Na ndio sifa ya kiongozi anaefaa kuliongoza taifa la watanzania bila kujali imani ya kidini,rangi,ukanda wala kabila.Na kwa kukosa sifa hizo Chadema hawatokuja kuliongoza taifa la Tanzania milele kwa kuwa tunawafahamu na dhamira waliyoibeba inatambulika.JK ni kiongozi wa taifa la watanzania kwenda kanisani kushiriki na watanzania wenzake katika ibada wala sio tatizo.Lakini jiulize kama ingetokea padri Slaa watanzania wangejaribu kumpa uongozi wa nchi angeshirikiana na watanzania wenzake wenye imani tofauti na yeye?