Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,889
Kumbe zitto kabwe anagombea uraisi!?? Mi nilidhani anagombea ubunge kigoma mjini? Au mafuruki na zitto walitumwa wajue sera zitakazo wekwa kwenye ilani ili ccm waibe? Zitto mpaka lini utaendelea kutumika kama mjinga kupelekwa kuwa kafara wa kisiasa kila mahali!!?Kibabu kwishnee! kila mdahalo hana hoja mpya zaidi ya kurudia single zake chakavu za ufisadi ufisadi ufisadi! haelezi mipango ya kuleta maendeleo sasa mtu kama huyu anaweza kumvaa Zitto kweli!!