TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Picha mkuu
We Kigoma umeondoka kwa ungo?
Picha mkuu
Picha mkuu
Usihofu mkuu....Mambo mazuri hayaitaji haraka..picha jamani, au haujaenda na kamera nini?
Asije tu kuwa kaenda na sisimizi wake, watakwisha wote. Tuna hasira naye hadi basi, kisa cha kutuondolea raisi wetu?
wakuu. Molemo Tumaini Makene Kurugenzi ya Habari.wekeni picha za kutosha jama na kamera isetiwe vizuri tarehe ya leo.
kuna wafuasi wa@Zitto hawaamini kwamba chadema sio zito.
CCsixgates
Picha mkuu
hapo kuna misukule hata hawajitambui wameshaamini tayri,chadema gani ilivyo na facilities wasiweke picha?mbaya zaidi hata ajasema atakuja na updates!!
Asante asante
Sijui wataweka wapi nyusi zao waliosema Dr atashambuliwa Kigoma
Huyo yuko nyuma ya keybody mtaa wa Kigoma Ilala.Picha ya nini wewe si ulisema upo huko kigoma? Haya lete picha wewe
Picha ya nini wewe si ulisema upo huko kigoma? Haya lete picha wewe
aliongozana na mama slaa?
Mkiwekewa picha hamkawii kusema za mwaka juzi.
wakuu. Molemo Tumaini Makene Kurugenzi ya Habari.wekeni picha za kutosha jama na kamera isetiwe vizuri tarehe ya leo.
kuna wafuasi wa@Zitto hawaamini kwamba chadema sio zito.
CCsixgates
We si upo Kigoma!!! Tulitegemea uwe wa kwanza kutuletea picha,,,,, acha uyahaya kijana!!!!!!Picha mkuu