Dr Slaa amaliza ziara Marekani

Dr Slaa amaliza ziara Marekani

" Umoja wa vyuo vikuu vikubwa nchini humo" kama John Hopkins, Havard, Stanford, Penn State, UC, TU, VT GT,BU nk, Dr. Slaa hakukanyaka bali alikwenda Stamford ambayo ni ndogo na ipo nje ya mji. Hakuna kitu kinachoitwa "uwanja wa ndege Marekani" aliyeandika hii habari kuna uwezekano mkubwa haijui Marekani au ni mshabgiliaji
 
" Umoja wa vyuo vikuu vikubwa nchini humo" kama John Hopkins, Havard, Stanford, Penn State, UC, TU, VT GT,BU nk, Dr. Slaa hakukanyaka bali alikwenda Stamford ambayo ni ndogo na ipo nje ya mji. Hakuna kitu kinachoitwa "uwanja wa ndege Marekani" aliyeandika hii habari kuna uwezekano mkubwa haijui Marekani au ni mshabgiliaji

Foolish mind in foolish age
 
Read between the lines. Kumfananisha na nyerere si amekufanyia nini, ila angalia kwa makini hoja zake zinafanana na zile za baba wa Taifa.
 
Hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.Misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.Na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.Hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa CHADEMA.Hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.Saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.Take it from me CHADEMA isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.CHADEMA misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.

Ni kweli hatuzihitaji! Mkiwa na mawazo ya aina hii hii nchi itabaki maskini always, pamoja na rasilimali nyingi zilizopo. Kuombaomba hakuinui uchumi wetu,otherwise tungekuwa matajiri sana duniani kwani tunaongoza kuombaomba na kukopa.
 
Nimejaribu kupitapita mitaani japo nisikie wapiga kura wakiingolea hii ziara ya dr,lakini sijapata hata mmoja.
 
Mahakama ya kadhi iliondolewa na mkristo itarudishwa na mkristo,LOWASA au MEMBE.ZENJI iliachwa,KENYA iliachwa na Katiba yao mpya imeipa nguvu zaidi.tunajua mupo wengi maofisini na kwanini JK kashindwa,Umoja'TZ ni muhimu zaidi,sisi tunazidisha ibada na subra.kama itapatikana ni kwa maridhiano ya wote isiwe kama fadhila au kuturidhisha.

Kwamba italetwa na Mkristo mimi sina mpango nayo. Ukweli ni kuwa CCM imewafanya waislam wa nchi hii kuwa ni mazuzu. Mnadanganywa mnapiga kura mlichoaidiwa kinaota mbawa
 
magamba mlitaka atoe hotuba kwa maneno YA KUAMBIWA,KUELEZWA NA KUFAHAMISHWA KAMA mr dhaifu? hotuba ya dr slaa inaonesha alivyo hai kichwani na huyo ndiye rais tunayemuhitaji kwa sasa.
 
Read between the lines. Kumfananisha na nyerere si amekufanyia nini, ila angalia kwa makini hoja zake zinafanana na zile za baba wa Taifa.

Alhaji Dr. Kikwete leo ameshiriki KUUMEGA MKATE katika MISA TAKATIFU ya kumwombea Mwenyeheri BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Alhaji Kikwete ameungama leo dhambi zake mbele ya Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa.

Alhaji Kikwete kwa unyenyekevu mkubwa ameshiriki misa takatifu kwenye KANISA KATOLIKI.

Alhaji Kikwete LEO ameshiriki kusema' Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho mtakatifu'
 
Alhaji Dr. Kikwete leo ameshiriki KUUMEGA MKATE katika MISA TAKATIFU ya kumwombea Mwenyeheri BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Alhaji Kikwete ameungama leo dhambi zake mbele ya Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa.

Alhaji Kikwete kwa unyenyekevu mkubwa ameshiriki misa takatifu kwenye KANISA KATOLIKI.

Alhaji Kikwete LEO ameshiriki kusema' Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho mtakatifu'

Acha UDINI mpuuzi wewe.
 
Alhaji Dr. Kikwete leo ameshiriki KUUMEGA MKATE katika MISA TAKATIFU ya kumwombea Mwenyeheri BABA WA TAIFA LA TANZANIA.

Alhaji Kikwete ameungama leo dhambi zake mbele ya Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa.

Alhaji Kikwete kwa unyenyekevu mkubwa ameshiriki misa takatifu kwenye KANISA KATOLIKI.

Alhaji Kikwete LEO ameshiriki kusema' Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho mtakatifu'
Vipi Padri Slaa ameshawasili au amekosa ndege kwa kuchelewa kuamka.
 
Hapo kachemka wasitoe misaada ya pesa na watu wao wakale wapi? Unaipa msaada nchi pesa halafu unaleta watu wako waje kuzibomolea huku kama wasimamizi wa hizo pesa na hayo uliyotolea msaada.Misaada ya pesa haiji kukoma ng`o.Na ambao hataki ikomeshwe kama hajui ni hao wanaotoa wenyewe.Hiyo hotuba aliyotoa ni mwiba kwa CHADEMA.Hawajaangalia wanaowahutubia huwa wanapenda nini.Saa hii watakuwa wamejifungia ndani wanaichambua kama karanga.Take it from me CHADEMA isahau misaada ya fedha toka kwenye nchi hizo walikohutubia.CHADEMA misaada ya fedha toka nje ikipungua wasishangae hotuba zao zimewaponza.

Mmeshamkamata Luhanjo kwa wizi wa hela za msaada kutoka Norway? Norway wanataka aeleze ametumiaje hizo hela. Pia mshikaji wake jk ana uwezo wa kumkamata mara moja.
 
Back
Top Bottom