Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

Dr.Slaa amwaga madawati Mivumoni Sekondari

Mh El hinayo damu ya kunguni hiki fanya kitu zuri ponda sana . Dk sl kutoa msaada ya dawati pongeza sana.dah ! Jamaan tz hinahenda wapi ss sote wa moja tupendane na tusahau ya nyuma kila mutu hina pungufu yake
 
Ni jambo zuri kuwakumbuka wenzetu pale wanapopata matatizo na kuweza kusaidiana,
bila kujadili Itikadi zetu,;Mungu awazidishie pale mlipotoa.
 
Mtasubiri sana. Kwani upinzani ni kuandamana?

Kuandamana ni haki ya kila raia wa jamuhuri kwa mujibu wa katiba,hamna harakati zisizohusisha maandamano kama njia ya kuprotest a certain Agenda,so yes ukiwa mpinzani maandamano nayo yanahusika.
 
Teh teh teh Padri alikuwa wapi kutoa siku zote au kwakuwa kaona uchaguzi unakaribia? Ametoa kidogo tofauti na fedha za ruzuku anazokula


Sent from my iPad Air using JamiiForums

Babu anataka kujitoa kimasomaso
 
BABU alipe kwanza mkopo anaodaiwa na CHADEMA ndipo aje na hizo porojo zake za kugawa madawati.

mkuu hiyo ni mere propaganda,personal attack ni indicator ya mtu kushindwa kuibua hoja.jenga hoja acha kupiga kelele-Jenerali Ulimwengu.
 
Dr Slaa nakuomba sana pia Pale kwetu Rorya kuna shule ya sec Nyamasanda. jamani hawana madawati,hata 20 tu kama hizo watashukuru sana,napatikana kwa namba 0717757021 au yeyote mwenye kuweza kusaidia ile shule jamani wasaidieni na watz walioko pembezoni kama Nyamasanda sec.Yaani hii shule ukitoka kwenye becon za mpakani na kenya unakuta shule hiyo so iko pembezoni na hakuna msaada wanayopata,wanaJF nifikishieni ombi hilo kwa DR Slaa maana sina njia nyingine ya kumpata.

Hope wahusika wameliona ombi,uzuri chadema haibagui,mambo yakiwa tayari,ni utekelezaji tu.
 
Kuandamana ni haki ya kila raia wa jamuhuri kwa mujibu wa katiba,hamna harakati zisizohusisha maandamano kama njia ya kuprotest a certain Agenda,so yes ukiwa mpinzani maandamano nayo yanahusika.

Sijawahi kusikia maandamano moshi...
 
Huwezi kuwalaumu Magamba kwa hii reaction yao,wanajua ikifika 2015 Dr Slaa atatoa ahadi huku backed up by his fulfilled promises of the past.Hapo hayupo madarakani lkn ameanza kutimiza ahadi,Je akiwa madarakani?

Nadhani huelewi mazingira ya hii ishu...ivi unayajua makao makuu ya chadema na hapo ilipoungua shule kuna umbali gani? Siasa is a dirty game brother...!!!
 
Back
Top Bottom