Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Chezea Zitto wewe! Slaa hana ubavu wa kujenga hoja mbele ya Zitto.
 
Kwa hiyo wewe unaona utitiri wa wagombea wa ccm ndiyo best practice? Ccm haiwezi kuwa model kwa lolote isipokuwa kwenye udanganyifu, ufisadi, dhuruma, rushwa na mauaji ya kisiasa. Kweli elimu ni ufunguo wa maisha!. Unatakiwa kutoka kwenye hilo giza la sanduku jeusi la ccm ili uone zaidi ya hapo!.


CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
 
Ulitaka aende nani,na aende kama nani?mana ule ni mdahalo wa watia nia wa upinzani
 
Amemuogopa mwepesi.
bbfbf51e-569b-41da-8e80-418002bdb013-medium.jpeg
 
Siyo wagombea urais ndiyo wanaokwenda kwenye mdahalo, bali viongozi wa upinzani kujadili mchakato wa urais, inawezekana wewe hujui kinachoendelea kuhusiana na huo mdhalo huo

Mbona wagombea wa ccm walimbia mdahalo?
 
Duh...kumbe style ya CCM wengi wanaipenda!nilidhani ni akina Yusuph Makamba tu.

Naamini kutakuwa na debate nzuri, Prof Lipumba na Zitto watawakilisha vizuri.

Kisichosemwa ni hofu tu ya labda Prof Lipumba au ZItto kufanya vizuri kwenye mdahalo na kufanya DR Slaa aonekane dhaifu.Tujiamini uwezo wetu.kama hatujiamini kwanin tunataka kuwa viongozi?
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameweka bayana kwamba chama hicho kikuu cha upinzani nchini hakitashiriki mdahalo wa wagombea Urais wa upinzani hapo kesho.

Kiongozi huyo aliyekuwa anasubiriwa na mamilioni ya Watanzania kwenye mdahalo huo ametoa sababu kubwa mbili kwa chama chake kutoshiriki...

Sababu ya kwanza ni kwamba CHADEMA bado haijampata mgombea Urais na mchakato wa ndani unaendelea.

Na sababu ya pili ni kwamba Ilani ya chama bado haijapitishwa na vikao vya juu vya chama hicho na itakuwa ni kichekesho kwenda kwenye midahalo bila kuwa na Ilani ya chama.

Dr Slaa amesema chama hicho kitakuwa tayari kushiriki midahalo ya aina hiyo mara taratibu za kumpata mgombea Urais zitakapokamilika ndani ya chama!

Asante mpambanaji kwa Taarifa...
Hakika ingekuwa kichekesho Daktari kwenda pale wakati mambo Baado mabichi kabisa....
 
@Mods Invisible,huu uzi una majibu yake,sijui kwa nini hamziungi!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyu muandaaji wa midahalo anatafuta pa kutokea mapema ndo maana ameweka viingilio. Midahalo ya wagombea uraisi kwa sasa haina maana kwani mchakato bado uko ndani ya vyama vya siasa. Wengine hata hawajatangaza kuwa wanagombea urais unawaita kny mdahalo.

Asubiri wale watakaopitishwa na vyama vyao ndo aandae midahalo. Dr. Slaa amefanya vema kutohudhuria.
 
Kila chama kina utaratibu wake !. Zitto (Aya-to-llah), yeye ndio ACT na ACT ndio yeye, kwa hiyo maamuzi ni ya kwake binafsi... NLD nayo ina taratibu zake na ndio maana Makaidi atahudhuria....

Kwa upande wa CDM, Dr. Slaa kasema, wao watakuwa tayari kushiriki mdahalo pale utaratibu wao wa ndani utakapokamilika. Sasa ulitaka wawaige hao wengine ?!

Anyway, hata kama utataka hivyo, haitakuwa hivyo !. CDM ni taasisi kubwa na makini na ina taratibu zake, na vile vile ipo makini kufuata taratibu zakee...

Sasa wew unataka kusema nin , kwani makaidi, zitto wapi amesema anagomea uraisi
 
Hayo majizi wote wa ccm wanatangaza majina siyo nia.

Acha ujinga wewe kuwaita watu wezi, ukiambiwa uthibitishe beyound resornable dought utaweza? Au kazi kupokea maneno ya kishabiki ya wanasiasa uchwara halafu unahitimisha ndani ya halmashauri ya kichwa chako kibovu halafu unajipongeza. Mbona humsemi mwizi aliyewauzia mafuso mabovu na maspika mabovu kwenye kampeni zenu 2010?
 
Slaa ametimua vumbi. na zitto amewaambia Leo hapa mkutanoni jimboni kwa KAFULILA kuwa kesho atakuwa katika mdahalo akielezea sera za chama KUHUSU uchumi
 
ila ccm walipokimbia mliponda yaan CDM hamna jema ukweli no kuwa slaa kamkimbia ZZK,hana uwezo wa kujenga hoja mbele ya Zitto
 
Back
Top Bottom