Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

We are paying the price of denying Kwame Nkrumah idea of African unity. Sahv tungekuwa na united states of africa (USA). Matokeo yake ni vita kila mahali africa kwa sababu ya selfshness ya viongozi wetu

Tukisema majanga yote haya yanatokana na Marehemu Nyerere watu wanapinga.
 
Basi wewe ni mbumbumbu mzungu wa reli, unazisotea shahada wakati watu wanaonekana kazi zao duniani na magwiji wa vyuo vikuu wenyewe wanaamuwa kuzitoa hizo shahada kwa kazi tu ya mtu. Hapo ndio ujuwe tofauti yako wewe na wenye vichwa.

Aliyepewa shahada kwa kutumiwa na mabeberu?Alipata kashahafa kamoja ka uchumi tena gentleman degree unataka unilinganishe nae?Alikua waziri wa mambo ya nje for 10 good years but hajui kwanini Taifa lake ni maskini.Ni Rais lakini hajui kwanini taifa ni maskini yaani msomi mzima wa uchumi na Dokta aliyetunukiwa?He is not my peer intellectually by any description!

Sihitaji kupewa degree na Kenyatta University in exchange ya ardhi ya mababu zangu kule Mrere katika kitongoji cha Hiti kule Rombo sembuse Kibaki Road huko Bagamoyo?

Vilaza hawa hawana tofauti na chifu Mangungo wa Msovero!
 
Basi wewe ni mbumbumbu mzungu wa reli, unazisotea shahada wakati watu wanaonekana kazi zao duniani na magwiji wa vyuo vikuu wenyewe wanaamuwa kuzitoa hizo shahada kwa kazi tu ya mtu. Hapo ndio ujuwe tofauti yako wewe na wenye vichwa.

kikwete ni dr au anazugwa, kuna shahada nyingine ya sheria walimzuga nayo pale mlimani akastuka kina mkandara wakamlazimisha
 
huyu jk mtwara kashindwa kwenda kuzungumza na wananchi ametuma majeshi sijui anamshauri kagame madudu gani?
 
kikwete ni dr au anazugwa, kuna shahada nyingine ya sheria walimzuga nayo pale mlimani akastuka kina mkandara wakamlazimisha

Hayo yako wewe, ili iweje? kwani alienda kuziomba yeye au waliona kazi zake ni adhimu na adimu na za kutukuka.
 
huyu jk mtwara kashindwa kwenda kuzungumza na wananchi ametuma majeshi sijui anamshauri kagame madudu gani?
Mkuu, kutokukubaliana na watu wako, hakukuzuii kutoa ushauri ambao ni substantial kwa watu walio nje na kwako. Haya ni mambo mawili tofauti tusiyachanganye. Tunakubaliana kabisa kwamba domestic politics, JK amefeli lakini still hiyo haiondoi essence ya ushauri alioutoa. Ni vema mambo haya mawili tukiyapa mitizamo tofauti ili tuweze kuyachambua fairly
 
Aliyepewa shahada kwa kutumiwa na mabeberu?Alipata kashahafa kamoja ka uchumi tena gentleman degree unataka unilinganishe nae?Alikua waziri wa mambo ya nje for 10 good years but hajui kwanini Taifa lake ni maskini.Ni Rais lakini hajui kwanini taifa ni maskini yaani msomi mzima wa uchumi na Dokta aliyetunukiwa?He is not my peer intellectually by any description!

Sihitaji kupewa degree na Kenyatta University in exchange ya ardhi ya mababu zangu kule Mrere katika kitongoji cha Hiti kule Rombo sembuse Kibaki Road huko Bagamoyo?

Vilaza hawa hawana tofauti na chifu Mangungo wa Msovero!
Dude!, you don't have to go there. Your comments are shallow.

Zungumzia usahihi wa maoni ya Dr. Slaa ambaye kadri siku zinavyokwenda anapoteza trust ya watanzania wengi tu.

