenye ushahidi wa alichotoa mleta mada,basi aweke hapa.Siamini kama mtu unaweza kuanzisha thread halafu ukafanya lip service tu na unadai haki ya kuaminika!Please!
 
Hivi wewe lile panga la Wanyarwanda alijakupitia kweli?

Maana IP address yako inaonyesha bado upo Kagera ingawa wewe ni Mnyarwanda.

Mwehu wewe..hapo ndipo palipoishia akili yako.....umezaliwa na kukulia ktk fikra duni, na bado unaishi ktk fikra duni...By default kila swali liwapalo challenge huwa cha kwanza mnaangalia km ni adui, pili km ni jepesi ila lipo kinyume na fikra zenu nasi uraia , au uanachama wake, ndio maana magamba akili ya mwanzo ktk kuwakabili wafanya biashara wasiotaka kuwapa hela msiyoweza eleza inakwenda wapi,huwa mnatumia TRA kudai kodi, As if watoa rushwa si hawakustahili lipa kodi.Fikra hizo ndizo unanileta mimi..Waambie mods wasio waaminifu wakupe IP.
 
Na connect dots mkutano wa iramba dr slaa kudoda na muanzisha uzi huko Iramba. Now thanks God kwa thread hii Monique sha kumjua Harmy-D ni nani hasa!?
 
Last edited by a moderator:
Mlishe sumu huyo

Haisaidii,sidhani kama yeye ni Panya! Hata hivyo majukumu hayo yapo kwa mwingine.Sina ujuzi na Panya vile vile.Sijajitangaza...

Mada:Leteni picha mlizosema ni za Aibu huko Kiomboi.Acheni uongo.Aibu kwenu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom