Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Mkuu unakujaga na point halafu unaharibu tena,short temper siyo nzuri kwenye mambo muhimu,jibu maswali kwa hoja
Ulitaka akabembee jamaica kama Mwenyekiti wa CCM?..Sijaona umuhimu wa hii ziara kwa Taifa..
Hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.Misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.Na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.Hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa CHADEMA.Hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.Saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.Take it from me CHADEMA isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.CHADEMA misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.
Mkuu unakujaga na point halafu unaharibu tena,short temper siyo nzuri kwenye mambo muhimu,jibu maswali kwa hoja
Nafikiri alichotaka kusema Slaa kama padri mfukuzwa anayejua maadili ya ndoa aliyokuwa akifundisha wakati padri alitakiwa asafiri na mke wa ndoa aliyefunga naye kwa kanuni za kikatoliki.Lakini huyo aliyeenda naye (of-course walikuwa wanalala naye) kachemka.Ila lugha aliyotumia mwandishi kali lakini ujumbe ndio huo.
Kenye bold ndicho nilichomaanisha hiyo si lugha ya kutumiwa na kiongozi wa hadhi yake,Nafikiri alichotaka kusema Slaa kama padri mfukuzwa anayejua maadili ya ndoa aliyokuwa akifundisha wakati padri alitakiwa asafiri na mke wa ndoa aliyefunga naye kwa kanuni za kikatoliki.Lakini huyo aliyeenda naye (of-course walikuwa wanalala naye) kachemka.Ila lugha aliyotumia mwandishi kali lakini ujumbe ndio huo.
Bavicha ni majanga. Hata kujenga hoja pia ni majanga.Huwa huna hadhi ya kujibu post yangu.You are in my Ignore List!
Yes, kwa njia hii ya kilaghai utakuwa umefika.Viwe vyuo vidogo au vikubwa lakini kilicho muhimu ni kuwa ujumbe umefika.
..Sijaona umuhimu wa hii ziara kwa Taifa..
Hii ziara haiwezi kuwa ya kitaifa kwa kuwa taifa halijawahi kumuamini katika masuala yake wala halijamtuma kufanya lolote...Sijaona umuhimu wa hii ziara kwa Taifa..
Hii ziara haiwezi kuwa ya kitaifa kwa kuwa taifa halijawahi kumuamini katika masuala yake wala halijamtuma kufanya lolote.
5-40=?
Hii ziara haiwezi kuwa ya kitaifa kwa kuwa taifa halijawahi kumuamini katika masuala yake wala halijamtuma kufanya lolote.
Kumbe ndivyo anavyowafanyia misukule,Alaaa ndio maana mkisikia anatajwa mnangaka kweli babu galacha wa amri ya mbunge wa UramboSlaa kawashika makalio. Hamfurukuti