Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

BABU alipe kwanza mkopo anaodaiwa na CHADEMA ndipo aje na hizo porojo zake za kugawa madawati.
 
Slaa hajawahi kutoa msaada hata wa kalamu kwao Karatu..
Duh siasa kazi kweli badala ya kuupongeza kashfa. Ninawezekana mtoto wa shangazi au mjomba wako anasoma hapo.
Mtu akitoa msaada kwao eti upendeleo, asipotoa ....
 
Huu msaada kautoa Dr.Slaa au CHADEMA...

Mbona tunajua misaada mingi wanayojifanya viongozi wa ccm imetoka chamani huwa haitoki huko mnaenda kujikomba komba kwa wafanyabiashara wakubwa kupata bakshishi mkija huku kitaa mbwembwe nyingi eti ccm inawajali my foot wivu utawamaliza.
 
Daaaaah!!.. Uchaguzi unakaribia.. Ni jambo zuri sana, ila kwa ninavyoona mimi wangeaanza kuwa na mawazo haya toka siku ya kwanza waliposhindwa uchaguzi. Wangekuwa ni Wapinzani wa kupigiwa mfano.
 
Ni mchezo wa kuigiza huo, hivi siku zote mlikuwa wapi? mmechelewa.

Saaaana tu sababu ya ubishi na ujuaji, jibu lao lilikuwa wao hawana dola wala hawakusanyi kodi sasa sijui hali imebadilika lini????!!!

Too late
 
BABU alipe kwanza mkopo anaodaiwa na CHADEMA ndipo aje na hizo porojo zake za kugawa madawati.

una kuhusu? Deni si lako,wewe linakuhusu nini,ukitaka kujua majitu majinga kama wewe angalia tu jina,Eti msalani,kama una akili utajiita msalani kweli?
 
Dr Slaa nakuomba sana pia Pale kwetu Rorya kuna shule ya sec Nyamasanda. jamani hawana madawati,hata 20 tu kama hizo watashukuru sana,napatikana kwa namba 0717757021 au yeyote mwenye kuweza kusaidia ile shule jamani wasaidieni na watz walioko pembezoni kama Nyamasanda sec.Yaani hii shule ukitoka kwenye becon za mpakani na kenya unakuta shule hiyo so iko pembezoni na hakuna msaada wanayopata,wanaJF nifikishieni ombi hilo kwa DR Slaa maana sina njia nyingine ya kumpata.
 
Kura yangu 2010 niliweka mahali panapostahili hasa,sijuti wala kuwaza........ Na ikitokea tena 2015 wala sitofikiria mara mbili.......moja kwa moja kwa Slaa.......ngwadaaaaaah,Bonge la tiki.
 
Mbona tunajua misaada mingi wanayojifanya viongozi wa ccm imetoka chamani huwa haitoki huko mnaenda kujikomba komba kwa wafanyabiashara wakubwa kupata bakshishi mkija huku kitaa mbwembwe nyingi eti ccm inawajali my foot wivu utawamaliza.
Weka wazi A-Z sio kulalama tu. Wengine hatuna vyama soo vuaneni nguo tuwachore sasa
 
Back
Top Bottom