Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

Status
Not open for further replies.
Single ya Dr. Slaa haiuziki tena, watafute mtu mwingine wa kujaribu kutudanganya kuwa kuna mabomba ya gesi yamechimbwa chini ya bahari tokea mtwara mpaka ulaya.
 
ifweelo, simiyu yetu, victoire, pumbafu sn mnaanzisha mada mnadibet wenyewe mko sawa. you a empty mind

Mkuu huwa yanaambiana halafu sasa moja akinzisha yanasopotiana ujinga..!! Tahira anamuongoza tahira mwenzie..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mkuu, kuna muda huwa siwaelewi!

Hivi kuna nini cha kitoto hapo kuhusu Mzee Slaa?

Kama mtu hana mvuto tena kisiasa hamtaki isemwe?

Kumshauri mtu apumzike na kulea wajukuu ni utoto?

Kuna umuhimu gani wa kujadili mtu badala ya issues?
 
Yaani thread zinazotoka #TeamLumumba karibia zote zinajadili majina ya watu na si matatizo ya watanzania....!!

Kwa wenye busara wote suluhu ya matatizo mnayowasababishia watanzania ni muhimu tena maradufu kuliko majina ya hao watu mnaowaogopa na kudai wamechoka na kupauka!!!
 
Badala ya kujadili matatizo ya watanzania na kutoa suluhisho la kisera akajadili masuala binafsi kwa watanzania?Watanzania sio wadaku na wambea kama wewe
mkuu unaendeleaje baada ya ile ajali ya kibaha. hivi kweli wenzako wote wanakufa we unabaki hata kukwaruzwa kidogo hakuna? kweli mungu yupo.
 
Watanzania wazalendo tutafanya harambee tumchangie Slaa pesa za kujikimu aachane na ndoto za kuwa rais, tunajua tatizo la Slaa ni mafao yake ya uzeeni sio urais.

Nimegundua chadema ndio wana mng'ang'aniza agombee Urais kisa hawampendi Lipumba! UKAWA itavunjika maana CUF hawato kubali.
 
Mumeo atakua anaishi kwa kutegemea ccm.. Maana ulichokiongea inaonesha kabisa una akili fupi za maccm.. Halafu ambao hawana vyama hawanaga upuuzi kama uliouandika hapa...!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Mkuu changia kwa utulivu Slaa hafai kuwa Rais.
 
Kuna umuhimu gani wa kujadili mtu badala ya issues?

Yaani thread zinazotoka #TeamLumumba karibia zote zinajadili majina ya watu na si matatizo ya watanzania....!!

Kwa wenye busara wote suluhu ya matatizo mnayowasababishia watanzania ni muhimu tena maradufu kuliko majina ya hao watu mnaowaogopa na kudai wamechoka na kupauka!!!
anzishia mada hizo issue...ondoka kwenye hii thred....mbona unafuata nguo zako kwa kichaa ukiwa uchi?
 
Nyie ndo mnawaabudu watu,kwa sababu tu yupo upinzani au CCM,wengine hatuangalii yupo CCM,UKAWA ,au chama kingine chochote kile,kama kachemcha kachemsha tu na tutamsema bila kuangalia yupo wapi?

Sio kuabudu watu wewe mwanamke maisha ya mwanaume mwingine tena binafsi unayaangia ya nini kama sio uccm huo.. Wangapi maccm maisha binafsi yanaharibu?? Ndo maana nasema hukuwaza kwanza kabla ya kusema halafu unataka kujifanya ww sio ccm..!! Mtu amabaye yupo neutral utamjua tu.. Ni very smart.. Sio shabiki, mwehu, kichwani hamna kitu.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Safi sana mleta mada kama Dr. Slaa amechuja ni furaa na faida kwa ccm maana mtashinda uchaguzi kwa kishindo. Hakuna haja ya kumwogopa mtu aliyechuja.

Kwani mmesha mpitisha Slaa kugombea? Hakika patachimbika.
 
Kura yangu nitampa Slaa,Siyo fisadi kama viongozi wa CCM.
 
Hakuna haja ya kubishana na huyu gamba,,Makamanda kutendee kuchemsha maji tumnyonyoe OCT 2015.
 
Mkuu changia kwa utulivu Slaa hafai kuwa Rais.

Mkuu mimi mbona nachangia kwa utulivu ila nikiona hapa kuna tatizo la akili lazima nishangae..!! Nani anafaa kuwa Rais sasa mzee wa Lumumba?? Maaana kipenzi cha watanzania ni Dr Slaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hana tena mvuto, kasi ya kuchuja kwake inachagizwa zaidi na mpasuko uliokikumba chama chake CHADEMA mwaka jana ambao umekiacha chama na majeraha yasiyotibika kirahisi.

UKAWA ulimbeba kwa kiwango flani lakini nao wameanza kumshtukia kutaka kuwavuruga na kujijenga mwenyewe badala ya ukawa as a team ya wapinzani.

My take. Slaa apimzike tu abaki na majukumu ya familia.

How much are you being paid? Ukilala ukiamka huna jingine zaidi ya kumwandika Slaa ili upate ujira. Ujira unaopata ni wa kidhalimu kwani hadidu za rejea ni za kuwachafua watu wengine. Ona aibu. Inakuwaje mtu akazungumza uingo bila hata chembe cha aibu?
 
anzishia mada hizo issue...ondoka kwenye hii thred....mbona unafuata nguo zako kwa kichaa ukiwa uchi?

ifweero; kichaa si uchi wa mtu bali akili ya mtu.... Katika hii thread wewe unaonekana kichaa kuliko hao unaosema wako uchi!!
 
Hakuna haja ya kubishana na huyu gamba,,Makamanda kutendee kuchemsha maji tumnyonyoe OCT 2015.
Mpaka kufikia kumnyoa CCM , UKAWA mtakuwa mmeshanyoana sana kwanza. Issue ya udini nasikia imeanza kuchukua nafasi huko awe SLAA au Lipumba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom