Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

We umejichanganya. Dr Slaa aliahidi mifuko ya cement kwa bei hiyo kama angechaguliwa kuwa Rais, sababu alitaka kushusha kodi ktk cement.
Jaribu kufikiria kabla ujaropoka

Mzee Slaa alijua fika kuwa hatakaa awe Rais wa Tanzania ndio maana alikuwa anawadanganya kuwa atawauzia cement mfuko kwa kwa Tsh 4238/= bila vat.
 
Kiongozi anaeahidi hutimiza, Dr Slaa katimiza ahadi yake,

Yupo mmoja aliahidi kigoma itakuwa dubai lakini imekuwa dubwana


Jk aliahidi ahadi 101 katimiza hata kumi hazijafikia, kafungua tu daraja kahalalisha kwa mbwembwe eti katimiza 80% ya ahadi zake! Sijui alimaanisha tafsiri ya kinyume chke? HAKUNA asiyeona majibu ya ' maisha bora kwa kila MTANZANIA ' majuzi tu Kinana na Nape walikuwa wanawatukana mawaziri wa JK kuwa MIZIGO wameshindwa kutekeleza ahadi na ilani ya CCM, na miezi minne haijapita, JK anatangaza kukamilisha 80% ? Wenye akili zao wachanganye na za kuambiwa na Ccm...aibu ipo njiani...yawafuata CCM punde 2015 yaja.
 
Hao jamaa hawadanganyiki hata muwapelekee nini ikatokea wameikataa ccm wataenda CUF nyie jishauweeenii kama pichu iliyotoboka.
 
Hulo hilo si ajabu padri kusaidia seminari labda kwakuwa ni mara ya kwanza kwa slaa kutoa msaada tangu ajiunge na siasa

Kumbuka kuwa hiyo ni Shule ya Kiislamu. Udini kwisha habari yake kabisa...
 
Hongera sana Dr slaa hakika umeuonesha umma unaweza Mungu akubariki sana hubahatishi hata kidogo watu kama nyie mnatakiwa pale ikulu!
 
Hata kimya kwa mawakala ni jibu toshaa Dr. Goooooo
 
Mh El hinayo damu ya kunguni hiki fanya kitu zuri ponda sana . Dk sl kutoa msaada ya dawati pongeza sana.dah ! Jamaan tz hinahenda wapi ss sote wa moja tupendane na tusahau ya nyuma kila mutu hina pungufu yake
 
kwa mara ya kwanza nakupongeza.tupo pamoja kwa kwa vitende.
 
Mh El hinayo damu ya kunguni hiki fanya kitu zuri ponda sana . Dk sl kutoa msaada ya dawati pongeza sana.dah ! Jamaan tz hinahenda wapi ss sote wa moja tupendane na tusahau ya nyuma kila mutu hina pungufu yake

Dogo, unaruhusiwa kuingia na simu PREPO?
 
kwa mara ya kwanza nakupongeza.tupo pamoja kwa kwa vitendo.
 
Mzee Slaa alijua fika kuwa hatakaa awe Rais wa Tanzania ndio maana alikuwa anawadanganya kuwa atawauzia cement mfuko kwa kwa Tsh 4238/= bila vat.

Bei hiyo inawezekana kabisa mkuu, pia rejea swala la gharawa ya elimu.
 
Teh teh teh Padri alikuwa wapi kutoa siku zote au kwakuwa kaona uchaguzi unakaribia? Ametoa kidogo tofauti na fedha za ruzuku anazokula


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Back
Top Bottom