Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Wakipitisha ilani lazima wakwambie? Twambie ilani ya uchaguzi ya ccm kwa mwaka 2015
Umesoma alichosema Slaa? habari za CCM hapa kwanza zimetokea wapi naona unataka kudandia treni kwa mbele.
 
Acha ujinga wewe kuwaita watu wezi, ukiambiwa uthibitishe beyound resornable dought utaweza? Au kazi kupokea maneno ya kishabiki ya wanasiasa uchwara halafu unahitimisha ndani ya halmashauri ya kichwa chako kibovu halafu unajipongeza. Mbona humsemi mwizi aliyewauzia mafuso mabovu na maspika mabovu kwenye kampeni zenu 2010?
Ni vyema ungeongea kiswahili kuliko kuchanganya lugha (kiingereza) kwa makosa.
 
Mdahalo umekosa mashiko... watu wako bize na internal processes Mufuruki anatafuta kick

mwanzo alisema ni mdahalo wa watangaza nia, sasa sijui kama Zitto, Slaa na Makaidi wametangaza nia??

I am happy Slaa has refused to participate...
 
Mkuuu pokea like yangu

Alivyoeleza mchambuzi ndivyo inavyotakiwa iwe. Hata like uliyompa alistahili. Sasa hao wanaopinga na kushabikia ujinga ulitaka wafanyeje wakati wanategemea buku saba za Lumumba kwa mabandiko hayo? Na huyo Mfuruki na tv yake wana roho ngumu sana. Hasara waliyoipata majuzi hawajajifunza kitu?
 
Mkuu umeibua jambo hapo,inawezekana huyu mufuruki anatumiwa na ccm

Watu wanatumika kwa kujifanya eti ndani ya CCM watia nia wamegoma kwa hiyo tuwahoji wapinzani? Unaandaa mdahalo bila consent yao. Kuna jambo hapo. TAarifa ni kuwa jamaa anayeacha madaraka hofu debe na anaogopa nchi kwenda upinzani!
 
Juzi niliandika humuhumu JF, huyo Daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa atakacha.

Haikupita hata siku mbili, hayoooooooooooooooooooooooooooo, yametokea.

Kwi kwi kwi teh teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri Ali Mufuruki amepoteza focus na mantiki ya mdahalo, mwanzoni nilifikiri huu ni mdahalo wa watia nia ngazi ya uraisi, sasa Dr Slaa, ZZK na Dr Makaidi hawajatangaza nia hiyo, sasa wanaitwa kwa malengo yapi? Wajadili kuhusu nini?! Confusing! ZZK na Dr Makaidi nasikia wametia nia kwenye ngazi ya ubunge sasa mdahalo wa Ali Mufuruki unawahusu nini!? Ndg Ali Mufuruki please fafanua kama ni member wa JF.
 
Juzi niliandika humuhumu JF, huyo Daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa atakacha.

Haikupita hata siku mbili, hayoooooooooooooooooooooooooooo, yametokea.

Kwi kwi kwi teh teh teh teh

uko siku zako bibi
 
Last edited by a moderator:
Simwoni The Big Shaw humu,au hana fedha za kununulia bundle nini?
 
Mdahalo utakaorushwa kesho kuanzia saa 1 hadi saa 4 na Azam Tv unaoandaliwa na CEOrt chini ya kiongozi wao Ally Mufuruki, Dr Slaa amesema wao hawatashiriki Mijadala mpaka watakapomaliza kura za MAONI ndani ya chama.

Washiriki ni prof Lipumba CUF, Zitto Kabwe ACT, Dr. Slaa CHADEMA na Dr. Emanuel Makaidi NLD.

kwa ujumla lengo na madhumuni ya mdahalo hayajawekwa wazi na muandaaji wa mdahalo huo,na pia ccm inatafuta namna ya kuchokonoa ili kuijua walau kauli moja ya kiongozi wa cdm na ukawa kwa ujumla wake na hivyo wanahaha kutaka kujua nini siri ya ukimya wa dk slaa na kambi nzima ya ukawa.
historia ya bwana mfuruki kitaifa haijawekwa wazi zaidi ya kuibuka kama uyoga kwenye maandalizi ya midahalo tu....ingawa jina hili limetamkwa wakati fulani kwenye madeni ya EPA kama sikosei vile...naomba mwenye CV ya huyu mfuruki atuwekee hapa please.....
 
..nadhani Dr.Slaa yuko sahihi.

..Dr bado hajachukua fomu wala kupitishwa na chama chake kugombea Uraisi. Sasa angetokea ktk mdahalo huo angekuwa amekiuka taratibu za chama chake ambazo yeye ndiye msimamizi wake mkuu.

..Mufuruki angesubiri kwanza wapatikane watangaza nia wa CDM,CUF,NCCR,na NLD, ndipo aandae mdahalo wake.

..kwa kifupi, Mufuruki ameonyesha uchanga ktk kuandaa shughuli hii. kitu cha msingi anatakiwa kufanya kazi na vyama husika, na zaidi kuzingatia ratiba za vyama hivyo.

..sijui kwanini Mufuruki hakujifunza kutokana na makosa aliyoyafanya ktk kuandaa mdahalo wa wana-CCM. Mdahalo ule ulikosa washiriki kwasababu wengi walikuwa ndiyo kwanza wamechukua fomu na wako busy kutafuta wadhamini.

cc Kapwela, Alinda, Zakumi, Mkandara, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Sasa wew unataka kusema nin , kwani makaidi, zitto wapi amesema anagomea uraisi

Sasa kama hawagombei wanadahala nini?. Mdahalo huo maana yake ni kuwapa fursa Watanzania kuwasikiliza watia nia wanaotaka kuwania uraisi, sasa kama hawawanii what is the point ya kuwadahalisha? At least Prof keshatia nia, huyo zozo Zito naye ndio mgombea wa ACT? Mbona nilisoma kwenye mtandao kuwa mgombea wa ACT atajulikana August. Hopefully ACT wanasubiri spill over ya ccm?- sidhani kama itatokea this time again
Ali Mufruki atukie, i think it is too pre mature kuwa na mdahalo
 
..nadhani Dr.Slaa yuko sahihi.

..Dr bado hajachukua fomu wala kupitishwa na chama chake kugombea Uraisi. Sasa angetokea ktk mdahalo huo angekuwa amekiuka taratibu za chama chake ambazo yeye ndiye msimamizi wake mkuu.

..Mufuruki angesubiri kwanza wapatikane watangaza nia wa CDM,CUF,NCCR,na NLD, ndipo aandae mdahalo wake.

..kwa kifupi, Mufuruki ameonyesha uchanga ktk kuandaa shughuli hii. kitu cha msingi anatakiwa kufanya kazi na vyama husika, na zaidi kuzingatia ratiba za vyama hivyo.

..sijui kwanini Mufuruki hakujifunza kutokana na makosa aliyoyafanya ktk kuandaa mdahalo wa wana-CCM. Mdahalo ule ulikosa washiriki kwasababu wengi walikuwa ndiyo kwanza wamechukua fomu na wako busy kutafuta wadhamini.

cc Kapwela, Alinda, Zakumi, Mkandara, Nguruvi3
Akili zinapokwenda likizo ili watu wapitishe lao..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom