Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

Nadhani huelewi mazingira ya hii ishu...ivi unayajua makao makuu ya chadema na hapo ilipoungua shule kuna umbali gani? Siasa is a dirty game brother...!!!

ni kweli lakini katika dini yetu hakuna ria siku moto ulipoungua kesho yake kuna mwenzake katoka wilaya ya jirani mapema kabla yake na akatoa rambirambi yake bila kujitangaza (ufahari) na akasema bado ya chama itakuja,ila padri katoa kisiasa zaidi akitegea mambo ya uchaguzi watu wanapokea hawakatai msaada
 
ni kweli lakini katika dini yetu hakuna ria siku moto ulipoungua kesho yake kuna mwenzake katoka wilaya ya jirani mapema kabla yake na akatoa rambirambi yake bila kujitangaza (ufahari) na akasema bado ya chama itakuja,ila padri katoa kisiasa zaidi akitegea mambo ya uchaguzi watu wanapokea hawakatai msaada

Kwa hiyo unakubaliana na mim kuwa hapa dr kacheza mchezo mchafu?
 
Kwa hiyo unakubaliana na mim kuwa hapa dr kacheza mchezo mchafu?
yaah!!Hapo ni sehemu ya ibada haitakiwi RIA (kujionesha)ingekua katika jambo linalohusisha jamii zote hapo sawa ila katika dini tunaambiwa tutoe kwa mkono wa kulia hali ya kuwa mkono wa kushoto usione.kuna mabweni mangapi yameungua tena ya kiserikali na mission hatukuwaona.Nakubaliana nawe yeye anategemea ndo anawateka mh!!kumbe ni sawa na buzi tulichune
 
10653541_515578815253505_8848877374874810383_n.jpg


10481417_515578775253509_7076891498665671374_n.jpg



Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr.Wilbrod Peter Slaa,ametoa msaada wa madawati 60 kwa Shule ya Mivumoni Seminary iliyopo Kinondoni. Shule hiyo iliathiriwa vibaya na moto uliounguza ghorofa ambamo kuna shule hiyo na Msikiti wa Mtambani. Ametimiza ahadi yake aliyoitoa alipotembelea eneo lililoathirika

madawati mazuri sana
 
Nataman kuiona ccm ikiwa chama cha upinzani

Siku Ccm ikishindwa uchaguzi ndio imekufa rasmi, ikiwa kitabaki kuwa chama basi kitakuwa kama TLP.

Kibachofanya CCM iwepo ni madaraka na maslahi tu, hakuna madaraka na ulaji, hajuna CCM.
 
Hakika dr.slaa ni nembo halisi ya kiongozi wa kuigwa.
Vijana wa Tz wote siku moja twapenda tuwe km yy
 
Back
Top Bottom