Hizo siasa za kuwahutubia madereva wa bodaboda na wamachinga zinaweza kumpa mtu ubunge na udiwani, lakini siyo urais.

Dr. Slaa ni mweupe mno kwenye vilinge vya siasa za kimataifa, na ni mropokaji ambae hawezi kuficha njaa yake ya kuwa rais kwa namna yeyote ile.

Chadema mnachemsha sana, na kama huyu ndiye candidate wenu basi msitegemee sana kupata ushindi 2015. Dr. Slaa ana-reflect safu ya CDM ambayo kwenye international politics ni weupe mno.

Sorry.
 
Mkuu, kutokukubaliana na watu wako, hakukuzuii kutoa ushauri ambao ni substantial kwa watu walio nje na kwako. Haya ni mambo mawili tofauti tusiyachanganye. Tunakubaliana kabisa kwamba domestic politics, JK amefeli lakini still hiyo haiondoi essence ya ushauri alioutoa. Ni vema mambo haya mawili tukiyapa mitizamo tofauti ili tuweze kuyachambua fairly

if jk is a failure domestically how can he successful advise kagame on domestic issues? huu ni wendawazimu
 
Dude!, you don't have to go there. Your comments are shallow.

Zungumzia usahihi wa maoni ya Dr. Slaa ambaye kadri siku zinavyokwenda anapoteza trust ya watanzania wengi tu.

Hizo siasa za kuwahutubia madereva wa bodaboda na wamachinga zinaweza kumpa mtu ubunge na udiwani, lakini siyo urais.

Dr. Slaa ni mweupe mno kwenye vilinge vya siasa za kimataifa, na ni mropokaji ambae hawezi kuficha njaa yake ya kuwa rais kwa namna yeyote ile.

Chadema mnachemsha sana, na kama huyu ndiye candidate wenu basi msitegemee sana kupata ushindi 2015. Dr. Slaa ana-reflect safu ya CDM ambayo kwenye international politics ni weupe mno.

Sorry.

Ili uwe rais inabidi uhutubie kina nani we kaburu?
 
ukishindwa ya ndani kwako utawezaje ya jirani?
JK is wrong, kama yuko sahihi basi asitishiwe na PK ambapo JK angempiga kama mtoto mdogo.
 
Huu uzi unaonesha umuhimu wa kuangalia siasa za ndani na maslahi mapana ya nchi. Tuchukulie mfano mzuri Marekani, ndani ya mwezi mmoja wamekuja marais 3 Tanzania, na marais hawa wanatoka vyama tofauti. Wanaweza kuja kwa mgongo wa taasisi zao za kusaidia watu lakini hapo hapo kwenye kujenga mazingira mazuri kwa nchi yao kufaidika kwa kuwa karibu na Tanzania.

Linapokuja swala la maslahi ya taifa kama hili la DRC na Rwanda tulitakiwa (kama taifa) kuwa na kauli moja. Dr Slaa hakutakiwa kuongea hayo maneno hadharani. Lakini pia, nilitegemea katika sintofahamu inayoikabili Tanzania kwa kipindi hiki, basi viongozi wa juu toka vyama vikubwa vya siasa nchini wangekutakana na kuwekana sawa kuhusu 'Tanzania'. Kama ni ushauri wangepeana humo ndani lakini nje ya nchi lazima tuwe kitu kimoja.

Kagame amefanya kazi kubwa kuinua nchi yake, lakini Kagame ana upande wa pili ambao ni 'shameful' kwa Afrika. Miaka nenda rudi sisi Waafrika tumekuwa tunalalamika kuwa machafuko yanayotokea barani kwetu yanafanywa na wazungu ili waibe rasilimali zao. DRC imakuwa ni kielelezi cha jinsi gani sisi Waafrika ni wanafiki. Kagame anang'aka, si kwa sababu kaambiwa aongee na wabaya wake, lakini anajua msimamo wa Tanzania kuhusu DRC unamuumbua. Angalia pato la taifa la Rwanda lina nini ndani yake? wana-export madini bila aibu, na sasa anajua Bandari ya Dar itakamata madini yake amekimbilia Kenya.

