Dr Slaa alakiwa Kigoma kwa Shangwe

Status
Not open for further replies.
hapo kuna misukule hata hawajitambui wameshaamini tayri,chadema gani ilivyo na facilities wasiweke picha?mbaya zaidi hata ajasema atakuja na updates!!

Mkiwekewa picha hamkawii kusema za mwaka juzi.
 
Du kweli wakina TOMASO tuko wengi sana huku jamvini,kaka picha mkono mtupu haulabwi inabidi upake japo asali kidogo iweze noga,so changamka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom