Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
" Umoja wa vyuo vikuu vikubwa nchini humo" kama John Hopkins, Havard, Stanford, Penn State, UC, TU, VT GT,BU nk, Dr. Slaa hakukanyaka bali alikwenda Stamford ambayo ni ndogo na ipo nje ya mji. Hakuna kitu kinachoitwa "uwanja wa ndege Marekani" aliyeandika hii habari kuna uwezekano mkubwa haijui Marekani au ni mshabgiliaji