Na iweje Kagame hakumjibu Kikwete pale pale kwenye kikao badala yake ameenda kupiga kelele nyumbani kwake? Huo ujasiri anaotamba kuwa nao aliusahau wapi siku hiyo ya kikao?
 
Mkuu, kutokukubaliana na watu wako, hakukuzuii kutoa ushauri ambao ni substantial kwa watu walio nje na kwako. Haya ni mambo mawili tofauti tusiyachanganye. Tunakubaliana kabisa kwamba domestic politics, JK amefeli lakini still hiyo haiondoi essence ya ushauri alioutoa. Ni vema mambo haya mawili tukiyapa mitizamo tofauti ili tuweze kuyachambua fairly

Acha kujichanganya wewe, mwanaume anaanza kutatua matatizo kwenye mji wake ndiyo awe na uwezo wa kutoa ushauri kwa jirani! Haiwezekani wewe kwako kuna ngumi zisizo na mpangilio kila leo halafu ukamshauri jirani yako namna ya kuishi kwa amani na familia yake? You must be crazy!!
 
Hayo yako wewe, ili iweje? kwani alienda kuziomba yeye au waliona kazi zake ni adhimu na adimu na za kutukuka.

Hujui Mkandara huwa analamba viatu vya JK, akimuona JK hysterical reactions haziishi anachekacheka kama binti alievunja ungo
 
Slaa ni "mfa maji haishi kutapatapa".

Na huyu Ben Saanane ni mnafiki mwingine, msome hapa, leo kishabadilika baada ya boss wake kudandia treni kwa mbele.

Akhsante dada yangu kwa quote ya huyu mtu Ben Saanane Mwanzoni nilikua namuona kama wamaana lakini now days nimekundua ni papeti fulani tu

Jaani jinsi lilivyojiapiza na kisha kugeuka kisa kauli ya slaa hata huwezi kuamini. Hawa ndio wale wa zidumu fikra sahihi..........ni aibu sana kwa kijana unayejifanya msomi na kuhoji uDr wa jk lakini unashindwa kusimamia kauli zako
Shame on you
 
Last edited by a moderator:
Aliyepewa shahada kwa kutumiwa na mabeberu?Alipata kashahafa kamoja ka uchumi tena gentleman degree unataka unilinganishe nae?Alikua waziri wa mambo ya nje for 10 good years but hajui kwanini Taifa lake ni maskini.Ni Rais lakini hajui kwanini taifa ni maskini yaani msomi mzima wa uchumi na Dokta aliyetunukiwa?He is not my peer intellectually by any description!

Sihitaji kupewa degree na Kenyatta University in exchange ya ardhi ya mababu zangu kule Mrere katika kitongoji cha Hiti kule Rombo sembuse Kibaki Road huko Bagamoyo?

Vilaza hawa hawana tofauti na chifu Mangungo wa Msovero!

Hayo ni maneno ya mkosaji hivi wewe una nini cha kujivunia ukaji "compare" na "achievements" za Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete? labda kashfa za kutembea na vichupa vya sumu. Hilo nalo si dogo.

Mwenzangu na mie hata ujumbe wa nyumba kumi hauna, halafu eti una ubavu wa kumkejeli mtu ambae kafika cheo cha mwisho kabisa Tanzania. Ultimate Power. Amabachi wewe hata ndotoni mwako hakiji. Kitoke wapi?

Ungekuwa kijana mwenye maana na "productive" na majisifu yote uliyokuwa nayo ungekuwa na cha maana cha kufanya zaidi ya wewe kutwa kucha kukaa hapa JF ulumbane na sisi tuliokuwa semi retired na ma house wife.

