alen m'banga
Member
- Jul 28, 2015
- 11
- 2
Kamanda piga moyo konde ,kaungane na wenzako kupambana na adui .freedom is caming tomorrow
Hivi huyu mzee hakujua kuwa mbowe ni fisadi namba moja hapa Tanzania
Shujaa gani anakimbia vita? We nae jiongeze kidogo... A hero would rather lose a fight than miss the war
Nadhani hakujua mapema amekuja kujua akiwa amechelewa sana.
Bora uwaeleze vilaza wa mbowe maana utadhani yamelogwa
hivi ccm mlifikiri huyu mzee slaa ni cheap sana? yaani mnatukana ccm halafu mnasingizia wafuasi wa lowasa?Hao wageni waliokuja na Lowasa ndo wanamtusi!!
dua la kuku .Nimemsoma Dr.Slaa twiter, huwa namfuatilia tangu mwanzoni wa mwaka huu, UKAWA furaha mnazo jipa ni za muda tu, kasema ataongea, na Edward Lowasa ni Adui mkubwa wa maendeleo...subirini moto uwake, nahisi anasubiri muda muafaka
naunga mkono Dr. Slaa aheshimiwe!
Wanaomtukana Dr.Slaa sio wanaCHADEMA na kama wapo basi ni wa kuhurumiwa Dr.Slaa ana heshima kubwa sana hasa kwa siasa za upinzani na kuifikisha CHADEMA hapa ilipo.
Mungu akubariki sana .Wanaomtukana Dr.Slaa sio wanaCHADEMA na kama wapo basi ni wa kuhurumiwa Dr.Slaa ana heshima kubwa sana hasa kwa siasa za upinzani na kuifikisha CHADEMA hapa ilipo.
Dr. Slaa amekuwa nguzo ya CDM na lazima aheshimiwe na kuenziwa kadri iwezekanavyo.
Kombinesheni ya Dr na Mbowe sio rahisi kuipata, kama kuna analoweza kufanya Mbowe basi asimwache Dr.
Wanaomtukana Dr.Slaa sio wanaCHADEMA na kama wapo basi ni wa kuhurumiwa Dr.Slaa ana heshima kubwa sana hasa kwa siasa za upinzani na kuifikisha CHADEMA hapa ilipo.
ubarikiwe sana .Always u remain on ma mind when i think of cdm..nakuona ww kama mwasisi wa kweli.
Kila la kher dk
Dr.Slaa ana account JF kweli????