Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Watu hupenda kujitoa ufahamu sana. Hivi Dr. anaongea lugha ngapi kwa ufasaha? Amesomea nini? (Theology, Philosophy na Canon Law), Je kuna uhusiano gani kati ya Canon Law na State Law develpment? Amekuwa katibu mkuu wa Kanisa Katoliki kwa muda gani? Wakati wake amefanya nini kama katibu mkuu? Kanisa katoliki lina mchango gani kwenye huduma za kijamii Tanzania? Amekuwa mbunge kwa muda gani? Amefanya nini akiwa mbunge (ndani na nje ya bunge)? Amekuwa kaibu mkuu wa Chadema kwa muda gani? Amefanya nini (contribution) ndani ya Chadema? Ukisha yajua haya-jiulize kwa nini amesama alivyosema kuhusu mdahalo huu.
 
Zito ndio keshafukuzwa cdm,kajitie kitanzi.mipango yenu yoote imebuuma

Hivi wewe Mmawia , huwa unakula saa ngapi, unapumzika saa ngapi, unalala saa ngapi, chooni pia huwa unaenda saa ngapi? maana kutwa kucha kila hoja za chadema unjibu wewe tena kwa jazba! au hii ni ID ya group la ufipa mnapokezana!!? utavimba macho sana tu kwa kushinda kwenye kikompyuta chako.
 
Last edited by a moderator:
Mufuruki sijui kakumbwa na nini..... awe specific midahalo yake imelenga nini kwa watu wa aina gani?...... anajidhalilisha sasa.....
 
Hivi wewe Mmawia , huwa unakula saa ngapi, unapumzika saa ngapi, unalala saa ngapi, chooni pia huwa unaenda saa ngapi? maana kutwa kucha kila hoja za chadema unjibu wewe tena kwa jazba! au hii ni ID ya group la ufipa mnapokezana!!? utavimba macho sana tu kwa kushinda kwenye kikompyuta chako.

The same to you
 
Last edited by a moderator:
Duh...kumbe style ya CCM wengi wanaipenda!nilidhani ni akina Yusuph Makamba tu.

Naamini kutakuwa na debate nzuri, Prof Lipumba na Zitto watawakilisha vizuri.

Kisichosemwa ni hofu tu ya labda Prof Lipumba au ZItto kufanya vizuri kwenye mdahalo na kufanya DR Slaa aonekane dhaifu.Tujiamini uwezo wetu.kama hatujiamini kwanin tunataka kuwa viongozi?

We kweli kapwela kama lilivyo jina lako
 
Hivi wewe Mmawia , huwa unakula saa ngapi, unapumzika saa ngapi, unalala saa ngapi, chooni pia huwa unaenda saa ngapi? maana kutwa kucha kila hoja za chadema unjibu wewe tena kwa jazba! au hii ni ID ya group la ufipa mnapokezana!!? utavimba macho sana tu kwa kushinda kwenye kikompyuta chako.

* Hizi ndo takataka gani unaandika, wewe sio GT....hivi ni kweli umeshirikisha ubongo wako kabla ya kuandika au uwezo wako wa kufikiri ndio mdogo kiasi hiki....

* Jifunze kujenga hoja sio kumwaga pumba jukwaani.....
 
Last edited by a moderator:
Huu uzi unakwenda kasi kwelikweli. Slaa yumo vichwani kwa watu wengi. Huu uzi kufikia jioni utawekwa kuwa bandiko la kudumu.
 
* Hizi ndo takataka gani unaandika, wewe sio GT....hivi ni kweli umeshirikisha ubongo wako kabla ya kuandika au uwezo wako wa kufikiri ndio mdogo kiasi hiki....

* Jifunze kujenga hoja sio kumwaga pumba jukwaani.....

Asante sana mkuu kwa kuliona hilo
 
* Hizi ndo takataka gani unaandika, wewe sio GT....hivi ni kweli umeshirikisha ubongo wako kabla ya kuandika au uwezo wako wa kufikiri ndio mdogo kiasi hiki....

* Jifunze kujenga hoja sio kumwaga pumba jukwaani.....

We naye unajiita GT kweli wewe! hoja sio yako unakurupuka! ndio matatizo ya kuwa na ID nyinginyingi mpaka unajisahau.
 
Si wangefanya kwanza ule ulioshindikana wa wagombea wa CCM?

Halafu hivi hao ni wagombea wa Urais?? Mimi naona kama ni Prof. Lipumba toka CUF pekee miongoni mwa hao!
 
Hivi wewe Mmawia , huwa unakula saa ngapi, unapumzika saa ngapi, unalala saa ngapi, chooni pia huwa unaenda saa ngapi? maana kutwa kucha kila hoja za chadema unjibu wewe tena kwa jazba! au hii ni ID ya group la ufipa mnapokezana!!? utavimba macho sana tu kwa kushinda kwenye kikompyuta chako.

Mkuu huwa wanalipwa hawa, ndio maana unaona kila saa hakauki humu.
 
Back
Top Bottom