Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Hicho ndo kinachonifanya siku zote watu humu JF ni ndumila kuwili....Aliposhindwa kuhudhuria Edward Lowasa suku ile watu walishindwa hata kula chakula mchana wakitoa matus kejeli na kashfa za kila namna na yy sababu zikiwa zinafahamika kabisa
Lkn leo watu walewale wanapaka mafuta ns asali kwa Kikongwe WS Kushundwa kuhudhuria wakiona ni sahihi na wanaita akili sana!! KUNYA ANYE KUKU TU AKINYA BATA ANAHARISHA!! Purely DOUBLE STANDARD..Shame on you
 
Hata mimi namuunga mkono Dr.Wanaoshiriki wote wameshatia nia ya Uraisi,CDM bado hakijampitosha mtu,hivyo isingekuwa sahihi yeye kushiriki huo mdahalo.

Mkuu cdm ni taasisi kubwa hapa nchini na siyo watu wa kukurupuka
 
Teh Teh ....Dr Slaa mbio ...ninge shangaa angeweza kukaa na kuweza kujenga hoja mbele ya Zitto!

Hivi kweli Slaa si presidential aspirant...ina maana Slaa hatamani,hana ndoto na Urais? Bavicha wamemtisha..
 
Mpaka sasa CCM wako hawaelewi nini kinaendelea huko CDM na UKAWA kwa ujumla! Hii ni mbinu yao ya kutaka kujua japo kwa uchache nini kilichopo huko na katika ilani za vyama vya upinzani! Kama mliona ule mwaka wa 2010 CCM walikuwa na Ilani utafikiri ya watu wa chekechea! Huyu mufuruki analake jambo siyo bure! Jaribu kujiuliza kwani ndani ya CDM Dr.Slaa ndiyo Mwenyekiti au kiongozi pekee wa Chama hiki. Mbona vyama vingine amewaalika wenyeviti na siyo makatibu????

Mkuu umeibua jambo hapo,inawezekana huyu mufuruki anatumiwa na ccm
 
Hicho ndo kinachonifanya siku zote watu humu JF ni ndumila kuwili....Aliposhindwa kuhudhuria Edward Lowasa suku ile watu walishindwa hata kula chakula mchana wakitoa matus kejeli na kashfa za kila namna na yy sababu zikiwa zinafahamika kabisa
Lkn leo watu walewale wanapaka mafuta ns asali kwa Kikongwe WS Kushundwa kuhudhuria wakiona ni sahihi na wanaita akili sana!! KUNYA ANYE KUKU TU AKINYA BATA ANAHARISHA!! Purely DOUBLE STANDARD..Shame on you

Mkuu yaani ni shida, mtu akiwa shabiki wa chadema akili zao zinakua sawa na za ng'ombe.
 
natoa onyo kwa Ally Mafuruki , kama anataka kutokomea na hiyo taasisi yake aendelee kutangaza majina mazito kama hili la HON DR SLAA kushiriki midahalo bila mawasiliano na wahusika , na hii iwe mwisho , Dr Slaa hakurupuki kama unavyodhani , NIMEKUDHARAU SANA MKUU MAFURUKI .

Asante sana mkuu,kwa hoja mzjuri sana na hii itanifanya nipate lunch kwa furaha sana baada ya mufuruki kunichafulia siku
 
Viongozi wa vyama vya upinzani nchini wamealikwa kuhudhuria Mdaharo ili vyama vyao vishindanishe sera,na hoja zinazoweza kulikomboa taifa letu.

Awali Mdagaro huo ulipaswa kuwashirikisha ccm lkn kama ilivyo ada kwa ccm,waliapa kutoshiriki kwa woga tu usiokuwa na tija.

Mdaharo unategemea kuvishirikisha vyama vya CUF,ACT-Wazalendo,CHADEMA,NLD na NCCR-MAGEUZI.

Mdaharo bado sijafanikiwa kufahamu taasisi iliyouandaa msagalo huo lkn taarifa za awali zinadai kuwa Ally Mafuruki ni miongoni mwa waandaaji wa mdaharo na utafanyika kesho 18-06-2015 siku ya alhamisi saa 12:00 hadi saa tatu kamili usiku.

pia sikufanikiwa kujua ni kituo gani kitakachorusha mdahalo huo.

Sitegemei kusikia kuwa mdahalo haukufanyika kwa kuwa Zitto,Lipumba,Makaidi,Mbatia mbowe au Slaa Kakimbia.