Vijana wenzako "productive" hata hao wa chadema unawaona humu mara kwa mara? kina Zitto, Mnyika, Lema, Mbowe, Nassari? mie nakuona wewe usiyejijuwa usiyejitambuwa, huko hauko kule hauko, kutwa kucha tunashinda tunakesha wote humu. Unanini weyee? Unanchekesha, haaa!
 
Sioni crisis yeyote hapa wala vita,ninachoona kikwete katoa ushauri mwenzake kamjibu shut up and mind your business and thats it,hivi kweli kuna mtu yuko tayari kuingia vitani kwa ajiri ya hili?hawa viongozi they come and go all the time lakini states zitakuwepo hata for a thousands yrs...tusikuze mambo hakuna mgogoro hapo ni politics tuu.
 
Huu uzi unaonesha umuhimu wa kuangalia siasa za ndani na maslahi mapana ya nchi. Tuchukulie mfano mzuri Marekani, ndani ya mwezi mmoja wamekuja marais 3 Tanzania, na marais hawa wanatoka vyama tofauti. Wanaweza kuja kwa mgongo wa taasisi zao za kusaidia watu lakini hapo hapo kwenye kujenga mazingira mazuri kwa nchi yao kufaidika kwa kuwa karibu na Tanzania.

Linapokuja swala la maslahi ya taifa kama hili la DRC na Rwanda tulitakiwa (kama taifa) kuwa na kauli moja. Dr Slaa hakutakiwa kuongea hayo maneno hadharani. Lakini pia, nilitegemea katika sintofahamu inayoikabili Tanzania kwa kipindi hiki, basi viongozi wa juu toka vyama vikubwa vya siasa nchini wangekutakana na kuwekana sawa kuhusu 'Tanzania'. Kama ni ushauri wangepeana humo ndani lakini nje ya nchi lazima tuwe kitu kimoja.

Kagame amefanya kazi kubwa kuinua nchi yake, lakini Kagame ana upande wa pili ambao ni 'shameful' kwa Afrika. Miaka nenda rudi sisi Waafrika tumekuwa tunalalamika kuwa machafuko yanayotokea barani kwetu yanafanywa na wazungu ili waibe rasilimali zao. DRC imakuwa ni kielelezi cha jinsi gani sisi Waafrika ni wanafiki. Kagame anang'aka, si kwa sababu kaambiwa aongee na wabaya wake, lakini anajua msimamo wa Tanzania kuhusu DRC unamuumbua. Angalia pato la taifa la Rwanda lina nini ndani yake? wana-export madini bila aibu, na sasa anajua Bandari ya Dar itakamata madini yake amekimbilia Kenya.

Na iweje Kagame hakumjibu Kikwete pale pale kwenye kikao badala yake ameenda kupiga kelele nyumbani kwake? Huo ujasiri anaotamba kuwa nao aliusahau wapi siku hiyo ya kikao?

You are wrong my dear na inaokana hata siasa za Marekani huzijui! Wamaekani ni wamoja ktk masuala ya kuendeleza taifa lao na sio Tanzania! Tumeshuhudia hapa kwetu masuala yote ya muhimu kwa taifa yanaongelewa kishabiki na ccm! Tumeona hata bungeni yanayotokea! Pia tumeona mara nyingi Rais Kikwete akiwakejeli wapinzani na watnzania mara nyingi! So tusidanganyane hapa, huu msala ni wa JK na ccm yake! MMESHASEMA TUPIGWE TU MAANA MMETUCHOKA sasa ya utaifa yanatoka wapi tena? Au mlikuwa mnatukana mamba kabla hamjavuka mto? Kikwete alishawahi kuwakejeli wafanyakazi na kuwaambia kama ni kura wamnyime ila wakigoma atawatuma polisi wakavunje miguu, umesahau mkuu!!
 
Back
Top Bottom