Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
Siasa za ukanda na ukabila zimehamia kwako?
Mselewa wewe ni mwanachama wa chadema??
Siasa za ukanda na ukabila zimehamia kwako?
umeumia sana eeee ? Na bado , LEMA ANALETA MADAWATI SHULE ZOTE ZA ARUSHA , HAYA KUFA BASI !
una kuhusu? Deni si lako,wewe linakuhusu nini,ukitaka kujua majitu majinga kama wewe angalia tu jina,Eti msalani,kama una akili utajiita msalani kweli?
Huu msaada kautoa Dr.Slaa au CHADEMA...
JF tanzanite member!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Huu msaada kautoa Dr.Slaa au CHADEMA...
Dr Slaa nakuomba sana pia Pale kwetu Rorya kuna shule ya sec Nyamasanda. jamani hawana madawati,hata 20 tu kama hizo watashukuru sana,napatikana kwa namba 0717757021 au yeyote mwenye kuweza kusaidia ile shule jamani wasaidieni na watz walioko pembezoni kama Nyamasanda sec.Yaani hii shule ukitoka kwenye becon za mpakani na kenya unakuta shule hiyo so iko pembezoni na hakuna msaada wanayopata,wanaJF nifikishieni ombi hilo kwa DR Slaa maana sina njia nyingine ya kumpata.
Ameanza kurudisha lambilambi za wangwe .damu ya MTU sio mchezo
CBC.mchange.malya
Ameanza kurudisha lambilambi za wangwe .damu ya MTU sio mchezo
CBC.mchange.malya
Kiongozi anaeahidi hutimiza, Dr Slaa katimiza ahadi yake,
Yupo mmoja aliahidi kigoma itakuwa dubai lakini imekuwa dubwana
Hivi pesa za ruzuku huyu na dem wake wamerudosha
Mshaurini ajenge machinga complex tatu alizoahidi pamoja na hospitali kwanza. Hiyo ya kugawa madawati amuachie mzee Slaa.
Huyu mzee kuna ndoto zimeanza kumsumbua usiku.sio bure!!
Binti unataka uolewe na Dr maana naona unamuonea wivu Josephine.
![]()
![]()
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr.Wilbrod Peter Slaa,ametoa msaada wa madawati 60 kwa Shule ya Mivumoni Seminary iliyopo Kinondoni. Shule hiyo iliathiriwa vibaya na moto uliounguza ghorofa ambamo kuna shule hiyo na Msikiti wa Mtambani. Ametimiza ahadi yake aliyoitoa alipotembelea eneo lililoathirika
![]()
![]()
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr.Wilbrod Peter Slaa,ametoa msaada wa madawati 60 kwa Shule ya Mivumoni Seminary iliyopo Kinondoni. Shule hiyo iliathiriwa vibaya na moto uliounguza ghorofa ambamo kuna shule hiyo na Msikiti wa Mtambani. Ametimiza ahadi yake aliyoitoa alipotembelea eneo lililoathirika