Dr Slaa amaliza ziara Marekani

Dr Slaa amaliza ziara Marekani

Hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.Misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.Na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.Hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa CHADEMA.Hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.Saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.Take it from me CHADEMA isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.CHADEMA misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.

sidhani kama uko serious katika hili. Unataka nchi yetu iwe tegemezi tena kwa kiwango hiki hadi lini?? Kuna tofauti gani ya sasa na wakati ule nchi inaongozwa na malkia wa uingereza akiwa huko huko UK??

HATA KAMA NI UCCM, JARIBUNI KUWA SERIOUS BASI HATA KWA HAYA MACHACHE. Tanzania tunalima chakula kinatutosha kujilisha ,na tena tunaweza kuboresha tukapata zaidi. Misaada tunaenda kuomba kila kukicha ni hela,au walishawahi kuleta na mahindi au mchele kama chakula cha njaa ili tusife?? Siku zote viongozi wetu huomba pesa, nayo huigawana na kuficha uswisi. Uhuru wetu na tanzania yetu ni muhimu mno sasa hivi kuliko ccm na misaada ya hao mabeberu.
 
kwenye huu uzi tu una comments zaid ya 10 ,utalipwa sh ngapi?
@Dr .w.slaa ndiye rais wako ajaye
Nikupe siri moja mdogo wangu,ukiona jambo lolote unalolifanya ukalipwa basi ujue kazi yako au mchango wako unathamani.Sasa nyinyi misukule mnalipwa nini? halafu urais hata TFF,vyuoni upo anaweza kuwa rais wa Open University sikatai.

 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa amemaliza ziara ya wiki tatu nchini Marekani aliyoalikwa na Umoja wa vyuo vikuu vikubwa nchini humo.

Sema kweli wacha uongo ni vyuo vikubwa vipi? maana Samford Christian University hakiko hata katika rank ya vyuo 2000 bora vya USA.

Labda utuambie Umoja wa vyuo vya Kikristo nchini humo. Hapo tutakubaliana.

Kwanini mnapenda kusema uongo?
 
Nikupe siri moja mdogo wangu,ukiona jambo lolote unalolifanya ukalipwa basi ujue kazi yako au mchango wako unathamani.Sasa nyinyi misukule mnalipwa nini? halafu urais hata TFF,vyuoni upo anaweza kuwa rais wa Open University sikatai.

Mkuu Mingoi,

Nakusoma unavyotoa dozi unanifurahishe sana.
 
Last edited by a moderator:
Sema kweli wacha uongo ni vyuo vikubwa vipi? maana Samford Christian University hakiko hata katika rank ya vyuo 2000 bora vya USA.

Labda utuambie Umoja wa vyuo vya Kikristo nchini humo. Hapo tutakubaliana.

Kwanini mnapenda kusema uongo?
Misukule ina sifa kuu mbili,UONGO na MATUSI

 
hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa chadema.hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.take it from me chadema isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.chadema misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.

hata wewe huhitaji fedha za misaada ili kuendelea bali unahitaji ujuzi ili kujiendeleza mwenyewe .
 
Mungu amjaalie afike salama nyumbani , hatutegemei kuona picha zake akiwa na Jay - z .
 
nikupe siri moja mdogo wangu,ukiona jambo lolote unalolifanya ukalipwa basi ujue kazi yako au mchango wako unathamani.sasa nyinyi misukule mnalipwa nini? Halafu urais hata tff,vyuoni upo anaweza kuwa rais wa open university sikatai.


he ! Kumbe haya mambo ya buku 7 yamo kwenye sera za magamba ?
 
Nafikiri alichotaka kusema Slaa kama padri mfukuzwa anayejua maadili ya ndoa aliyokuwa akifundisha wakati padri alitakiwa asafiri na mke wa ndoa aliyefunga naye kwa kanuni za kikatoliki.Lakini huyo aliyeenda naye (of-course walikuwa wanalala naye) kachemka.Ila lugha aliyotumia mwandishi kali lakini ujumbe ndio huo.
Vipi ulitaka uolewe wewe na Dr Slaa? Maana naona una nyodo kibao.
 
Acha uongo we msukule wa team lumumba. Hapo mtaa wa lumumba mnajua ratiba nzima ya siku ya kuondoka Dar hadi mahali alikotembelea na nini alichokiongea huko alikotembelea. Pia mtaa wa lumumba mnafahamu ni lini anarudi na ndege atakayosafiri nayo na muda atakaotua nchini!

Mkuu Mwita Maranya umempa za uso mpaka nimemuonea huruma.
 
Last edited by a moderator:
Hivi wewe unavifahamu vyuo vikuu vikubwa Marekani kama siyo kuonyesha jinsi usivyofahamu kile unachoandika.

Nyenzo zote za kutafiti, kujifunza na uelewa umepewa lakini kwa uvivu au kutokuelewa kutumia inakufanya uonekane bado uko gizani na hufahamu kile unachokiandika.

Hata kutumia google search engine napo mpaka tukufundishe?.

Akili za kibavicha ni hasara tupu.

Ha ha Sadif bwana hivi shingo umepona manake ilikuwa unyongwe kwa UVCCM kuzidi kuwa wajinga
 
Nikupe siri moja mdogo wangu,ukiona jambo lolote unalolifanya ukalipwa basi ujue kazi yako au mchango wako unathamani.Sasa nyinyi misukule mnalipwa nini? halafu urais hata TFF,vyuoni upo anaweza kuwa rais wa Open University sikatai.

Misukule ya Lumumba ccm jazz bendi haijitambui kabisa wewe unalilia kuwa matonya haya kagombee uraisi nyumbani kwa baba yako basi
 
Siasa aisee dah Dr.Slaa katoka kula Bata na Demu wake kwa Obama waTanganyika mnalumbana tu mara Lumumba mara Bavicha.......kazi kwenu wakereketwa na wanazi wa siasa......we mhudumu lete bia hapa....
 
Siasa aisee dah Dr.Slaa katoka kula Bata na Demu wake kwa Obama waTanganyika mnalumbana tu mara Lumumba mara Bavicha.......kazi kwenu wakereketwa na wanazi wa siasa......we mhudumu lete bia hapa....
beggars
 
Hivi wewe unavifahamu vyuo vikuu vikubwa Marekani kama siyo kuonyesha jinsi usivyofahamu kile unachoandika.

Nyenzo zote za kutafiti, kujifunza na uelewa umepewa lakini kwa uvivu au kutokuelewa kutumia inakufanya uonekane bado uko gizani na hufahamu kile unachokiandika.

Hata kutumia google search engine napo mpaka tukufundishe?.

Akili za kibavicha ni hasara tupu.

View attachment 116730 View attachment 116731

View attachment 116732 View attachment 116733

View attachment 116734 View attachment 116735

Povu linakutoka hadi linakuondoa ufahamu utakufa na wivi wa kike.Dr. Slaa alikuwa anaiwakilisha Nchi huku Mwigulu akiiwakilisha CCM na kuishia kufanya vimikutano kwenye nyumba za wana CCM
 
Like yours......ptuuuuu
Kama mtu akisema Ikulu ipo Ubungo, utakubari? Mimi sio mshabiki bali napenda ukweli. Nakubali Dr. Slaa alikwenda vyuo vikuu, lakini sio vyuo vikuu vikubwa marekani. Kila City marekani kuna Uwanja wa ndege, kitendo cha kusema uwanja wa ndege wa marekani ni uvumi. Dr. Slaa ameacha gumzo, speech aliyoitoa, inaweza kubadilisha msimamo wa Marekani kwa CCM. He is genius
 
Back
Top Bottom