Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

We naye unajiita GT kweli wewe! hoja sio yako unakurupuka! ndio matatizo ya kuwa na ID nyinginyingi mpaka unajisahau.

* Umechafua hali ya hewa....harufu mbaya inaenea kwa wengine....

* Umerukia suala la ID, ambalo huwezi kuthibitisha zaidi ya kuwa umeropoka..mkuu vipi...
 
Tulishajua kuwa BABU hana uwezo wa kukaa kwenye mdahalo na wasomi.
We Musalani vipi - unaishi sayari ya Mars? Kwa vile mnashadidia na kumshabikia Babu Lowassa, wenzako katika CCM wameishaiweka hiyo propoganda ya UBABU kapuni. Haiwezi kuzaa matunda kwa vile na nyie mgombea wenu ni BABU. Jitahidi kuwa unashauriana na Lumumba kujua ni propoganda ipi inafanyakazi na wakati upi? Ushauri tu vinginevyo tutaendelea kukuona msalani wa kawaida.
 
Sasa wew unataka kusema nin , kwani makaidi, zitto wapi amesema anagomea uraisi
Kila chama kina utaratibu wake. Yeye chama chake hakijamtangaza kama mgombea urais. Sasa ataendaje kwenye mdahalo wakati si mgombea? Makaidi na Zitto wana utaratibu wao kwenye vyama vyao. Unataka na Slaa aende kwa sababu hao hawajatangaza nia?
 
We Musalani vipi - unaishi sayari ya Mars? Kwa vile mnashadidia na kumshabikia Babu Lowassa, wenzako katika CCM wameishaiweka hiyo propoganda ya UBABU kapuni. Haiwezi kuzaa matunda kwa vile na nyie mgombea wenu ni BABU. Jitahidi kuwa unashauriana na Lumumba kujua ni propoganda ipi inafanyakazi na wakati upi? Ushauri tu vinginevyo tutaendelea kukuona msalani wa kawaida.
Mkuu uko nje ya mada, Ngoja nikukumbushe tu, Hapa tunajadili kuhusu Mzee Slaa kukacha mdahalo na Zitto.
 
Bado kama miezi minne ya uchaguzi lakini chama hakijapitisha ilani hadi mida hii.
 
Amuogopi zito kwn ataendaji pila ilani ya chama kuwa tayari ataenda kuzungumizia nn ikiwa wanaitwa kma wagombea wa urais zitto sawa cz yy anaitwa kma kiongozu wa juu wa act
 
Dr. Slaa... sasa alikubali mwanzoni ya nn..!? Si angesema haendi tokea mwanzo..!? Kanusa ataaibika au kaiga kwa Lowassa... ila Uzuri wa Lowassa alikataa tokea mwanzo, Slaa hasomi siku hizi.. hajui kitu...!!!
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameweka bayana kwamba chama hicho kikuu cha upinzani nchini hakitashiriki mdahalo wa wagombea Urais wa upinzani hapo kesho.
Kiongozi huyo aliyekuwa anasubiriwa na mamilioni ya Watanzania kwenye mdahalo huo ametoa sababu kubwa mbili kwa chama chake kutoshiriki...

Sababu ya kwanza ni kwamba CHADEMA bado haijampata mgombea Urais na mchakato wa ndani unaendelea.

Na sababu ya pili ni kwamba Ilani ya chama bado haijapitishwa na vikao vya juu vya chama hicho na itakuwa ni kichekesho kwenda kwenye midahalo bila kuwa na Ilani ya chama.

Dr Slaa amesema chama hicho kitakuwa tayari kushiriki midahalo ya aina hiyo mara taratibu za kumpata mgombea Urais zitakapokamilika ndani ya chama!

nami naunga mkono hoja.
sababu zilizotolewa hakika ni sahihi sana. kwani mosi, Dr Slaa hajatangaza au kutangazwa kuwania uraisi. pili, unaendaje kwenye mdahalo wa uraisi hata ilani ya chama hakuna na wala chama hakijateua mgombea bado? wangekuja na madhumuni mengine tofauti na ya urais kwa sasa.
 
CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.

Ccm mnaigiza tu mlishindwa kuvua gamba mtaweza kuzuia mafuriko ya maji machafu kwa mikono! Huu uzembe wenu wa utawala ndani ya chama kushindwa kuvua gamba mnastahili dhambi iwatafune na tena iwatafune!
 
hivi unazijua taratibu za vyama za kuandaa rasimu za vyama vyao!

Hivi huu mdahalo ulikuwa unahusu nini hasa? Nini mada kuu ya mdahalo? Ule wa mwanxo najua ulikuwa kuhusu mikakati ya watangaza nia wa ccm. Sasa huu ni kuhisu nini? Maana naona watu ambao wala hawagombei urais wakihusishwa.
 
Sasa amekimbiaje mdahalo wakati amesema yuko tayari chama chake kikishamaliza mchakato wa kumpata mgombea urais? Yeye ataendaje wakati si mgombea?
 
Unacheza na Zitto, Slaa amejitambua mapema. Maana moja ya maswali ni kwanini Chadema hawataki kutoa mahesabu ya ruthuku? sasa Slaaa angejibu nini zaidi ya kuigeuza chama kuwa sakose.
 
Back
Top Bottom