Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Misukule ya Lumumba,haina shukrani,mi natamani tuanze kuingia kwa majina halisi ili wapuuzi kama akina Ifweero,Msalani,laki si pesa,simiyu yetu nk tuwajue maana majitu haya hayana hata shkrani hata kidgo