Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Juzi niliandika humuhumu JF, huyo Daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa atakacha.

Haikupita hata siku mbili, hayoooooooooooooooooooooooooooo, yametokea.

Kwi kwi kwi teh teh teh teh
Teh teh teh teh!!!
 
Last edited by a moderator:
Mdahalo wa urais alfu anashirikishwa zitto ambae kikatiba hana vigezo
Sio Zitto pekee hata Dr.Slaa na Makaidi sio wagombea Urais.. Hivyo ingekuwa mjadala tu kila mtu aangushe sera maana swala sio la UCHUMI tu nchi yetu ina madudu mengi sana toka Udini, Ukabila, Ukanda na kubwa kuliko yote RUSHWA..
 
Epa,Richmond ,Escrow wahusika wake wapo chama gani?

Na waliokiuzia chama maspika na malori mabovu kwa mamilioni na kujipa tenda ya kwanda Japan kuagiza pikipiki na kukipangisha chama nyumba yao kuwa ofisi ya chama kwa hela nyingi bila kujenga ofisi, mafisadi hawa wapo chama gani vile!?
 
..nadhani Dr.Slaa yuko sahihi.

..Dr bado hajachukua fomu wala kupitishwa na chama chake kugombea Uraisi. Sasa angetokea ktk mdahalo huo angekuwa amekiuka taratibu za chama chake ambazo yeye ndiye msimamizi wake mkuu.

..Mufuruki angesubiri kwanza wapatikane watangaza nia wa CDM,CUF,NCCR,na NLD, ndipo aandae mdahalo wake.

..kwa kifupi, Mufuruki ameonyesha uchanga ktk kuandaa shughuli hii. kitu cha msingi anatakiwa kufanya kazi na vyama husika, na zaidi kuzingatia ratiba za vyama hivyo.

..sijui kwanini Mufuruki hakujifunza kutokana na makosa aliyoyafanya ktk kuandaa mdahalo wa wana-CCM. Mdahalo ule ulikosa washiriki kwasababu wengi walikuwa ndiyo kwanza wamechukua fomu na wako busy kutafuta wadhamini.

cc Kapwela, Alinda, Zakumi, Mkandara, Nguruvi3

Jokakuu:

Nadhani Maruruki anataka kutengeneza pesa haraka haraka kwa midahalo na sio kutumia nafasi hizo kufahamisha umma. CCM pekee yake ina wagombea utitiri. Kwanini asingesubiri mpaka kura za maoni zionyeshe nani wenye uwezo na angechagua watano kati yao?

Kuhusiana na wagombea wa CDM, CUF, NCCR na NLD, kama wapo kwenye UKAWA na wanatarajia kumtafuta mtu mmoja, kwa maoni yangu inabidi wawe na protocols za kuwasaidia kumpata mgombea na vilevile kuheshimu protocols hizo. Sioni kama midahalo itawasaidia.
 
Sioni umuhimu wa mdahalo huu wakati wagombea wa upinzani na wa chama tawala bado hawajapatikana.
 
Sioni umuhimu wa mdahalo huu wakati wagombea wa upinzani na wa chama tawala bado hawajapatikana.

Mkuu kuna upotoshwaji hapa....ukisoma gazeti la mwananchi Mufuruki ameelezea vizuri juu ya suala hili....shida tunaleta ushindani baina ya vyama wakati lengo la mdahalo ni election issues na wapi taifa linaelekea kichumi...
 
Hii tabia ya "kuweka mpira kwani" huyo Dr ameianza lini?....
 
Jokakuu:

Nadhani Maruruki anataka kutengeneza pesa haraka haraka kwa midahalo na sio kutumia nafasi hizo kufahamisha umma. CCM pekee yake ina wagombea utitiri. Kwanini asingesubiri mpaka kura za maoni zionyeshe nani wenye uwezo na angechagua watano kati yao?

Kuhusiana na wagombea wa CDM, CUF, NCCR na NLD, kama wapo kwenye UKAWA na wanatarajia kumtafuta mtu mmoja, kwa maoni yangu inabidi wawe na protocols za kuwasaidia kumpata mgombea na vilevile kuheshimu protocols hizo. Sioni kama midahalo itawasaidia.

..I agree with u.

..hata kwenye ule utitiri wa CCM angeweza kutafuta wachache ambao anaona wana-potential.

..makosa aliyofanya ni kuwashtukiza wakati wamechukua fomu na wako ktk harakati za kutafuta wadhamini.

..muda huu ambapo wanarudisha fomu na kabla CCM-CC haijakaa angeweza kuwapata wachache akafanya nao mdahalo. I believe wako ambao watakuwa na hamu ya kushiriki.

..kuhusu UKAWA inabidi asubiri kwanza mpaka wapatikane watia nia ktk vyama vinavyounda umoja huo ndipo aandae mdahalo.
 
Kumbe Dr Slaa ametulia! Nimefurahi kusoma kumbe yeye hajachaguliwa/kuteuliwa kugombea nafais ya uraisi ndani ya chama chake, na ingekuwa makosa yeye kushiriki kwa kudhani angeliweza kuwa moja wa wagombea. Nachelea lakini isije ikawa naye hataki kuwa mgombea....yaani itoshe tu basi aonyeshe NIA!
 
Mungu kasikia maombi yangu aseee,ni ukweli usiopingika kuwa mdahalo haukuwa na mrengo wa kujenga....sehemu yyt kwa sasa annapohusika msaliti --------- zzk, upinzani hautakiwi kushiriki kwan huyu mtu anacheza kisingelii ya ccm nina imani kubwa kuwa lipumba atajitoa,wamwache msaliti peke yake ajijibu na kujiuliza,,,,au ccm A na ccm B\act wakutanishwe wao kwa wao,japo meno hayauman
......
Angalizo niwashaur Ukawa hasa Chadema wasishiriki mdahalo wwt ule utakaomjumuisha msaliti ayatolanga zzk kufanya ni kosa kubwa sana,hana hiyo sifa tena ya kukaaa na Ukawa.
Mafuruki nae sio mtu wa mipango anaropoka ropoka tu midahalo bila kuwa na proper way ya kufanikisha mwisho wa siku anaaibika,
hawaoni Itv wametulia na ndio watakaokuwa wakwanza kuhost mdahalo kwasababu they are tooo professional
 
Na point nyingine... Hivi anatangaza mdahalo utamhusisha fulani na fulani na fulani kabla hajawasiliana nao wakubali? Mimi naona huyu jamaa ni tapeli fulani hivi...
 
Huyu anayeanzisha midahalo huwa anawasiliana na wahusika kabla au anajilipukia tu,??...
 
Back
Top Bottom