KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 732
Aliongozana na mama Slaa?
So what???
Aliongozana na mama Slaa?
Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa umeingia Kigoma tayari, ukianzia Wilaya ya Kakonko.
Hivi sasa ni mkutano wa kwanza Kijiji cha Muhange, Kata ya Muhange. Amepata mapokezi mazuri sana huku akina mama, watoto, vijana na wazee wako mkutanoni.
Mkutano wa pili utakuwa jioni Kakonko mjini.
Source:Afisa Habari CHADEMA Tumaini Makene
Picha mkuu
Picha ya nini wewe si ulisema upo huko kigoma? Haya lete picha wewe
Aliongozana na mama Slaa?
Hajitambui huyu!naye anatumika tuuPicha ya nini wewe si ulisema upo huko kigoma? Haya lete picha wewe
Asije tu kuwa kaenda na sisimizi wake, watakwisha wote. Tuna hasira naye hadi basi, kisa cha kutuondolea raisi wetu?
Picha mkuu
Picha mkuu
Msafara wa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa umeingia Kigoma tayari, ukianzia Wilaya ya Kakonko.
Hivi sasa ni mkutano wa kwanza Kijiji cha Muhange, Kata ya Muhange. Amepata mapokezi mazuri sana huku akina mama, watoto, vijana na wazee wako mkutanoni.
Mkutano wa pili utakuwa jioni Kakonko mjini.
Source:Afisa Habari CHADEMA Tumaini Makene
Picha mkuu
Mapokezi makubwa. Picha hakuna. Hahahahahhahahahahahahah