Japo gazeti la Mwananchi limeripoti kuwa bado Slaa hajathibitisha kuhudhuria Mdaharo huo,nitumie jukwaa hili kuwaombq wapenzi na Mashabiki wa vyama vya upinzani kuwasukuma viongozi wao wahudhurie midaharo ili kujenga demokrasia na kutoa fursa kwa wananchi kupima dhamira zao .

Tabia za kukimbia midaharo ni tabia za ccm,hivyo chama kitakachojifananisha na ccm kisichaguliwe kwa namna yoyote.

Lazima maswala mazito ya kitaifa yajadiliwe kwenye majukwaa ya wazi ili wananchi wapime sera,Itikadi na Falsafa za vyama.
 
Jamvi limejaza watu waliougua unyafuzi na kwashikor si rahisi kutambua na kunyambulisha mambo Zitto aliyeshindwa hata kutekeleza plot ya kuuwa chadema nay unamuona ana akili aende chooni tu akatoe maharage aliyekula siasa sio sawa na kuparula migebuka kule kibirizi

Asante sana kwa kumpatia stahili yake huyo kilaza
 
Teh Teh ....Dr Slaa mbio ...ninge shangaa angeweza kukaa na kuweza kujenga hoja mbele ya Zitto!

Hivi kweli Slaa si presidential aspirant...ina maana Slaa hatamani,hana ndoto na Urais? Bavicha wamemtisha..

Kibabu kwishnee! kila mdahalo hana hoja mpya zaidi ya kurudia single zake chakavu za ufisadi ufisadi ufisadi! haelezi mipango ya kuleta maendeleo sasa mtu kama huyu anaweza kumvaa Zitto kweli!!
 
Dr Slaa will never stoop that low to evil deeds of Ally Mfuruki, Zitto hana level nakuongea na vingunge wa siasa kama akina Dr SLaa Mfuruki akatafute wakufanya midahalo na mafweza yake mengi huko mitaani waongea na waliofirisika kisiasa kama msaliti Zitto

Tupo pamoja mkuu
 
Ni majibu sahihi kabisa,kwa hiyo kichwa chako cha habari kina nia ya kupotosha ukweli.
Mdahalo utakaorushwa kesho kuanzia saa 1 hadi saa 4 na Azam Tv unaoandaliwa na CEOrt chini ya kiongozi wao Ally Mufuruki, Dr Slaa amesema wao hawatashiriki Mijadala mpaka watakapomaliza kura za MAONI ndani ya chama.

Washiriki ni prof Lipumba CUF, Zitto Kabwe ACT, Dr. Slaa CHADEMA na Dr. Emanuel Makaidi NLD.

 
Teh Teh ....Dr Slaa mbio ...ninge shangaa angeweza kukaa na kuweza kujenga hoja mbele ya Zitto!

Hivi kweli Slaa si presidential aspirant...ina maana Slaa hatamani,hana ndoto na Urais? Bavicha wamemtisha..

Kwi kwi ALLy mfuruki anajiangusha na kujimalizia ka heshima alikojingea katika nchi hii tulidhani utajiri wake unaendane na brain some one who is smart with brain kumbe hata kuandaa midahalo hajui mwanzo wale mwisho he should learn from Rosemary Mwakitwange aliyewahi kuandaa midahalo ikasisimua nchi si hii ya magumashi kushindwa kuandaa midahalo miwili kukaosa hadhi yakuheshimika tena Dr Slaa will never stop that low
 
zako sawa na nguruwe

Bora nguruwe, wazungu wamegundua ana akili sana na wanawatumia kugundua mabomu. Je ling'ombe linaakili gani! likubwaaa lakini linachinjwa na binaadam kirahiisi, we jaribu kumchinja nguruwe uone mtiti wake!
 
Dr Slaa ana hadhi? Teh teh teh... Hivi kati ya Slaa na Zitto nani jembe katika siasa? Maana binafsi bila Zitto nisingemjua Dr Slaa wala hiyo CHADEMA yenu kisingekuwa chama kikuu cha upinzani. Zitto ametusumbua sana CCM, leo nakiri hili.

Wewe hivi ni nani ndani ya ccm hadi utuletee huo utumbo wako,ungekuwa na mashiko ndani ya chama husingekuwa kama bendera wewe,leo upo kwa lowasa,kesho upo kwa makongoro,keshokutwa upo kwa wasira,inaonyesha ni jinsi gani maneno ya mwenyekiti wenu jk pale dodoma haikuwa bahati mbaya kuwaita makuwadi,uvccm
 
Back
Top Bottom