Kwa mfano?Mkama ni Gamba uwezo wake wa kufikiri ni mdogo saana na kamwe hawezi shindana na Dr Slaa nadhan hatustahili kujudge bila kujua sababu ya kutotokea ni nn haswa maana sie ni binadam bhana
Ila kwa hapa tumeona!....Imagine Mitt Romney asitokee kwenye mdahalo alioahidi kuwepo baina yake na let say Hilary Clinton. Bila kutoa ufafanuzi au apology.Mojawapo ya majibu mabaya sana ambayo Nyerere aliwahi kutoa nilile alilomjibu mwandishi mmoja aliyeanza kwa kusema "Mwalimu tumesikia..." sitaki kulikumbuka jibu la Nyerere.
Jabali kivipi? Aliondokaje CCM?Mnamsema Mukama yupi? Huyu KIAZI aliyeanza siasa mwaka huu? Yan mtu hana hata mwaka kwenye siasa akimbiwe na Jabali la siasa za Tanzania! You cant be serious
Mkama ni Gamba uwezo wake wa kufikiri ni mdogo saana na kamwe hawezi shindana na Dr Slaa nadhan hatustahili kujudge bila kujua sababu ya kutotokea ni nn haswa maana sie ni binadam bhana
Mnamsema Mukama yupi? Huyu KIAZI aliyeanza siasa mwaka huu? Yan mtu hana hata mwaka kwenye siasa akimbiwe na Jabali la siasa za Tanzania! You cant be serious
Dr Slaa hawezi kuongea na mtu asiye na hoja za maana kama mukama...... ni kama kujidhalilisha
Dr Slaa hawezi kuongea na mtu asiye na hoja za maana kama mukama...... ni kama kujidhalilisha
Hii thread ipo hapa tangu jana asubuhi kama hakuingia mitini mbona hajitokezi kukanusha?Tunahitaji majibu kutoka yeye mwenyewe Dr Slaa ili tuwe kwenye nafasi nzuri ya kujadili zaidi ya hapo itakuwa tunamuaccuse bila sababu.
kwanini alikubali mwaliko?
Alikubali ili iweje?Kwani kukubali mwaliko ndo kuhudhuria?